Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
jiwe=satan,devilMatapeli haya ndio maana Magufuli aliyapiga pini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jiwe=satan,devilMatapeli haya ndio maana Magufuli aliyapiga pini.
Hata ningekua mimi ningemtaja bila yeye wasingeruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara lazima wamshukuru. Yule marehemu aliwazuia kukutana na aliwapiga sana virungu na kwenda lockup yani walikosa uhuru wa kukusanyika.Wana mtaja sana katika mazingira yanayoonesha pasipo Mh.Samia baasi wao si kitu, zaidi ni kama hawataji sera zao kwa sasa zaidi ya kupita na kumshukuru 'maza' au kumponda JPM kila waendapo
Hawawezi kuongea siasa zao pasipo kumtaja Mh.Samia
Kusema ukweli hakuwezi kuwa dhambi, aachwe atoe maoni yake, kuliko kuendekeza siasa za kiharakati na uongo uongo kila wakati zisizo na maana.Huku kujikomba kumepitiliza sasa[emoji1787]
Kundi la Mgaso wamedhamiria kumzamisha Betina kupitia SUGU..NYO maana anahusishwa na kundi lile.Sugu ni mwanasiasa makini sana. Hakuna ubishi kwamba mama anaupiga mwingi.
NonsenseSiyo kujikomba, nchi ilikuwa inatawaliwa na shetani aliyetwaliwa kuzimu.
Sugu amekaa jela Kwa madhira ya shetani wa Chato, Mama ameleta utengamano Kwa nini wasimshukuru?
Watanzania mnapenda unafki wa kumsifu mtu akiwa amekufa.
Mama apewe mauwa yake akiwa hai, mama ameliponya Taifa lililokuwa linatawaliwa Kwa mkono wa chuma.
Umemaliza mkuu.Sugu anamaanisha CCM ni mbaya ila Sa100 mzuri.
Sasa ikiwa Sa100 akigombea 2025 Kwa mapenzi ya Mungu na asichaguliwe, Sugu atawezaje kumpigia simu Ili Asaidie Maendeleo ktk Jimbo lake?
In other words, SUGU asema CDM isisimamishe mgombea 2025.
Ukombozi wa Nchi hii utaletwa na Desmond Tutu yuleee au Martin Luther wa machame, Si vyama hivi uchwara.
Apewe mauwa yake Kweli Sa100.Siyo kujikomba, nchi ilikuwa inatawaliwa na shetani aliyetwaliwa kuzimu.
Sugu amekaa jela Kwa madhira ya shetani wa Chato, Mama ameleta utengamano Kwa nini wasimshukuru?
Watanzania mnapenda unafki wa kumsifu mtu akiwa amekufa.
Mama apewe mauwa yake akiwa hai, mama ameliponya Taifa lililokuwa linatawaliwa Kwa mkono wa chuma.
Mtu asiye furahishwa na kitendo cha Rais Sami kudumisha amani na utulivu atakuwa Mchawi.Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' amewaambia Wananchi wa Mbeya kuwa ana uwezo wa kumpigia simu Mh Rais Samia Suluhu Hassan hata usiku kumueleza changamoto za Wananchi wa Mbeya, kama aliweza kumpigia simu na aliweza kufika kwenye shoo yake usiku. Sasa atashindwa nini? na Mama msikivu.
Ameelezea hayo katika mkutano wa uzinduzi wa Mkoa katika viwanja vya Luanda Nzovwe
Pia Sugu amewaambia Wana Mbeya aliwa'miss' sana maana alisubiri misiba ndio wakutane kusalimia, lakini wanamshukuru Rais Samia kwa kuwaondolea kifungo hicho na kuruhusu mikutano.
View attachment 2529724
Waliopiga pini sasa wako wapi?Matapeli haya ndio maana Magufuli aliyapiga pini.
Mmepanic. Samia juuuuu!!!Wana mtaja sana katika mazingira yanayoonesha pasipo Mh.Samia baasi wao si kitu, zaidi ni kama hawataji sera zao kwa sasa zaidi ya kupita na kumshukuru 'maza' au kumponda JPM kila waendapo
Hao wanaitwa cdm asaliHuku kujikomba kumepitiliza sasa[emoji1787]
Mama kwa uwezo wa Mungu amelikomboa Taifa lililokuwa mikononi mwa ibilisiSiyo kujikomba, nchi ilikuwa inatawaliwa na shetani aliyetwaliwa kuzimu.
Sugu amekaa jela Kwa madhira ya shetani wa Chato, Mama ameleta utengamano Kwa nini wasimshukuru?
Watanzania mnapenda unafki wa kumsifu mtu akiwa amekufa.
Mama apewe mauwa yake akiwa hai, mama ameliponya Taifa lililokuwa linatawaliwa Kwa mkono wa chuma.
Kilo ya mchele inaeleke elfu 4. miaka miwili nyuma ilikua 1800Sugu ni mwanasiasa makini sana. Hakuna ubishi kwamba mama anaupiga mwingi.
Uneongea kwa uchungu sana