Turnkey
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 7,359
- 5,837
Jamaa una CHUKI Sana..wanaume hawako hivyo mnaweza kukutana jela akawa msaada🏃🏃🏃Sugu ukitoa mziki wake wa ovyo wa harakati wa miaka hiyo.
Mweupe sana kichwani kwa siasa za upinzani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa una CHUKI Sana..wanaume hawako hivyo mnaweza kukutana jela akawa msaada🏃🏃🏃Sugu ukitoa mziki wake wa ovyo wa harakati wa miaka hiyo.
Mweupe sana kichwani kwa siasa za upinzani
Watermelon upo slow sana.Hata ningekua mimi ningemtaja bila yeye wasingeruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara lazima wamshukuru. Yule marehemu aliwazuia kukutana na aliwapiga sana virungu na kwenda lockup yani walikosa uhuru wa kukusanyika.
Kilaza mwingine.Hiyo mikutano ya siasa kwa katiba yetu ni hekima ya Samia kwa nini wasimshukuru. Huyu mama atapata heshima kama mama wa demokrasia sio yule mnyama aliye kuzimu.
Jifunze kutofautisha jealousy and concern.Watu bana yani mnaona wivu sugu kumsifia rais wa nchi tuu mbona mambo ya kipumbavu mengi tu watu mnasifia hamsemi.?
"Tuna Rais msikivu kwa kweli, pia kila pahala barabara zinajengwa, maendeleo tunayaona mungu atupe nini Yarabi"Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' amewaambia Wananchi wa Mbeya kuwa ana uwezo wa kumpigia simu Mh Rais Samia Suluhu Hassan hata usiku kumueleza changamoto za Wananchi wa Mbeya, kama aliweza kumpigia simu na aliweza kufika kwenye shoo yake usiku. Sasa atashindwa nini? na Mama msikivu.
Ameelezea hayo katika mkutano wa uzinduzi wa Mkoa katika viwanja vya Luanda Nzovwe
Pia Sugu amewaambia Wana Mbeya aliwa'miss' sana maana alisubiri misiba ndio wakutane kusalimia, lakini wanamshukuru Rais Samia kwa kuwaondolea kifungo hicho na kuruhusu mikutano.
View attachment 2529724
Mimi binafsi, naridhika sana na siasa za kistaarabu, na nitasikitika sana kama kutatokea kiongozi yeyote wa upinzani kumkujeli Rais Samia.
Rais Samia amefanya mengi mazuri tena kwenye mazingira magumu ambayo kwa kiasi kikubwa yanasababishwa na lile kundi la wanaopenda uharamia wa siasa zile za awamu ya 5.
Na wakizidi kufanya vitimbwi, vyama vya upinzani viweke wagombea ambao kazi kubwa itakuwa kumpigia kampeni Rais Samia, halafu tuone kama wale wapenda siasa za kuuana kama watatoboa.
Leta hotuba nzima na sio kuokoteza vipande Ili tujue hoja iliyokuwepoHawawezi kuongea siasa zao pasipo kumtaja Mh.Samia
Weka hotuba nzima Ili tujue hoja iliyosemwa na sio kuokoteza vipande tuWana mtaja sana katika mazingira yanayoonesha pasipo Mh.Samia baasi wao si kitu, zaidi ni kama hawataji sera zao kwa sasa zaidi ya kupita na kumshukuru 'maza' au kumponda JPM kila waendapo
Hivi huwa tunatumia vigezo gani kumchagua mbunge?Apewe mauwa yake Kweli Sa100.
Wanambeya 2025 panapo Majaliwa, Ubunge wampe SUGU..NYO, bt UCEO apewe sa100😳😳
Ni maridhiano ila hatujui upande mmoja wao wameridhia nini.Haya maridhiano yanayoendelea Kuna vitu wananchi watuambiwi.
Mzee mmoja alimwambia kijana mmoja aliyekuwa na wake 2 kuwa,
"Ukiona siku moja wake zako Hawa wanaokugombea Kila kukicha, wameungana na kuwa marafiki, jua kuwa mwisho wako umewadia"
Me nimestuka, wew je!!!!!
Mwisho kapigwa yeye nondo ,pini yake imekatika 😜😜😜Matapeli haya ndio maana Magufuli aliyapiga pini.
Mwambie atoke ccm na kuja kugombea urais upinzani ndio utajua ccm inamuangusha au inamsimamisha.Na Samia yupo vizuri kweli...ila ccm inamwangusha
Wanashukuru kwa hisaniHata ningekua mimi ningemtaja bila yeye wasingeruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara lazima wamshukuru. Yule marehemu aliwazuia kukutana na aliwapiga sana virungu na kwenda lockup yani walikosa uhuru wa kukusanyika.
Hicho unachokisema wakifanye tu chadema ila wakifanya chama chengine tafsiri yake inakuwa nyengine kabisa.Kusema ukweli hakuwezi kuwa dhambi, aachwe atoe maoni yake, kuliko kuendekeza siasa za kiharakati na uongo uongo kila wakati zisizo na maana.
kwasasa naona wanapambania maslah yao zaidiAliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' amewaambia Wananchi wa Mbeya kuwa ana uwezo wa kumpigia simu Mh Rais Samia Suluhu Hassan hata usiku kumueleza changamoto za Wananchi wa Mbeya, kama aliweza kumpigia simu na aliweza kufika kwenye shoo yake usiku. Sasa atashindwa nini? na Mama msikivu.
Ameelezea hayo katika mkutano wa uzinduzi wa Mkoa katika viwanja vya Luanda Nzovwe
Pia Sugu amewaambia Wana Mbeya aliwa'miss' sana maana alisubiri misiba ndio wakutane kusalimia, lakini wanamshukuru Rais Samia kwa kuwaondolea kifungo hicho na kuruhusu mikutano.
View attachment 2529724
Mkuu miaka yote Tanzania inajivunia Amani hakuna vita wala machafuko.Mtu asiye furahishwa na kitendo cha Rais Sami kudumisha amani na utulivu atakuwa Mchawi.
Hizi akili gani,unawezaje kumshukuru oppressor,mtu anayesimamia mfumo kandamizi?Samia anaongoza chama kile kile kilichojaribu kumuua lisu,kilimfunga mwenyekiti wako,na kufanya mauaji Mengi,Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' amewaambia Wananchi wa Mbeya kuwa ana uwezo wa kumpigia simu Mh Rais Samia Suluhu Hassan hata usiku kumueleza changamoto za Wananchi wa Mbeya, kama aliweza kumpigia simu na aliweza kufika kwenye shoo yake usiku. Sasa atashindwa nini? na Mama msikivu.
Ameelezea hayo katika mkutano wa uzinduzi wa Mkoa katika viwanja vya Luanda Nzovwe
Pia Sugu amewaambia Wana Mbeya aliwa'miss' sana maana alisubiri misiba ndio wakutane kusalimia, lakini wanamshukuru Rais Samia kwa kuwaondolea kifungo hicho na kuruhusu mikutano.
View attachment 2529724