Suala la Madini: Serikali ya Magufuli haikutueleza ukweli wote

Hata mm nilishangaa

Nikajiuliza alijuaje kama hayo mambo yanafanyika ina maana alikuwa anajua kitambo au?
Jamani , wafuasi wa Jiwe hamuamini macho yenu. Jiwe halinyanyuki tena . Limetumbukia shimoni .

Mlipoambiwa na wapinzani kuwa katiba yetu ni mbaya hamkuelewa. Katiba yetu inamfanya Rais bila kujali ni nani kujifanyia chochote akitakacho. Na ndiyo maana watawala hawataki ibadilishwe ili Rais awekewe kidhibiti mwendo

Odhis *
 

He! Tena azungumzie nitty gritty za kila sekta wale viongozi wangeondoka pale saa ngapi?

Haya ni lazima yametoka huko kwenye source na yeye amehighlight ili yafanyiwe kazi, otherwise unavyotaka wewe angejiteua pia kuwa Waziri wa Madini.
 
SSH ana wenge anataka kuuza kila kitu, hivi mkataba wa zamani wa Barrick na wa saivi upi bora? Hapo ameshawakaribisha wa gesi Mtwara LNG waje tu atawaruhusu kwa masharti yoyote, Hellium mbugani, huyu anataka kuuza kila kitu, hizo kwake ndio akili.
Weka hizo nakala za mikataba yote miwili tuchambue ili tujue upi ni bora. Ila kama hauna na wewe umesikia sikia tu wa sasa bora kutoka kwa Mwendazake basi tulia, nafikiri Rais anajua zaidi kuliko zizi wapiga kelele na mapambio.

Suala la LNG, hilo sio suala geni kwani kiwanda cha kuchakatwa tayari kipo mbioni kujengwa na watu wameshaanza kulipwa fidia tangu mwaka jana. Plan ipo 2022 kiwanda kianze kujengwa.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Asante, well noted.
 
Magufuli alihitaji usaidizi wa Nani? Kwa hili nitamtetea yeyote anayeinesha kujitambua baada ya kifo cha Dikteta yule. Yeye mwenye aliwahi kusema mkimshauri ndo mnaharibu kabisa, sasa Nani angeendelea kutoa ushauri anaojua hata robo yake haitapokelewa?
 
Huwezi jua, yawezekana Boss wake ndiye mhusika mkuu wa utoroshaji wa hayo madini.

Kuna tetesi zilikuwa zinasema kuna walinzi toka PK wanalinda kule Mererani na madini yanatoroshwa kwenda Rwanda chini ulinzi mkali.

Sasa unafikiri kwenye tuhuma hizi, mwendazake anakwepaje wizi wa madini?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Mama asikiri udhaifu ameshaanza kukiri unyonge unadai kodi yako halafu unaweka mikono nyuma hii haiwekani hata kidogo
Dai kodi mikono umeweka mfukoni maana wewe mama ni mwenye nyumba
 
Mimi matabiri leo 2025 vijana wengi na vigogo wengi wataenda upizani
 
SSH ana wenge anataka kuuza kila kitu, hivi mkataba wa zamani wa Barrick na wa saivi upi bora? Hapo ameshawakaribisha wa gesi Mtwara LNG waje tu atawaruhusu kwa masharti yoyote, Hellium mbugani, huyu anataka kuuza kila kitu, hizo kwake ndio akili.
Mama Samia anachotaka kufanya ni kufufua mazungumzo yaliyokuwepo tayari lakini yalizimwa kutokana hayakuwa na maslahi, hivyo bora mazungumzo yafanyike na timu za wataalamu wetu ili ikiwezekana kufanyika kifanyike kama hakiweekani basi, hajasema kuwa yeye awape rukhsa ya kufanya wanayoyataka kufanya hao wawekazaji, HAPANA. Nchi inataka fedha ili tuweze kuendelea hizo pesa mtazitoa wapi? Wafanya biashara wameshakamuliwa tuliyobaki ni sisi raia wa kawaida na tena tuna bahati lakini tungeanza kulipa kodi ya kichwa kama zamani.
 
Unajua kitu kinacho itwa "highlight speech".....huwezi kutatua kila jambo kwenye public speech alicho fanya ni ku highlight vitu muhimu atakavyo shughurikia.... ila mataga mnateseka sanaa
 
Hakikia tuna bahati kweli.
 
Magufuli ndiye aliyekuwa rais na kauli ya mwisho. Sukuma Gang kubalini tu zamu yenu imekwisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…