Suala la Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Vipengele kadhaa vya Kisheria

Suala la Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Vipengele kadhaa vya Kisheria

Matumizi ya neno kama katika Ibara ya 3 yanafanya uchunguzi kuwa ni UTASHI na sio LAZIMA.

Na hiki kipengele umekiona?
Huoni kinamlazimisha Rais ampe muhula wa pili CAG la sivyo afuate utaratibu mzima wa ibara ya 144(3) kama ataamua kutomuongezea mkataba wamiaka mitano?

Acha kutetea uvunjifu wa sheria mkuu, Ni dhahiri Shahiri JPM kavunja sheria kwenye uteuzi huu wa CAG mpya.

Soma hili kipengele usikikimbie:


Img-1572853035577.jpg
 
Matumizi ya neno kama katika Ibara ya 3 yanafanya uchunguzi kuwa ni UTASHI na sio LAZIMA.
Pia Ibara ya 2 inalazimisha Ibara ya 4 itimizwe ili CAG aondolewe. Sasa Ibara ya 4 inatimizwaje?
 
Kiranga yupo sahihi! lakini wewe haupo sahihi sana kwamba "katiba ipo silent kwa tenure"!

Katiba yetu ina Ibara Kadhaa ambazo zinatungiwa Sheria na Bunge! Kwa mfano, kwa hili la CAG, utaona katiba imetoa tenure to the office ni miaka 60 lakini ikatoa mandate kwa Bunge kufanya vinginevyo:- 144(1)Kwa kutumia mamlaka hayo, ndipo Bunge kupitia Public Audit Act 2008 Ibara ya 6(2)(a) ikasema:-Kwamba, CAG ataachia ofisi atakapofikisha umri wa miaka 65 unless kama atatakiwa KUONDOLEWA kwa mujibu wa Katiba Ibara ya 144 (3).

Imetumika reference ya 144(3) kwa sababu Ibara ya 144(2) inasema:-Kwanza, hapo ndipo mtakapoona msingi wa matumizi ya neno SHALL na MAY.

Hapo katiba inatoa UWEZEKANO wa CAG kuondolewa ikiwa limetokea moja au combination ya hayo yaliyotajwa!!

The question is: Kwavile Rais anaona CAG ni mgonjwa au ame-violate sheria fulani, je anaweza kumfuta kazi hapo hapo?!

Jibu ni HAPANA, kwa sababu "...shall not be so removed except in accordance with the provisions of subarticle (4) of this Article" inayosema:-Kumbe pamoja na Rais kuona CAG anastahili kuondolewa ama kwa kutokana na ugonjwa, au kuna miiko ameivunja, bado hawezi kumuondoa hadi Tume aliyoiunda inamshauri kufanya hivyo, na hapo Rais atamuondoa CAG?

Sasa hiyo Special Tribunal ni ipi? Jibu ni hiyo iliyotajwa kama subarticle 3 inayosema:- if the President considers that the question of the removal of the Controller and Auditor-General from office under the provisions of this Article needs to be investigated, then the procedure shall be as follows:
(a) the President shall appoint a Special Tribunal which shall consist of a Chairman and not less than two other members. The Chairman and at least half of the other members of that Special Tribunal shall be persons who are or have been Judges of the High Court or of the Court of Appeal in any country within the Commonwealth.

That being said, Rais HAWEZI kumuondoa CAG bila kuunda hiyo tume! Hata hivyo, kama nilivyopata kusema hapo awali kwamba Rais anaweza KUMLAZIMISHA CAG kujiuzuru!

Lakini kwavile KULAZIMIHA haipo kwa mujibu wa katiba au sheria, CAG anaweza kugoma kuachia ngazi, na hapo Rais kama anaona uamuzi wake ulikuwa sahihi, anaweza kurudi kwenye katiba kuangalia anamuondoa ondoa vipi... JIBU NDO HILO HAPO JUU ambalo hamlipendi!!
Tenure of office of CAG sio Sixty years, ni five years.
 
Na hiki kipengele umekiona?
Huoni kinamlazimisha Rais ampe muhula wa pili CAG la sivyo afuate utaratibu mzima wa ibara ya 144(3) kama ataamua kutomuongezea mkataba wamiaka mitano?

Acha kutetea uvunjifu wa sheria mkuu, Ni dhahiri Shahiri JPM kavunja sheria kwenye uteuzi huu wa CAG mpya.

Soma hili kipengele usikikimbie:


View attachment 1254205
Hicho ni kipengel cha sheria ipi??

JADILI kwa hoja sio kulzimisha tafsiri.
 
Tenure of office of CAG sio Sixty years, ni five years.
Hiyo sio hoja ya msingi... hoja ya msingi ni kwamba Rais hawezi kumuondoa CAG bila kumuundia tume, though thanks for the correction!

Hata hivyo, nimesema tenure in the office kwa sababu ile miaka 65 iliyowekwa na Bunge ipo kwenye kipengele cha tenure in the office!
 
Mgogoro wa shall be eligible ni irrelevant kwenye mjadala wa leo wa CAG.

Kwa sababu unaongelea term limits.

Ungekuwa relevant 2024.

Hapa ndipo Magu alipovunja katiba. Sona 144 yote, msisitizo 144 (2) na 144 (3)

144.-(1) Without prejudice to the other provisions of this Article, the
Controller and Auditor-General of the United Republic shall be obliged to vacate
office upon attaining the age of sixty or any other age which shall be prescribed
by a law enacted by Parliament.

Act No.15
of 1984
Art.43
Act No.12
of 1995
Art.19

(2) The Controller and Auditor-General may be removed from office only
for inability to perform the functions of his office (either due to illness or to any
other reason) or for misbehaviour, or for violating the provisions of the law
concerning the ethics of public leaders and shall not be so removed except in
accordance with the provisions of subarticle (4) of this Article.

(3) if the President considers that the question of the removal of the
Controller and Auditor-General from office under the provisions of this Article
needs to be investigated, then the procedure shall be as follows:
(a) the President shall appoint a Special Tribunal which shall consist of
a Chairman and not less than two other members. The Chairman
and at least half of the other members of that Special Tribunal shall
be persons who are or have been Judges of the High Court or of the Court of Appeal in any country within the Commonwealth;
(b) the Special Tribunal shall investigate and submit report to the
President on whole matter and shall advise him whether or not the
Controller and Auditor General should be removed from office in
accordance with the provisions of this Article on the grounds of
inability to perform his functions due to illness or any other reason
or on grounds of misbehaviour.

(4) If the Special Tribunal appointed in accordance with the provisions of
subarticle (3) advises the President that the Controller and Auditor-General be
removed from office on grounds of inability to perform functions of his office due
to illness or any other reason or on grounds of misbehaviour, then the President
shall remove him from office.

(5) If the question of removing the Controller and Auditor-General has
been referred to a Special Tribunal for investigation pursuant to the provisions of
this Article, the President may suspend the Controller and Auditor-General from
office, and the President may at any time rescind the decision to suspend the
Controller and Auditor-General and in any case such decision shall lapse if the
Special Tribunal advises the President that the Controller and Auditor-General be
not removed from office.

(6) A person who holds or who has held the office of Controller and
Auditor-General shall not be appointed to, or act in, any other office in the service
of the Government of the Untied Republic.

(7) The provisions of this Article shall not apply to any person appointed
acting Controller and Auditor-General.

Najua haupo relevant tena.

Ila kuna watu bado wameng’ang’ania maana yake iliyo potofu.
 
Najua haupo relevant tena.

Ila kuna watu bado wameng’ang’ania maana yake iliyo potofu.
Huko tulishapita, nilieleza all Tanzanians of majority age and sound mind are eligible to vote, but that does not mean they all vote.

All Members of Parliament are eligible for cabinet positions, but not all are cabinet members.

So where's the confusion?
 
Hiyo sio hoja ya msingi... hoja ya msingi ni kwamba Rais hawezi kumuondoa CAG bila kumuundia tume, though thanks for the correction!

Hata hivyo, nimesema tenure in the office kwa sababu ile miaka 65 iliyowekwa na Bunge ipo kwenye kipengele cha tenure in the office!
Sio Lazima Rais kuunda tume ili kumuondoa CAG.
 
Let's talk with legal reference, please... that's how legal discussions work! Again, according to our Interpretation of Laws Act:
-View attachment 1254142

You might be very competent in English, with a tonne of "vocabularies" in your head, but that has nothing to do with this discussion... gimme your reference!

First, no need to get personal here. It’s a sign of losing the argument. Me being this or that is neither here or there.

Back to the subject at hand.

I said, ‘shall’ as an auxiliary [modal] verb, fundamentally, means the same thing across the board.

What do I mean by that? I mean this: it is used to express a necessity [ulazima].

Looking at your reference, I see ‘shall’ basically mean the same thing as I’m saying.

Here is my reference.

70E98B83-9208-41D6-83A4-9678C4ADC941.jpeg


That’s from Cambridge dictionary.

Now, after reading it, what do you say? Does it mean something fundamentally different from your reference source?

But, when used in a sentence with other words, context becomes paramount.

You can’t tell me that ‘shall be eligible for renewal’ is exactly the same as ‘shall be renewed’.

The latter is more firm [tightened] whereas the former has a wrinkle in it. That being the word ‘eligible’.

You haven’t realized what you are saying is what I’m saying also?
 
Huko tulishapita, nilieleza all Tanzanians of majority age and sound mind are eligible to vote, but that does not mean they all vote.

All Members of Parliament are eligible for cabinet positions, but not all are cabinet members.

So where's the confusion?

I don’t see where the confusion is [with you].

I’m not arguing with you about that.

Chige seems to be still confused, though.
 
Mwenye serikali keshaamua.
Bunge mfukoni
Mahakama mfukonk
Aliyemdindishia ni CAG peke ake na inaonesha aliaanza mmind kwenye issue ya 1.5tril isiyojulikana wapi imeenda
 
Chige, neno "shall" limetumika pia ibara ya 33 na 40, kwahiyo mwakani uchaguzi wa Rais usiwepo kwani atarudi tu ofisini kwa mujibu wa tafasiri yako.
 
CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria

Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa
Yaani mnaamuaga tu kujitoa ufahamu na kulazimisha kutokuelewa. Amestafu kwa mujibu wa sheria ipi hata point hamuweki. Watu wakitoa ufafanuzi kwa ajili ya kurekebisha mnawaita wapinzani sijui ujinga huu utaendelea hadi lini. Hii Nchi ni yetu wote na sheria tuliziweka wenyewe lazima tuzifuate, mtu atakayekiuka lazima aelezwe wala sio upinzani. Misitaki kuamini kuwa huelewi kinachoelezwa ila umeamua tu kuchagua hicho unachokisema kwa faida zako binafsi na huo ndo ubinafsi.
 
Watanzania watu wa ajabu sana! Sheria na katiba kibao zimevunjwa leo wanashangaa ya prof Assard! Sisi tunataka lisiti za manunuzi ya ndege hata kama Assard ametoka maana hiki ndiyo kilio chake!
 
Back
Top Bottom