Huyo Kikeke kama kweli kaenda EFM itabidi apimwe akili. Mtu unaondokaje BBC na kujinga EFM kama kweli akili zako zimetimia? Hii mi sawa na kutoka chuo kikuu ukahamia chekechea. Ni aibu kubwa sana kwake.Nimeona jinsi watu wanavyomshambulia Kikeke kwenye akaunti zake za kijamii kwa uamuzi wake wa kujiunga na kituo cha matangazo cha E-fm.
Nimebaki kuajabia tabia ya watanzania. Maisha ni yake, uamuzi ni wake cha ajabu anatukanwa na kudhalilishwa na wachangiaji juu ya uamuzi wake huo.
Tanzania ni taifa la watu wa hovyo sijapata kuona.
Hatua ipi ?kwa mfano Kwako unaweza kuona jero ni ela ya kupiga hatua ya kuanzisha biashara mwenzako jero ni ela ya ndogo anahitaji buku mbili maisha ni kuhusu mtazamo nyie mnachowaza mwenzenu haja kionaKwa hatua aliyopiga ilibidi aanzishe Televisheni yake atoe platform kwa vijana wadogo waandishi
Wewe ndiye ukapimwe akili. Unatoleaje macho maisha ya mtu mwingine?Huyo Kikeke kama kweli kaenda EFM itabidi apimwe akili. Mtu unaondokaje BBC na kujinga EFM kama kweli akili zako zimetimia? Hii mi sawa na kutoka chuo kikuu ukahamia chekechea. Ni aibu kubwa sana kwake.
Huyo Kikeke kama kweli kaenda EFM itabidi apimwe akili. Mtu unaondokaje BBC na kujinga EFM kama kweli akili zako zimetimia? Hii mi sawa na kutoka chuo kikuu ukahamia chekechea. Ni aibu kubwa sana kwake
Unajua situation yake hadi kufikia maamuzi hayo? Au una conclude wewe tu unavyowazaHakuna kitu kizuri kwenye maisha kama ukuaji BBC ni platform kubwa sana duniani compared to EFM. Sio kwa ubaya kitendo cha kutoka BBC kurudi bongo kuajiriwa ni nonsense.
Kwa level za SK ilibidi awe Founder kwenye Televisheni yake hizi local Media ilibidi awe ni partner tu sio muajiriwa kwa Salim Kikeke sio ishu ya pesa pekee bali brand
Mkuu, hivi do you guys think kwamba maisha ya nje yana wapa watu wote happiness eehhh....Alishindwa kulipa bills za umeme na gas hivi BBC unaifananisha na Clouds Televisheni?
Hatujui mshahara wa Kikeke alipokuwa BBC, lakini naamini haukuwa mkubwa.Wewe unaongea kama nani? Kwa nini umpangie maisha mtu ambaye hata hakufahamu? Ni nani aliwahi kutoka BBC akaanzisha hata blog tu?
Kule BBC alikuwa analipwa Tsh 15M kwa wiki, sawa na Tsh 60M kwa mwezi. Majizo ana ubavu wa kumlipa hela hizo au unasema tu? Think TWICE my friend.Unajua situation yake hadi kufikia maamuzi hayo? Au una conclude wewe tu unavyowaza
Wewe hapo unayatolea mknd? Acha shobo kijanaWewe ndiye ukapimwe akili. Unatoleaje macho maisha ya mtu mwingine?
Unayajua maisha yake binafsi? Unauhakika na investment zake mpaka useme ameshuka? you can't conclude without enough evidence je kama hiyo kazi ya EFM haimbani kwenye mishe zake binafsi anazofanya ? Achague kazi halali ili awaimpress watu dizain yako. Watu kama wewe ni type ya bongo movie or bongo fleva mnaishi fake life kwa ajili ya kuwaimpress watuHakuna kitu kizuri kwenye maisha kama ukuaji BBC ni platform kubwa sana duniani compared to EFM. Sio kwa ubaya kitendo cha kutoka BBC kurudi bongo kuajiriwa ni nonsense.
Kwa level za SK ilibidi awe Founder kwenye Televisheni yake hizi local Media ilibidi awe ni partner tu sio muajiriwa kwa Salim Kikeke sio ishu ya pesa pekee bali brand
Hakustaff bhanaa..! Wanadai BBC swahili iko chini ya Kenya now so ishu ya ajira na mkataba imekuwa kipengele kwa wabongo sema Kwa charlea hilari alistaff na yule mwana mama wakalamba shavu Serikalini.. Kikeke nae ni suala la muda tuu yani kama Godin Ligondwe alilamba shavuuu huyu nae atalamba shavuSamahani kiongozi kahama kutokea RADIO gani kwenda E-FM?. Mm najua alistaff BBC.
Asante
Mi sio kijana. Nina uhakika ni sawa na baba yako. Vijana wa siku hizi mna mambo ya kipumbavu sana. Kutukana ni dalili mojawapo ya upumbavu.Wewe hapo unayatolea mknd? Acha shobo kijana
Ukiangalia kwa upande mwingine, watz wanamuona ana talanta zaidi! Anastahili kuwa na cheo ki kubwa kama msemaji wa ikulu! CEO wa TBC!, au, Al Jazeera, sio kwenda kuajiliwa kwenye kampuni ndogo kama EFM,harafu ulipwe mshahara kama wa Kitenge au Zembwela!Nimeona jinsi watu wanavyomshambulia Kikeke kwenye akaunti zake za kijamii kwa uamuzi wake wa kujiunga na kituo cha matangazo cha E-fm.
Nimebaki kuajabia tabia ya watanzania. Maisha ni yake, uamuzi ni wake cha ajabu anatukanwa na kudhalilishwa na wachangiaji juu ya uamuzi wake huo.
Tanzania ni taifa la watu wa hovyo sijapata kuona.