Ebe
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 811
- 972
Kwahiyo unakubali kuwa 'KATIBA IMEVUNJWA' sijui kama unaelewa kuhusu hilo neno au hiyo sentensi.Pamoja na kulialia kwenu kaishaondoka huyooooooooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo unakubali kuwa 'KATIBA IMEVUNJWA' sijui kama unaelewa kuhusu hilo neno au hiyo sentensi.Pamoja na kulialia kwenu kaishaondoka huyooooooooo
Hiyo shall inaongelea term limits.Nimejibu nilichokujibu kwa sababu umesema hilo neno SHALL tunalitafsiri vibaya... na mimi ndo nimekuambia neno SHALL limetafsiriwa na sheria zetu wenyewe! Kwahiyo kama kutafsiri vibaya, basi ni sheria zetu ndizo zimetafsiri vibaya na sio "..sisi"
Aidha, umesema:-
Hapo ingekuwa sio lazima, kwa mujibu wa sheria zetu wangeandika "may be be eligible for renewal" na sio "shall be eligible for renewal"
Msingi haupo kwenye neno ELIGIBLE bali kwenye neno SHALL. Lau kama wangeandika "may be eligible" hapo ingekuwa sio shuruti!!
Hebu pata elimu kidogo hiyo Kisha waelimishe na wenzako juu ya alichofanya huyo mkulu wenu kuwa ni kinyume na katiba aliyoapa kuitetea na kuilinda!Acha ujinga, asubuhi hii chukua hata simu mpigie mama/baba yako uwaambie unawapenda na uwatakie siku njema utabarikiwa zaidi, kwa maana siajabu hata mtoto wake haumizwi na kumpigania hivyo huyo Asadi kama wewe, labda hata washakubali matokeo na kumove on wewe mwenzangu na mimi bado unakosa usingizi, so sad!
Sijui unaandika ukiwa US, Denmark au Norway. Mahakama gani waende. Are you serious, do you know what you've written.Kumekuwepo na analysis nyingi sana mitandaoni kukosoa au kupinga maamuzi mbalimbali ya Rais kwa hoja kwamba yapo kinyume na katiba.
Naamini mnaoleta hizi analysis ni wanasheria,kwa nini msiwe mnaenda mahakamani basi kuweka mambo sawa maana huku hakuna solution ni hisia tu watu wanachangia?
Lunch time nitapita pale cag office niasabahi walau kwa nje...Pamoja na kulialia kwenu kaishaondoka huyooooooooo
Mkuu usijichoshe huyo kiranga hajui sheria za Tanzania daah ila kwa kweli inasikitisha huyu mtu anavunja katiba hivi hiviNimejibu nilichokujibu kwa sababu umesema hilo neno SHALL tunalitafsiri vibaya... na mimi ndo nimekuambia neno SHALL limetafsiriwa na sheria zetu wenyewe! Kwahiyo kama kutafsiri vibaya, basi ni sheria zetu ndizo zimetafsiri vibaya na sio "..sisi"
Aidha, umesema:-
Hapo ingekuwa sio lazima, kwa mujibu wa sheria zetu wangeandika "may be be eligible for renewal" na sio "shall be eligible for renewal"
Msingi haupo kwenye neno ELIGIBLE bali kwenye neno SHALL. Lau kama wangeandika "may be eligible" hapo ingekuwa sio shuruti!!
Karibu nieleze utakuwa umevaaje?Lunch time nitapita pale cag office niasabahi walau kwa nje...
Assad angepata fursa ya kufika huko ATCL mda huu kungekuwa na Aibu ya Taifa wamemtoa haraka wapate kupumuaAlivyokatazwa kukagua ATCL tu, nikajua hapa lazima figisu lianze.
Mfalme kashasema hapangiwi.
Siingii ndani. Sijuani na yoyote hapo. Mimi ni raia wa kawaida tu. Nitapita hapo nje ya jengo.Karibu nieleze utakuwa umevaaje?
11 aeroplanes, miradi kibao, barabara lami.Assad angepata fursa ya kufika huko ATCL mda huu kungekuwa na Aibu ya Taifa wamemtoa haraka wapate kupumua
Mahakama ya wapi mkuu? Kama ni mahakama za Tanzania zote zipo chini ya Amri toka juu usitegemee haki kwa hiloKumekuwepo na analysis nyingi sana mitandaoni kukosoa au kupinga maamuzi mbalimbali ya Rais kwa hoja kwamba yapo kinyume na katiba.
Naamini mnaoleta hizi analysis ni wanasheria,kwa nini msiwe mnaenda mahakamani basi kuweka mambo sawa maana huku hakuna solution ni hisia tu watu wanachangia?
"Ashurutishwe".... Mkiambiwa hatuna utawala wa sheria ni udikteta tu mnakunja uso. Ona sasa watu walivyolewa madaraka. Very foolish indeed.Hii katuma Prof. Assad mwenyewe au watu wamemuunganishia?
Tuhuma za "mazingira ya kazi" ni nzito sana.
Kama kaandika yeye inatakiwa ashurutishwe kueleza ana maana gani.
Utawala wa sasa unaendesha Nchi kwa utashi wao binafsi siyo kwa mjibu wa katiba na sheria"Ashurutishwe".... Mkiambiwa hatuna utawala wa sheria ni udikteta tu mnakunja uso. Ona sasa watu walivyolewa madaraka. Very foolish indeed.
ATCL umefanyika uhuni mkubwa sana.Assad angepata fursa ya kufika huko ATCL mda huu kungekuwa na Aibu ya Taifa wamemtoa haraka wapate kupumua