Sugu: Rais Samia ni mama msikivu nampigia simu hata usiku

Sugu: Rais Samia ni mama msikivu nampigia simu hata usiku

Sugu ukitoa mziki wake wa ovyo wa harakati wa miaka hiyo.

Mweupe sana kichwani kwa siasa za upinzani
Jamaa una CHUKI Sana..wanaume hawako hivyo mnaweza kukutana jela akawa msaada🏃🏃🏃
 
Hata ningekua mimi ningemtaja bila yeye wasingeruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara lazima wamshukuru. Yule marehemu aliwazuia kukutana na aliwapiga sana virungu na kwenda lockup yani walikosa uhuru wa kukusanyika.
Watermelon upo slow sana.
 
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' amewaambia Wananchi wa Mbeya kuwa ana uwezo wa kumpigia simu Mh Rais Samia Suluhu Hassan hata usiku kumueleza changamoto za Wananchi wa Mbeya, kama aliweza kumpigia simu na aliweza kufika kwenye shoo yake usiku. Sasa atashindwa nini? na Mama msikivu.

Ameelezea hayo katika mkutano wa uzinduzi wa Mkoa katika viwanja vya Luanda Nzovwe

Pia Sugu amewaambia Wana Mbeya aliwa'miss' sana maana alisubiri misiba ndio wakutane kusalimia, lakini wanamshukuru Rais Samia kwa kuwaondolea kifungo hicho na kuruhusu mikutano.

View attachment 2529724
"Tuna Rais msikivu kwa kweli, pia kila pahala barabara zinajengwa, maendeleo tunayaona mungu atupe nini Yarabi"
 
Siasa za kistaarabu utazipima vizuri zaidi kwenye uchaguzi wa mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025.
Mimi binafsi, naridhika sana na siasa za kistaarabu, na nitasikitika sana kama kutatokea kiongozi yeyote wa upinzani kumkujeli Rais Samia.

Rais Samia amefanya mengi mazuri tena kwenye mazingira magumu ambayo kwa kiasi kikubwa yanasababishwa na lile kundi la wanaopenda uharamia wa siasa zile za awamu ya 5.

Na wakizidi kufanya vitimbwi, vyama vya upinzani viweke wagombea ambao kazi kubwa itakuwa kumpigia kampeni Rais Samia, halafu tuone kama wale wapenda siasa za kuuana kama watatoboa.
 
Kinachonishangaza mm, mama akisifiwa mataga hawataki, akikosolewa hawataki, mpaka unajiuliza hawa ni watu wa namna gani?
 
Wana mtaja sana katika mazingira yanayoonesha pasipo Mh.Samia baasi wao si kitu, zaidi ni kama hawataji sera zao kwa sasa zaidi ya kupita na kumshukuru 'maza' au kumponda JPM kila waendapo
Weka hotuba nzima Ili tujue hoja iliyosemwa na sio kuokoteza vipande tu
 
Haya maridhiano yanayoendelea Kuna vitu wananchi watuambiwi.

Mzee mmoja alimwambia kijana mmoja aliyekuwa na wake 2 kuwa,

"Ukiona siku moja wake zako Hawa wanaokugombea Kila kukicha, wameungana na kuwa marafiki, jua kuwa mwisho wako umewadia"

Me nimestuka, wew je!!!!!
Ni maridhiano ila hatujui upande mmoja wao wameridhia nini.
 
Hata ningekua mimi ningemtaja bila yeye wasingeruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara lazima wamshukuru. Yule marehemu aliwazuia kukutana na aliwapiga sana virungu na kwenda lockup yani walikosa uhuru wa kukusanyika.
Wanashukuru kwa hisani
Kwa misingi ipi wakati ni haki yao kikatiba??

Chadema mna matatizo sana.
 
Ndio matokeo chanya ya Maridhiano😁

20230105_174715.jpg
 
Kusema ukweli hakuwezi kuwa dhambi, aachwe atoe maoni yake, kuliko kuendekeza siasa za kiharakati na uongo uongo kila wakati zisizo na maana.
Hicho unachokisema wakifanye tu chadema ila wakifanya chama chengine tafsiri yake inakuwa nyengine kabisa.
 
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' amewaambia Wananchi wa Mbeya kuwa ana uwezo wa kumpigia simu Mh Rais Samia Suluhu Hassan hata usiku kumueleza changamoto za Wananchi wa Mbeya, kama aliweza kumpigia simu na aliweza kufika kwenye shoo yake usiku. Sasa atashindwa nini? na Mama msikivu.

Ameelezea hayo katika mkutano wa uzinduzi wa Mkoa katika viwanja vya Luanda Nzovwe

Pia Sugu amewaambia Wana Mbeya aliwa'miss' sana maana alisubiri misiba ndio wakutane kusalimia, lakini wanamshukuru Rais Samia kwa kuwaondolea kifungo hicho na kuruhusu mikutano.

View attachment 2529724
kwasasa naona wanapambania maslah yao zaidi
 
Japo siasa sio uadui ila hii nchi upinzani ndio basi tena. Washapoteza muelekeo kabisaa.
 
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' amewaambia Wananchi wa Mbeya kuwa ana uwezo wa kumpigia simu Mh Rais Samia Suluhu Hassan hata usiku kumueleza changamoto za Wananchi wa Mbeya, kama aliweza kumpigia simu na aliweza kufika kwenye shoo yake usiku. Sasa atashindwa nini? na Mama msikivu.

Ameelezea hayo katika mkutano wa uzinduzi wa Mkoa katika viwanja vya Luanda Nzovwe

Pia Sugu amewaambia Wana Mbeya aliwa'miss' sana maana alisubiri misiba ndio wakutane kusalimia, lakini wanamshukuru Rais Samia kwa kuwaondolea kifungo hicho na kuruhusu mikutano.

View attachment 2529724
Hizi akili gani,unawezaje kumshukuru oppressor,mtu anayesimamia mfumo kandamizi?Samia anaongoza chama kile kile kilichojaribu kumuua lisu,kilimfunga mwenyekiti wako,na kufanya mauaji Mengi,
Haingii akilini kumshukuru,hakuna fadhila amefanya,presha ya jumuhiya ya kimataifa,ndio imemlazimisha kuondoa zuio haramu la mikutano ya kisiasa,
Huwezi kusema hupendi samaki lakini unapenda mchuzi wa samaki,
Hii hari ya kumuona mtesi wako kama mtu mzuri,inaitwa "Stockholm syndrome""
Ccm ni majambazi,ogopa majitu yanayonufaika na huu mfumo,na mazambi yote ccm waliyofsnya,hutakuja kusikia mtu kama warioba anakemea,huu mfumo unamnufaisha yeye na familia yake.
Hawa watu inabidi watiwe presha ndani na nje ya nchi mpaka,waache ukandamizaji,nchi iwe huru.
 
Back
Top Bottom