Suala la Mwanamke kuwa na Elimu/Pesa/Mafanikio kumzidi mwanaume wake!

Suala la Mwanamke kuwa na Elimu/Pesa/Mafanikio kumzidi mwanaume wake!

Pata pesa tujue tabia yako#uwe ke au me
Hii hai-apply sawa sawa kwa mwanaume,mara zote action za mwanaume huwa na maana hata kama ni za kuumiza huwa haziuwi hisia za muumizwaji tofauti na mwanamke hufanya vitu vya hovyo hovyo na kupelekea muumizwaji kuathirika vibaya sana.
 
Wanawake wanawapeleka speed za hatari...
Na ukute unaishi nyumba aliyojenga mkeo,heheh lazima uwe Monster... Ili mambo yaende... Otherwise utapigishwa hadi deki...

Infact kila mtu aishi tu,,, kwa maana wengine wanachoona sio sahii kuna wanaume wengine wanaona ni sahihi... Mapenzi yenyewe yapo corrupted siku hizi.. Hovyo tu
 
Mkuu nimeruka sana hizo content lakini naona unaongelea sana elimu kama kitu ambacho kinaleta madhara kwa wanawake. Labda tu nikwambie kitu kimoja, mara nyingi jinsi unavyopata treatment kwa mtu ni kutokana na matendo yako mwenyewe. Nimeona watu wengi wake zao wameendelea zaidi yao, lakini maisha fresh kabisa. Kama ulikuwa unanitreat vibaya na nikakupita, ujiandae kisaikolojia 😆😆😆 Elimu, pesa nk sio sababu ya mume kudharaulika.
UNATETEA JINSIA YENU HAPA
 
Huku case nying ni kuwa ukisamaliza chuo na ulikuwa na mahusiano na dem ...usitarajie ndo mnaendelea ..mkataba unaishia hapo hapo....sasa ukiona amejitahidi mkaendelea kidogo na kuanza kusaka kaz ya kufanyaa...yaan akipata kaz kabla yako hapo ndo mwsho wenuu...utadharauliwa na kuonekana c chochotee...yaan ndo hivyo wameumbwa hawa watu,ni wabinafsi haswaa na ndo maana unaweza msomesha kwa gharama zako akapata kaz ..dharau zinaanza hapo,na ukichunguza unakuta tu kapagawa na kanyanyua vyuma ambako akana mbele wala nyumaa
usipoteze DOMINANCE, LEADERSHIP, AUTHORITY JUU YA MKEO
 
Ulichosema ni ukwel lakini Mwanaume ata umzidi mwanamke kipato,elim nk kama utashindwa kusimama kwenye nafasi yako basi jua utatawaliwa tu.
Ilipoandikwa tuishi nao kwa akili walimaanisha akili ya kutumia vizuri nafasi zetu tulizopewa kama vichwa ndan ya familia zetu
Yeah
 
Elewq kwamba mwanamke ambaye mko same level kwny elimu dharau hazikosi..mbaya zaid ndo apate kazi kabla yako..hapo mahusiano yanafika mwsho...mwanamke ambaye ni wa size yako..kwanza awe chin kwa kila kitu kuanziq pesa hadi elimu....lkn kubwa zaid awe na sifa ya kukusikilizaa maana we ndo utakuwa kichwa ..ila mke akiwa na pesa hapo ndo anakuwa kichwa maana baba anakuwa hana kauli ndan ya nyumba
Kwa hiyo kawaida ili uwe na kauli ndani ya nyumba ni lazima uwe na pesa nyingi? daah
 
Ukisimamia majukumu yako na nafasi yako heshima inakaa sehemu husika, dharau hukooo pembeni
Na
Ndo ukwel wenyew..Mungu alituletea hawa viumbe tuwatawale..ndo maana babu zetu wqmeishi na bibi zetu hadi kifo cz wazee walisimama kidete kuhakikisha mwanamke anakuwa chin kwa namna yoyte ile ikiwa hata kuwanyima haki zao baadhi..ss iv wamepata viela kidogo wanadai 50/50...hao sasa tunawatumia tu na kuwatemaa...ila wa kuoa ndo wao unaosema wana heshima ....mwamamke akiwa na hela na pesa huwa heshima haipati sehem ya kukaa
 
The bad thing ni kuwa wanawake mko kwenye competition.Thats what going on in the background! Mungu alipotoa ujumbe tuishini nanyi kwa akili hakuutoa tu hivi hivi. Ukitaka kujua mwanamke yuko kwenye competition na wewe fulia uone.

Mwanamke sikuzote anapambana ili awe na uwezo sawa na mwanaume au amzidi! Ikitokea kwa namna yeyote mwanaume amechomoka kwenye line ya pesa basi kama mwanamke atakuwa vyema zaidi lazma atampita na kumuacha huwaga hamnaga subira. Ukishamuacha mume hatua kadhaa kwenye progress ya maisha ndipo anapopoteza control maana hutataka ku controliwa na mtu ambaye hana powers na uchumi ndio sauti yenyewe sikuhizi, huna hela utaongea nini usikilizwe kulipa bill huwezi chakula huna hela ya kununua. Wanawake wengi wanakuwa submissive mwanaume akiwa na power ya ku control mahusiano na uchumi ukiwa mzuri!

Ukizungumzia treatment i won’t agree with you sababu hata kama jamaa yako aliku treat vizuri kiasi gani when butters come to an end lazma utambadilikia tu! Wanawake wengi ndio mko hivyo hata kama jamaa alikuwa anakupeleka Dubai, ibiza, Bali, Hollywood siku nguvu ya kukupeleka kule akiwa hana utamchoka na kumdharau tu! Wengine huishia kuchanganyikiwa kabisa na kuona sasa dunia ni kizungumkuti mwanaume kazi hana tena ina maana mie ndio nitaanza kuchangia huduma za kifamilia. Gomvi linaanzia hapo!
Hii imekaa poa kabisa yaani ukibadilika kidogo tu utajua sura zao halisi
 
Walijua kuwa wanawake wako in Stealth Competition with us!

Mwanamke ukimdhoofisha kiuchumi na kiakili ndipo utaweza kum control vizuri ndio maana wali discourage kuwapeleka shule hata zilipoanza. Sisemei ilikuwa ni jambo zuri ila kwa yanayoendelea sasa ulimwenguni napata point kwanini wazee walikomaa wanawake wasiende shule zama zile za mawe!

Mwanamke akiwa na supreme powers au kiuchumi anakuwa hatawaliki sababu sheria zote zinamlinda yeye hivyo anakuwa yeye ana option ya kufuata takwa lako au asifuate na hamna kitu utafanya! Asili ya mwanamke anatakiwa awe submissive kwa mwanaume ila ikifikia hapa kuji submit pia inakuwa option mpaka ajiskie yeye. Matokeo yako ni divorce rate kupanda na rate ya ndoa kupungua.

Kuishinda vita hio lazma mwanaume uwe very strong upstairs na psychologically ili umtawale mwanamke kiakili sio kwa mabavu kama ilivyokuwa zama zile! On top of that ku exercise powers zako kama kidume lazma uwe na uchumi imara japo pia sio guarantee! Mwanamke anaweza amua tu kukupotezea akafungukia dume jingine (Umalaya).
BABA watasema unachochea mfumo dume hahaha,
 
oa mwanamke simple wa saiz yako na ubavu wako na aliyesahihi kwako, anayekusikiliza na kukuheshimu, unayeweza kumkontrol mkaishi nae kwa amani na ukawa kichwa na controller wa familia kama jinsi ambavyo MUNGU alivyoagiza mwanaume awe.

Hao wanawake wenye masters na kujiona kuwa wanapesa, wakaolewe na hiyo masters yao au pesa zao ziwaoe. Au wakaolewe mke wa saba na vile vijizee viprofesa vilivowafundisha hizo masters.
Ngumu kumeza na ni changamoto kwa dunia ya leo ya mafeminist wanaotaka haki zao 50/50..ila yote kwa yote tusimamie nafasi na majukumu yetu ipasavyo bila kutetereka no matter what
dawa ni kutafta mwanamke aliyetoka kwenye familia ambayo baba alikuwa anaheshimiwa na mkewe na ndo alikuwa kichwa na kidume wa familia na ndoa ilikuwa inaenda vzr.

Hapo hata mtoto wao wa kike anaweza kukueshimu, maana anajua jinsi mama yake na baba yake walivokuwa wakiishi.

sasa wee unaoa mtoto wa single maza unategemea nini? hata ukijamwambia akupelekee maji ya kuoga bafuni lazma ataona unamwonea, maana hana experience yoyote ile kutoka kwa wazazi wake na ndo ugomvi unapoanzia.
 
Itabidi nifungue jando.... Tuna vijana wa hovyo sana...

Wanawake wanawapeleka speed za hatari...
Na ukute unaishi nyumba aliyojenga mkeo,heheh lazima uwe monster... Ili mambo yaende... Otherwise utapigishwa hadi deki...

Infact kila mtu aishi tu,,, maana ake wengine wanachoona sio sahii kuna wanaume wengine wanaona ni sahihi... Mapenzi yenyewe yapo corrupted.. Hovyo tu
MAMBO YA JANDO NA UNYAGO HIVI SIKU HIZI YAPO KWELI?
 
kwa hiyo kawaida ili uwe na kauli ndani ya nyumba ni lazima uwe na pesa nyingi? daah
Ndo ivo mkuu ..kama mkeo ndo anasimama kama baba...hata kama utakuwa na misimamo gani lazma uyumbe tu...nadra sanaa kukuta mwanaume mwenye kauli kweny familia ambayo mwanamke ndo anaplay kazi kubwa kuihudumia
 
Ndo ivo mkuu ..kama mkeo ndo anasimama kama baba...hata kama utakuwa na misimamo gani lazma uyumbe tu...nadra sanaa kukuta mwanaume mwenye kauli kweny familia ambayo mwanamke ndo anaplay kazi kubwa kuihudumia
Somehow uko sahihi japo kuna KE wengine wanajishusha
 
Jamii za ukanda wa pwani bado wana hizo mambo ila ni kwa kiasi kidogo sana na zinaenda kupotea coz Walimu wa hayo mambo(makungwi) wameisha... waliopo wapo Corrupted. Wamekuwa wa hovyo
Sawasawa
 
Back
Top Bottom