Sukari yafika shilingi 5,000 kwa kilo moja

Mbona kama naanza kumchukia huyu mama...sijawahi kumsema vibaya..ila anatafakarisha aisee..suala hili la sukari anashindwa kuagiza nje ya nchi kureplace damage iliyopo...ametulia kama hayuko Tanzania...
Anatafakarisha sio kidogo sukari ni bidhaa muhimu sana kwenye uchumi. Tusipo angalia hii hela yetu itapolomoka sana thamani ndani ya kipindi kifupi. Hata issue ya nauli alitakiwa aliangalie pia ila ndio ivyo lishapita hilo na hili la sukari litapita tu.
 
Inasikitisha kwakweli...
 
Ruvuma bei ya sukari jana ilikuwa 92000/-kwa mfuko wa 25kg!ina maana kwa mfuko wa 50kg ni 184000/-twafa!hakuna anaehangaika na wananchi wote wanawaza jinsi ya kurudi madarakani 2025,Shame on them
 
Mwezi huu mwisho sukari inaingia kutoka Nje ,hakuna haja ya tamko
Hawatashusha bei maana serikali haijaruzuku mapapa wa biashara ya sukari kama ilivyoruzuku mapapa wa mafuta ela zikaliwa na bado hawakushusha bei ya mafuta. Subiri utaniambia, nimekaa paleee...

Bei ya sukari haijashuka Tz Bara tangu Julai 2001 miaka 23, sasa leo itashushwa na nini na nani? Acha walete sukari toka nje bei itabaki hiyo hiyo 5000/
 
Soko ndio litashusha na Serikali ndio Imetoa vibali vya kuingiza sukari tani 50,000
 
Mbona kama naanza kumchukia huyu mama...sijawahi kumsema vibaya..ila anatafakarisha aisee..suala hili la sukari anashindwa kuagiza nje ya nchi kureplace damage iliyopo...ametulia kama hayuko Tanzania...
Na mbona chumvi haijawahi kupungua? Wala viberiti? Lol!

Serikali iondoe ruzuku kwenye chumvi ihawilishe (ihamishie) kwenye sukari.
 
Seen.
 
Tarehe 24 tukutane samjoma Hadi ofisi za umoja wa mataifa
 
Waziri wa kilimoo nilikuwa naamini wew ni Genius imekuwaje tena????
 
Gonga like ambao hatutumii sukari.
Mtakamatika kwenye nyama, kilo 1 imetinga 12,000/

Mgahawa mmoja leo nimeomba mishikaki ya ng'ombe wakasema hapa tumeacha kuuza nyama ya ng'ombe na mbuzi, tuna-serve kuku wa kisasa tu maana hatuwezi bei ya nyama ya ng'ombe buchani.
 
Mpaka ifike 10K, ndio tutaelewa kwanini chadema wanaitisha maandamano!
 
Kwa.mwendo huu na ukondoo wetu, kuna siku si nyingi kilo ya sukari itafika laki mbili.

Majitu mazima eti ni vyama vya upinzani yanatumwa na CCM kuharibu mapambano haya. Leo hakuna umeme sijui yenyewe yana Tanesco ya kwao, yako Kwenye giza lkn kwa vile yamepewa suti za mitumba hayaoni nyuma wala mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…