Suala la Madini: Serikali ya Magufuli haikutueleza ukweli wote

Alifanya vizuri, au alilazimisha tuone alifanya vizuri?
Alifanya vizuri. Kile kitendo cha kuanzisha masoko ya dhahabu ni kete nzuri sana. Kukataza usafirishaji wa makinikia nao ulikuwa mchezo mzuri sana. Kwenye Tanzanite iliyokuwa inakatwa India akasema ikatwe hapa na wabongo wakaanza kufundishwa ni kete nzuri. Kupitia mikataba ya madini nalo lilikuwa jambo zuri sana. Katika hii miaka mitano aliyokaa unataka kuniambia hajafanya zuri hata moja? Upinzani wa hivyo siyo kabisa.
 

Ni wapi nimesema hajafanya lolote zuri? Ama unasema hivyo ili kuupa nguvu utetezi wako? Sio lazima kila mtu atumie neno kufanya vizuri, mimi nakubali kabisa kuwa kuna baadhi ya mambo kafanya sawa kutokana na wajibu wake. Na kimsingi hakuna mtu ambaye hajawahi kufanya zuri lolote, hata Iddy Amini, kaburu Pieter Botha walifanya mazuri yao, tena mengi tu. Je wana sifa yoyote ya hayo mazuri yao?
 
Kwamba tuwanyenyekee kwa kua tunawahitaji? mama ajue wanatuhitaji zaid wao we are rich .....tunapoelekea tunaweza uzwa
 

Duuu, Mkuu nahisi ungefungiwa chumba kimoja na huyo mshamba kwa vyovyote mmoja lazima angepoteza maisha, sio kwa hasira hizi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kwamba tuwanyenyekee kwa kua tunawahitaji? mama ajue wanatuhitaji zaid wao we are rich .....tunapoelekea tunaweza uzwa

Uuzwe mara mbili, kuna mkataba wowote umewahi kuuona kwa macho? Uliwahi kuiona mikataba 16 ya siri JK aliyoingia na wachina?
 
issue ni kuwa mkataba ulishasainiwa ila anaona kuwa makadirio ni makubwa sana hivyo kufikiria namna ya kupunguza ili kuleta unafuu kwa mwekezaji na si vinginevyo maana mzee Magu alikuwa harembi, ni ama madini yatunufaishe au waondoke wayaache na si vinginevyo
 
Kama
Kama alikua sidelined utamlaumu kwa lipi?
 
SSH ana wenge anataka kuuza kila kitu, hivi mkataba wa zamani wa Barrick na wa saivi upi bora? Hapo ameshawakaribisha wa gesi Mtwara LNG waje tu atawaruhusu kwa masharti yoyote, Hellium mbugani, huyu anataka kuuza kila kitu, hizo kwake ndio akili.
Tuliaa wewe au jamaa arudi?
 
Duuu, Mkuu nahisi ungefungiwa chumba kimoja na huyo mshamba kwa vyovyote mmoja lazima angepoteza maisha, sio kwa hasira hizi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Hawa jamaa ni wa kuogopa sana mkuu.

Hawa ndio walionshauri mwendazake kwamba ili atawale vizuri basi lazima auangamize upinzani kwa namna yoyote ile hata ikibidi..........

Leo rais wetu hayati Magufuli kaondoka wanataka uzandiki wao wauhamishie kwa Mama.

Tutazaa nao hawa
 
We we hukumuelewa Mama, yaani kwenye huo uwekezaji wa Ubia na Barrick, JPM alibana kila kona ili Taifa linufaike kupitia madini. Mama anataka apangue vifungu ili kuwalegezea wawekezaji kwa kuondoa au kupunguza baadhi ya kodi.
 
Una hoja inayoeleweka ila who knows?? Pengine Mama ameamua kuwa mkweli na asiwe muongo muongo na wala asiongoze nchi kwa propaganda na uongo mwingi.

Mama ameamua kunguru aitwe kunguru na njiwa aitwe njia.

Mama hataki kujifanya anafanikisha kwa fedha zetu wenyewe wakati anakopa. Kwahiyo ni Bora watanzania waelezwe ukweli, ukweli unaweza ukawauma lakini hakika utawaweka huru.
 
SSH ana wenge anataka kuuza kila kitu, hivi mkataba wa zamani wa Barrick na wa saivi upi bora? Hapo ameshawakaribisha wa gesi Mtwara LNG waje tu atawaruhusu kwa masharti yoyote, Hellium mbugani, huyu anataka kuuza kila kitu, hizo kwake ndio akili.
Kwenye mkataba wa Barrick Magufuli alipiga percent yake.
 
We we hukumuelewa Mama, yaani kwenye huo uwekezaji wa Ubia na Barrick, JPM alibana kila kona ili Taifa linufaike kupitia madini. Mama anataka apangue vifungu ili kuwalegezea wawekezaji kwa kuondoa au kupunguza baadhi ya kodi.
Wewe hukumsikiliza kabisa mama. Na kama ulimsikiliza basi ubongo wako umejaa mavi.

Ni wapi mama alisema anataka apangue vifungu ili kuwalegezea wawekezaji kwa kuondoka au kupunguza baadhi ya kodi??

Halafu hizi propaganda zenu hizi na hizo team zenu sijui team JPM hebu mukome sasa.

Mama aachwe afanye kazi
 
Sio Chadema wanashangilia. Ni Sisi Watanzania tunashangilia. Na hata kama Chadema wanashangilia basi wanashangilia tumaini jipya lililopo mbele yao.

Wanaamini sasa hakuna atakaetekwa, wanaamini hakuna atakae nyang'anywa pesa zake na wanaamini watakapopata maafa Mama atawafariji japo kwa maneno mazuri.

Enyi wazandiki na wanafiki wa nchi hii, tambueni kuwa Sisi Watanzania tumeamua kumuachia mama afanye kazi.
 
Aliyeuza nyumba za Serikali aliwajibika kwa ufisadi wake ?
 
Let Great Thinkers discuss hii kitu. Wewe endelea kupiga kimya na kusoma comments. Unapoanza names calling tena kwa majina ya ajabu ajabu unaonyesha tu jinsi gani ambavyo elimu yako haikukusaidia. Hoja hupingwa kwa hoja.

Sukuma gang ni kitu gani?
Sukuma gang ni kundi la wanafiki na wazandiki ndani ya Taifa la Tanzania ambao walishajimilikisha Chama cha mapinduzi, na ambao walikuwa kwenye mchakato wa kujimilikisha nchi yetu ya Tanzania kabla ya Mungu wetu kuamua kuingilia kati na kupindua mipango yao miovu, ya kishenzi, kidhalimu, kinafiki na kizandiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…