Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Anaropoka tu ili na yeye aonekane ila hamna kitu specific anacho ongea, aseme kwenye mkataba mpya kuna changamoto hii na hii ? Amesharuhusu wa gesi ya Mtwara LNG waje, amesharuhusu wa Hellium waje atawapa tu kwa mikatabu yoyote wanayotaka, ameruhusu expatriates waje ovyo ovyo tu , kwa akili zake huu ndio uchumi...
Jamani , wafuasi wa Jiwe hamuamini macho yenu. Jiwe halinyanyuki tena . Limetumbukia shimoni .Hata mm nilishangaa
Nikajiuliza alijuaje kama hayo mambo yanafanyika ina maana alikuwa anajua kitambo au?
Mlipoambiwa na wapinzani kuwa katiba yetu ni mbaya hamkuelewa. Katiba yetu inamfanya Rais bila kujali ni nani kujifanyia chochote akitakacho. Na ndiyo maana watawala hawataki ibadilishwe ili Rais awekewe kidhibiti mwendo
Odhis *