Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Basi wewe utakuwa ni Mzee sana na uliwahi kuishi Marwkani miaka ya 60 na baada ya kutoka huko hukuwahi kujishughulisha kujua chochote kinachoendelea huko. Na sikulaumu kwa hilo.Wenyewe kwa wenyewe wanaitana hivyo ila hawataki kuitwa hivyo na Mzungu !