Sugu: Rais Samia ni mama msikivu nampigia simu hata usiku

Sugu: Rais Samia ni mama msikivu nampigia simu hata usiku

Wana mtaja sana katika mazingira yanayoonesha pasipo Mh.Samia baasi wao si kitu, zaidi ni kama hawataji sera zao kwa sasa zaidi ya kupita na kumshukuru 'maza' au kumponda JPM kila waendapo
Hata ningekua mimi ningemtaja bila yeye wasingeruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara lazima wamshukuru. Yule marehemu aliwazuia kukutana na aliwapiga sana virungu na kwenda lockup yani walikosa uhuru wa kukusanyika.
 
Sugu anamaanisha CCM ni mbaya ila Sa100 mzuri.

Sasa ikiwa Sa100 akigombea 2025 Kwa mapenzi ya Mungu na asichaguliwe, Sugu atawezaje kumpigia simu Ili Asaidie Maendeleo ktk Jimbo lake?

In other words, SUGU asema CDM isisimamishe mgombea 2025.

Ukombozi wa Nchi hii utaletwa na Desmond Tutu yuleee au Martin Luther wa machame, Si vyama hivi uchwara.
 
Hawawezi kuongea siasa zao pasipo kumtaja Mh.Samia

Hivi upewe pesa na uambiwe ukiwa na shida nipigie, utaacha kusifu yaani Samia kajua kucheza kete zake iwe upinzani au ccm wenzie wote wanansifu tu na kuabudu
 
Haya maridhiano yanayoendelea Kuna vitu wananchi watuambiwi.

Mzee mmoja alimwambia kijana mmoja aliyekuwa na wake 2 kuwa,

"Ukiona siku moja wake zako Hawa wanaokugombea Kila kukicha, wameungana na kuwa marafiki, jua kuwa mwisho wako umewadia"

Me nimestuka, wew je!!!!!
 
Sugu ni mwanasiasa makini sana. Hakuna ubishi kwamba mama anaupiga mwingi.
Kundi la Mgaso wamedhamiria kumzamisha Betina kupitia SUGU..NYO maana anahusishwa na kundi lile.

Wanagawana nyama kabisa kabla hata ng'ombe hajachinjwa.

Tusubiri.
 
Siyo kujikomba, nchi ilikuwa inatawaliwa na shetani aliyetwaliwa kuzimu.

Sugu amekaa jela Kwa madhira ya shetani wa Chato, Mama ameleta utengamano Kwa nini wasimshukuru?

Watanzania mnapenda unafki wa kumsifu mtu akiwa amekufa.

Mama apewe mauwa yake akiwa hai, mama ameliponya Taifa lililokuwa linatawaliwa Kwa mkono wa chuma.
Nonsense
 
Sugu anamaanisha CCM ni mbaya ila Sa100 mzuri.

Sasa ikiwa Sa100 akigombea 2025 Kwa mapenzi ya Mungu na asichaguliwe, Sugu atawezaje kumpigia simu Ili Asaidie Maendeleo ktk Jimbo lake?

In other words, SUGU asema CDM isisimamishe mgombea 2025.

Ukombozi wa Nchi hii utaletwa na Desmond Tutu yuleee au Martin Luther wa machame, Si vyama hivi uchwara.
Umemaliza mkuu.
 
Siyo kujikomba, nchi ilikuwa inatawaliwa na shetani aliyetwaliwa kuzimu.

Sugu amekaa jela Kwa madhira ya shetani wa Chato, Mama ameleta utengamano Kwa nini wasimshukuru?

Watanzania mnapenda unafki wa kumsifu mtu akiwa amekufa.

Mama apewe mauwa yake akiwa hai, mama ameliponya Taifa lililokuwa linatawaliwa Kwa mkono wa chuma.
Apewe mauwa yake Kweli Sa100.

Wanambeya 2025 panapo Majaliwa, Ubunge wampe SUGU..NYO, bt UCEO apewe sa100😳😳
 
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' amewaambia Wananchi wa Mbeya kuwa ana uwezo wa kumpigia simu Mh Rais Samia Suluhu Hassan hata usiku kumueleza changamoto za Wananchi wa Mbeya, kama aliweza kumpigia simu na aliweza kufika kwenye shoo yake usiku. Sasa atashindwa nini? na Mama msikivu.

Ameelezea hayo katika mkutano wa uzinduzi wa Mkoa katika viwanja vya Luanda Nzovwe

Pia Sugu amewaambia Wana Mbeya aliwa'miss' sana maana alisubiri misiba ndio wakutane kusalimia, lakini wanamshukuru Rais Samia kwa kuwaondolea kifungo hicho na kuruhusu mikutano.

View attachment 2529724
Mtu asiye furahishwa na kitendo cha Rais Sami kudumisha amani na utulivu atakuwa Mchawi.
 
Wana mtaja sana katika mazingira yanayoonesha pasipo Mh.Samia baasi wao si kitu, zaidi ni kama hawataji sera zao kwa sasa zaidi ya kupita na kumshukuru 'maza' au kumponda JPM kila waendapo
Mmepanic. Samia juuuuu!!!
 
Siyo kujikomba, nchi ilikuwa inatawaliwa na shetani aliyetwaliwa kuzimu.

Sugu amekaa jela Kwa madhira ya shetani wa Chato, Mama ameleta utengamano Kwa nini wasimshukuru?

Watanzania mnapenda unafki wa kumsifu mtu akiwa amekufa.

Mama apewe mauwa yake akiwa hai, mama ameliponya Taifa lililokuwa linatawaliwa Kwa mkono wa chuma.
Mama kwa uwezo wa Mungu amelikomboa Taifa lililokuwa mikononi mwa ibilisi
 
Na Samia yupo vizuri kweli...ila ccm inamwangusha
 
Back
Top Bottom