Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Hao ndo wanadamu bwana. Ndo maana chief hangaya kaamua kukaa kimyaAkiwa ana kula bata bila kuwa na kazi hamtaki, akifanya kazi hamtaki...!
Akija kuwa chawa mtanuna na kupasuka!🤣🤣🤣
Wewe hapa unafanya nini au nawe ni jobless? Usiwapangie watu hoja za kujadili mkuu. Kawapangie wanawe na mkeweNchi kadri majobless wanapoongezeka ndio ujinga unapoongezeka ukiwa huna kaz za kufanya muda mwingi utatumia kujadili maisha ya watu tu Na ufitini,husda,roho mbaya,uchawi,masimango,chuki nyingi,
Ukweli upi?Asiambiwe ukweli?
Laana ya kumtukana na kumsema Magufuli kila uchwao wakati wa uhai wake. Kutoka BBC hadi EFM. Dah ni fedheha angaeanzisha hata kilimo tu. Naona kama alikuwa amejipanga a badili nafasi ya Msigwa bahati mbaya sana mama nafikiri hajashawishika. Dah hatari sanaKutoka kufanya kazi BBC kuja kufanya kazi na wakina Masanja ni upoyoyo huo. Kikeke ni mfano mbaya kwa vijana wapambanaji
[emoji23][emoji23][emoji23]Ukiangalia kwa upande mwingine, watz wanamuona ana talanta zaidi! Anastahili kuwa na cheo ki kubwa kama msemaji wa ikulu! CEO wa TBC!, au, Al Jazeera, sio kwenda kuajiliwa kwenye kampuni ndogo kama EFM,harafu ulipwe mshahara kama wa Kitenge au Zembwela!
Yaani Salim wa BBC aende EFM harafu awe anajibishana na watu vilaza kama Zembwela, Kitenge?!!
Tunaona anastahili ki kubwa!
Juzi,kwenye mkutano wa chakula kule Dar, MC wa, shughuri alikuwa mtangazaji wa CNN raia wa Kenya, Larry madowo! Kenge kama Zembwela, au Hando na kitenge, hata kama waliona lile tangazo, walipita pembeni! Maana shule Yao ndogo! Pale sio pa porojo za yanga na Simba!
Sure. Kwa tabia za hizi media atatoka hapo ataenda wasafi atarudi hapo atakuwa kama kitenge full kuzururaHuyu jamaa na sikia kwamba alivyo rudi akajikita kwenye issues binafsi za uMC (huku kuna hela mno).
Mimi naona angekomaa na uMC unalipa ,kwa mtu kama Kikeke ana exposure, lugha ya Kingereza anaijua,sauti nzuri anayo sizani angekosa shughuli hata tano kwa mwezi,kwani nimemuona kwenye event nyingi za kiserikali kama MC,tena kama akicharge 3M mara tano hakosi 15M.
Ila sijui yy mwenye kaona nini ila Kikeke sio wa kufanya kazi kwenye hizi media za Wasafi, EFM,Clouds nk naona kama ataenda kutangaza kwa style ya kikatuni katuni.
,kama wafanyavyo watangazaji wa hivi vituo.
Huwezi jua Kwa Nini ameondoka ujue kupanga ni kuchagua kaka usimseme ni maisha halafu amekaa Sana nje ni muda wa yeye kuinjoi nchini kwake jamaniKutoka kufanya kazi BBC kuja kufanya kazi na wakina Masanja ni upoyoyo huo. Kikeke ni mfano mbaya kwa vijana wapambanaji
40m/mweziAnalipwa kiasi gani hapo efm?
Huyu alitaka aende wasafiUnawaza kama kuku mzee kama akili ndo hizo tutawaliwe tena tu miaka 100 kama trump alivotamani
Wewe angeenda WCB ungemsifu humu mpk baasiKikeke ujanja Hana , akina Ruge walienda USA sjui kusoma tuu wakarudi na masponsor kibao , chap wakafyatua vitu, yeye amekaa uingereza miaka na Miaka ameshindwa kutengeneza platform anashindwa mpak na akina zamaradi mketema , tuseme Tu kwamba jamaa ni bonge la kiazi
Mkuu kaa kimya usimjuze mjinga. Dogo anaongea asichokijuaRuge alikuwa mwajiriwa wa Clouds, au hujui? Vyote alivyofanya ni kutokana yeye kuwepo Clouds. Mbona hakuchomoka na kuanzisha kitu chake?
Sijui hii tabia ilizukia wapi ila Mungu atusaidie tutakua na taifa la ajabu sanaWatu wengi hawana kazi za kufanya,hivyo hujikuta wanafuatilia tu maisha ya watu,
Unakuta mtu maisha yake yeye mwenyewe hayaelewi wala hayaeleweki halafu anataka kumpangia Kikeke maisha yake,this is the highest stupidity.
Hii Nchi imejaa mbumbumbu huwezi shangaaNimeona jinsi watu wanavyomshambulia Kikeke kwenye akaunti zake za kijamii kwa uamuzi wake wa kujiunga na kituo cha matangazo cha E-fm.
Nimebaki kuajabia tabia ya watanzania. Maisha ni yake, uamuzi ni wake cha ajabu anatukanwa na kudhalilishwa na wachangiaji juu ya uamuzi wake huo.
Tanzania ni taifa la watu wa hovyo sijapata kuona.
Habari za Tajiri muulize maskiniAsiambiwe ukweli?