Suala la mwanaume kuoa miaka hii ni gumu, labda mtu ujilipue tu

Suala la mwanaume kuoa miaka hii ni gumu, labda mtu ujilipue tu

Wewe hebu acha kujitoa ufahamu, kama ninyi hamuwezi kubadilika kwa ajili ya wanawake basi nanyi msiwalazimishe nao wabadilike kwa ajili yenu, point yangu ni kwamba hakuna kulalamikiana kila jinsia ivumilie ujinga wa nyingine
Kwa kweliiii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mababa awa wanaolawiti vijana wao?!! Ndugu yangu Dunia ya sasa iko ovyo ovyo ni kuomba Mungu tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan ni tafrani kwa kweli.
 
Mitaani kuna mabinti wachache sana ambao wanafaa kuwa wife materials, ila wengi ni shida..nimeona ili mwanaume upate mke inabidi aidha umwombe Mungu sana, au ukubaliane na ujinga wa mwanamke Kama vile

1)Ukimtongoza leo kesho akikuomba hela, ingawa unajua hii ni red flag, we mpe kama unayo, kama huna unamwambia huna utampa siku ingine.

2) Akikutukana na kujibu majibu ya dharau wakati unamtongoza, jizime data endelea kupiga vocal.

3) Anasema anakuja sehemu fulani halafu haji, jifanye huja-mind, endelea piga vocal hadi uchoke mwenyewe

4)In a relationship ha-invest chochote hataki kuKupikia Mara moja moja, wewe jitoe Data, ndani ya ndoa utamtafutia mfanyakazi..

Nahisi waliooa, wengi wao walivumilia huu ujinga tangu mwanzo ndo maana walioa, ila kwa mm ambaye siwezagi vumilia ujinga wa mwanamke sababu ndio nilivyo, acha niendelee kununua wanaojiuza barabarani
Kwanza kabisa, ukikutana na mwanamke anakujibu majibu ya kijinga, mwache akaliwe tigo na wengine. Akikuomba hela kama mgogo, huyo kabisaaa hafai, achana naye mara moja. Wanawake mizigo wasiochangia chochote kwenye penzi ni wa kuchapa tu kisha unawaacha kwenye mataa kwani ukiendelea kuwa nao watakupotezea muda tu.
 
Back
Top Bottom