Jamal Akbar
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 413
- 471
kwahiyo ye anaona usikivu wa mama kwa kupolelewa cmu yake?Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' amewaambia Wananchi wa Mbeya kuwa ana uwezo wa kumpigia simu Mh Rais Samia Suluhu Hassan hata usiku kumueleza changamoto za Wananchi wa Mbeya, kama aliweza kumpigia simu na aliweza kufika kwenye shoo yake usiku. Sasa atashindwa nini? na Mama msikivu.
Ameelezea hayo katika mkutano wa uzinduzi wa Mkoa katika viwanja vya Luanda Nzovwe
Pia Sugu amewaambia Wana Mbeya aliwa'miss' sana maana alisubiri misiba ndio wakutane kusalimia, lakini wanamshukuru Rais Samia kwa kuwaondolea kifungo hicho na kuruhusu mikutano.
View attachment 2529724
Kweli ni mweupe, na anaye mjudge yupo nyuma ya keyboard, kashindwa hata kutoa profile picture yake.Sugu ukitoa mziki wake wa ovyo wa harakati wa miaka hiyo.
Mweupe sana kichwani kwa siasa za upinzani
Mweupe lakini sio type yako kubali tu yaishe.Sugu ukitoa mziki wake wa ovyo wa harakati wa miaka hiyo.
Mweupe sana kichwani kwa siasa za upinzani
Uneongea kwa uchungu sanaHawawezi kuongea siasa zao pasipo kumtaja Mh.Samia
Kipimo cha upumvavu wako ni 130kpmSugu ukitoa mziki wake wa ovyo wa harakati wa miaka hiyo.
Mweupe sana kichwani kwa siasa za upinzani
Siyo kujikomba, nchi ilikuwa inatawaliwa na shetani aliyetwaliwa kuzimu.Huku kujikomba kumepitiliza sasa[emoji1787]
Wewe mbona hujawahi kuchaguliwa hata balozi wa nyumba 10 zile wanazokaa ccm wajinga.Sugu ukitoa mziki wake wa ovyo wa harakati wa miaka hiyo.
Mweupe sana kichwani kwa siasa za upinzani
Kwani huyo Mh. samia ana hati miliki?Hawawezi kuongea siasa zao pasipo kumtaja Mh.Samia
πHuku kujikomba kumepitiliza sasa[emoji1787]
π€£Kwani huyo Mh. samia ana hati miliki?
Kwani huyo Mh. samia ana hati miliki?