Sugu: Rais Samia ni mama msikivu nampigia simu hata usiku

Sugu: Rais Samia ni mama msikivu nampigia simu hata usiku

Kumbuka bado CCM hiyo hiyo ipo madarakani, jifunze siasa punguza matumaini pasipo na matumaini yoyote. Uchaguzi 2024 na 2025 utawajua CCM ni nani.
Kuna majitu hayaijui CCM vizuri, yamekolea na vijineno vya Bibi TOZO.

Bibi TOZO mwenyewe alishasema, Askari wao hawezi kumiss Target.

Akasema Tena hata upige kura huko kwingine, CCM itaunda serikali.

Sasa hivi wapole Kama hawapo, lakini Jeshi lao la kimkakati LIKO VILE VILE.

JW watawekwa standby.

Polisi kwa kushirikiana na vyombo vyote vya ulinzi na Usalama wako chini ya DC ambaye ni MTEULE wa Rais, Mgombea.

TISS bado ni Idara tu chini ya Rais mwnyewe na Mgombea.

NEC bado Ina Mteule wa Rais na Mgombea.

DEDs bado ni wateule wa Rais na Mgombea.

DED ni Boss wa Watendaji Kata (Wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya KATA)

Subiri tufike UCHAGUZI, Itakuwa ni SHOW SHOW.

CCM ni SHETANI lenye mapembe na DAMU.
 
Kuna majitu hayaijui CCM vizuri, yamekolea na vijineno vya Bibi TOZO.

Bibi TOZO mwenyewe alishasema, Askari wait hawezi kumiss Target.

Akasema Tena hata upige kura huko kwingine, CCM itaunda serikali.

Sasa hivi wapole Kama hawapo, lakini Jeshi lao la kimkakati LIKO VILE VILE.

JW watawekwa standby.

NEC bado Ina Mteule wa Rais na Mgombea.

DEDs bado ni wateule wa Rais na Mgombea.

DED ni Boss wa Watendaji Kata (Wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya KATA)

Subiri tufike UCHAGUZI, Itakuwa ni SHOW SHOW.

CCM ni SHETANI lenye mapembe na DAMU.
Nilicho gundua humu jukwaani ni kuwa watu hawazifahamu siasa hasa siasa za kwetu Afrika mfano hapa nchini.

Ulicho andika ni kweli kabisa kuhusu CCM, ikifika hiyo 2024 na 2025 watu humu watamkataa Samia huku wakisahau kuwa anapigania maslahi ya CCM kwa njia hiyo hiyo ya kishenzi inayo tumia na CCM siku zote na miaka yote.
 
Rais anaitwa kwenye shoo kwa simu anakuja. Schedule yake iko wazi.

Usingeweza kumwita Julius Nyerere akaja kwenye shoo ya Sugu, of all the people.

Sugu ameishi kiwanja lakini hakupata exposure masikini ya Mungu. Hakuna raia kule ana namba direct ya Joe Biden ukipiga anapokea, we nani mimi Young Thug, wewe nani, Joe Biden? Njoo napiga shoo kesho kutwa njoo! Freshi nakuja!

Raia wakigundua watadai impeachment, rais hana kazi!
 
Hivi huwa tunatumia vigezo gani kumchagua mbunge?
Wananchi Huwa hawana mambo mengi,

Awamu ya nne wanawake wengi walimchagua 004 sababu ya sura yake,

Ukipendwa watu hawaangalii vigezo vingi wanakupa tu.
 
Wananchi Huwa hawana mambo mengi,

Awamu ya nne wanawake wengi walimchagua 004 sababu ya sura yake,

Ukipendwa watu hawaangalii vigezo vingi wanakupa tu.
Kwahiyo ni suala la mvuto tu.
 
Kwahiyo ni suala la mvuto tu.
Wananchi wakikupenda hawaangalii mambo mengi,

Tarime vijijini waliwahi mchagua diwani wa CDM akiwa gerezani bila kufanya compaign, Elimu yake sisemi, aijua mwenyewe!!!
 
Mimi ninaina wanamtenda mama kwa akili...tusubirie hitimisho tusiwe wepesi sana kuhukumu
BIBI TOZO amemteua Ramadhan kombwey kailima kuwa MKURUGENZI wa TUME YA UCHAGUZI.

SAFU YA UCHAGUZI inaoangwa SLOW BUT SURE.

Endeeleni Kubweka na Kufanya UCHAWA mtaona KAZI kuanzia mwakani.
 
Wananchi wakikupenda hawaangalii mambo mengi,

Tarime vijijini waliwahi mchagua diwani wa CDM akiwa gerezani bila kufanya compaign, Elimu yake sisemi, aijua mwenyewe!!!
Ndio maana nasema issue ni mvuto tu ndio maana tunazungumzia watu kukupenda bila kujali hicho wanachokupendea.
 
Ramadhan kombwey kailima - MKURUGENZI NEC.

Endeeleni Kubweka mikutano TUME Huru ya Uchaguzi na Katiba mpya.

Bibi TOZO kea matendo yake mwenyewe anaonekana Hana hata hiyo RATIBA.
 
Hivi upewe pesa na uambiwe ukiwa na shida nipigie, utaacha kusifu yaani Samia kajua kucheza kete zake iwe upinzani au ccm wenzie wote wanansifu tu na kuabudu
Sukuma gang wanatamani afe hata leo, hasa wale waliokuwa chawa wa karibu wa Jiwe na wale watekaji waliokuwa wakiiba/wakipora mali/pesa za watu mchana kweupe kwani sasa kibao kimegeuka hakuna yale mambo ya kuteka na kupora.
Humu JF utawabaini kwa comments zao.
 
Back
Top Bottom