Sugu: Rais Samia ni mama msikivu nampigia simu hata usiku

Sugu: Rais Samia ni mama msikivu nampigia simu hata usiku

Kundi la Mgaso wamedhamiria kumzamisha Betina kupitia SUGU..NYO maana anahusishwa na kundi lile.

Wanagawana nyama kabisa kabla hata ng'ombe hajachinjwa.

Tusubiri.
Siasa kwa Africa ni chanzo cha mapato. Kama sugu kaona kundi litamsaidia mimi namuunga mkono. Hata Mbowe alishawahi kumtumia mtuhumiwa mkuu wa kashfa za ufisadi kufanikisha malengo yake binafsi ya kisiasa.
 
Hivi upewe pesa na uambiwe ukiwa na shida nipigie, utaacha kusifu yaani Samia kajua kucheza kete zake iwe upinzani au ccm wenzie wote wanansifu tu na kuabudu
Watu bana yani mnaona wivu sugu kumsifia rais wa nchi tuu mbona mambo ya kipumbavu mengi tu watu mnasifia hamsemi.?
 
Matapeli haya ndio maana Magufuli aliyapiga pini.
Leo hii yupo waaapiii? Alikuwa anajifanya hii Nchi ni yake, na hajawahi, na hatatokea kiongozi kama yeye! Mwenye Enzi Mungu akafanya yake, na kuwathibitishia kuwa imani zenu za hakuna mwingine zaidi yake, zilikuwa ni za kijinga, akaamua kumleta MWANAMKE kabisaaaaaaa!
 
Hakika kwa mahali nchi ilipokuwa, na hapa ilipo leo, Rais Samia anastahili pongezi kubwa.

Tutampongeza na kumsifu Rais Samia kwa dhamira na matendo yake yanayozingatia haki na wajibu wa kikatiba.

Hapo kabla yake, Taifa lilipita kwenye laana kubwa. Samia amebadilisha mwenendo wa matendo ya laana.

Kama tuna Baba wa Taifa, huenda siku moja titakuwa na Mama wa haki, demokrasia na maendeleo.
 
Wana mtaja sana katika mazingira yanayoonesha pasipo Mh.Samia baasi wao si kitu, zaidi ni kama hawataji sera zao kwa sasa zaidi ya kupita na kumshukuru 'maza' au kumponda JPM kila waendapo
Nia siyo kumponda Magufuli, bali kuuponda uovu. Lakini marehemu Magufuli ni mfano mzuri wa uovu.
 
Mtu asiye furahishwa na kitendo cha Rais Sami kudumisha amani na utulivu atakuwa Mchawi.
Mimi binafsi, naridhika sana na siasa za kistaarabu, na nitasikitika sana kama kutatokea kiongozi yeyote wa upinzani kumkujeli Rais Samia.

Rais Samia amefanya mengi mazuri tena kwenye mazingira magumu ambayo kwa kiasi kikubwa yanasababishwa na lile kundi la wanaopenda uharamia wa siasa zile za awamu ya 5.

Na wakizidi kufanya vitimbwi, vyama vya upinzani viweke wagombea ambao kazi kubwa itakuwa kumpigia kampeni Rais Samia, halafu tuone kama wale wapenda siasa za kuuana kama watatoboa.
 
Nia siyo kumponda Magufuli, bali kuuponda uovu. Lakini marehemu Magufuli ni mfano mzuri wa uovu.
Wa
Nia siyo kumponda Magufuli, bali kuuponda uovu. Lakini marehemu Magufuli ni mfano mzuri wa uovu.
Pamoja na maelekezo MAZURI ya sa100 na kupanga safu yote ya vyombo vya ulinzi,

Nani walionyuma ya kushushwa Kwa bendera za mkutanoni Mbeya Hadi kupelekea mkt Kutoa LAANA?

Uuuuuuwiiiiiiiii!!!!!!
 
Mimi binafsi, naridhika sana na siasa za kistaarabu, na nitasikitika sana kama kutatokea kiongozi yeyote wa upinzani kumkujeli Rais Samia.

Rais Samia amefanya mengi mazuri tena kwenye mazingira magumu ambayo kwa kiasi kikubwa yanasababishwa na lile kundi la wanaopenda uharamia wa siasa zile za awamu ya 5.

Na wakizidi kufanya vitimbwi, vyama vya upinzani viweke wagombea ambao kazi kubwa itakuwa kumpigia kampeni Rais Samia, halafu tuone kama wale wapenda siasa za kuuana kama watatoboa.
Mkuu Nakuunga mkono. Huenda hata mimi nikawa mpiga kampeni wa Rais Samia.

Rais ni jasiri sana. Amelitendea Taifa mambo mazuri ndani ya muda mfupi. Pia ukizingatia na mazingira aliyomo anastahili pongezi.

Siasa za utu na ustarabu ndio mahala pake.
 
Wa
Pamoja na maelekezo MAZURI ya sa100 na kupanga safu yote ya vyombo vya ulinzi,

Nani walionyuma ya kushushwa Kwa bendera za mkutanoni Mbeya Hadi kupelekea mkt Kutoa LAANA?

Uuuuuuwiiiiiiiii!!!!!!
Sio kwamba wahuni wameisha. Bado wapo sana. Hasa wale wa uspika wa michongo
 
Kilo ya mchele inaeleke elfu 4. miaka miwili nyuma ilikua 1800
Samia ana uwezo gani wa kupandisha bei ya mafuta OPEC?

Ujinga huu kaongee na kina Abunuwasi wenzako au washirikina wenzako wanywa damu za watu wa Sukuma gang.
 
download (1).jpeg
 
Siyo kujikomba, nchi ilikuwa inatawaliwa na shetani aliyetwaliwa kuzimu.

Sugu amekaa jela Kwa madhira ya shetani wa Chato, Mama ameleta utengamano Kwa nini wasimshukuru?

Watanzania mnapenda unafki wa kumsifu mtu akiwa amekufa.

Mama apewe mauwa yake akiwa hai, mama ameliponya Taifa lililokuwa linatawaliwa Kwa mkono wa chuma.
Sasa ndiyo muwe na adabu,CCM imesha waonyesha kua ikiamua kufanya kitu chochote kile hapa Tanzania,inaweza, na wala msimsingizie Magufuli! Mlimdharau sana Jakaya hadi kumwita Rais dhaifu, ndiyo maana CCM ikaamua iwaletee Chuma,na kweli Chuma nacho kikanyoosha kweli kweli!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Haya matapeli ya kisiasa tu.
Bora hata act wazalendo wanaelewa nini wanakifanya.
 
hakika mama ni mnyenyekevu ngoja na mie nimpigie simu usiku wa manane anitumie lau elf 5 m pesa
 
Back
Top Bottom