Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
😃😃Yaanii hapoo Kizmkz anapagawa kabisaaa......anatamani wanawake tuuu wapige kura.....awajaze vicoba....khaaaa watanganyila mna nongwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😃Yaanii hapoo Kizmkz anapagawa kabisaaa......anatamani wanawake tuuu wapige kura.....awajaze vicoba....khaaaa watanganyila mna nongwa
🤣🤣🤣Huo ndio msimamo mpya , baada ya yote yaliyopita na kutokuwepo jf kwa zaidi ya mwaka nimeona niweke wazi msimamo watu tunaoamini katika falsafa za hayati Magufuli ni kwamba tutamsupport TL popote alipo .
Niweke wazi ,sukuma gang sio kabila ni itikadi ya kizalendo .
Ni hayo tu .
🤣 🤣 🤣lissu mwenyewe anasemaje?
🤣 🤣 🤣Wewe ni mtu wa HOVYO. Unasema mnamsapoti Lissu na mna falsafa ya Magufuli!! Magufuli huyu huyu aliyetaka kumuua Lissu kwa kumshindilia risasi 16??
Mtifuano kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe juu ya nani ashike hatamu za chama Cha Chadema ni pigo, kiongozi unapotanguliza masirahi binafsi hadharani kuliko kuonesha namna utakavyowajibika, wananchi wanapoteza sana Imani juu Yako, hata kama sukuma gang siyo itikadi ila Sina hakika kama sera zao zitaaminika tena Kwa baadhi ya wananchi kama Kweli wanataka kuwajibika au vinginevyo.Huo ndio msimamo mpya , baada ya yote yaliyopita na kutokuwepo jf kwa zaidi ya mwaka nimeona niweke wazi msimamo watu tunaoamini katika falsafa za hayati Magufuli ni kwamba tutamsupport TL popote alipo .
Niweke wazi ,sukuma gang sio kabila ni itikadi ya kizalendo .
Ni hayo tu .
Mkuu Jiwe kitaani anakubalika sana tofauti na tunavyofikiriMtifuano kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe juu ya nani ashike hatamu za chama Cha Chadema ni pigo, kiongozi unapotanguliza masirahi binafsi hadharani kuliko kuonesha namna utakavyowajibika, wananchi wanapoteza sana Imani juu Yako, hata kama sukuma gang siyo itikadi ila Sina hakika kama sera zao zitaaminika tena Kwa baadhi ya wananchi kama Kweli wanataka kuwajibika au vinginevyo.
Sisi huwa tuna brain communicationsKikao cha makubuliano kilifanyika lini?
Kwa hiyo unataka kutuambia na nyie mpo tayari kugawana fito?Huo ndio msimamo mpya , baada ya yote yaliyopita na kutokuwepo jf kwa zaidi ya mwaka nimeona niweke wazi msimamo watu tunaoamini katika falsafa za hayati Magufuli ni kwamba tutamsupport TL popote alipo .
Niweke wazi ,sukuma gang sio kabila ni itikadi ya kizalendo .
Ni hayo tu .
TL for presidencyKwa hiyo unataka kutuambia na nyie mpo tayari kugawana fito?
Kwani Lissu ni muumini wa falsafa za Marehemu John Magufuli?Huo ndio msimamo mpya , baada ya yote yaliyopita na kutokuwepo jf kwa zaidi ya mwaka nimeona niweke wazi msimamo watu tunaoamini katika falsafa za hayati Magufuli ni kwamba tutamsupport TL popote alipo .
Niweke wazi ,sukuma gang sio kabila ni itikadi ya kizalendo .
Ni hayo tu .
Waite WAZALENDO HALISI.Niweke wazi ,sukuma gang sio kabila ni itikadi ya kizalendo .😂
Itabidi mbadili jina sasa
wewe jazaneni hizo fikra mubweteke kutafuta kura halali,This time mzee kuna mikakati ndani na nje ya nchi kuona demokrasia ya kweli inatamalaki Tanzania..Nani aliwadanganya kwamba Samia anategemea kura zenu? Hata ukiweka kura zote kwa upinzani Samia ndiye atatangazwa!
Nafikiri wana chuki na mafisadiIla sukuma gang mna chuki sana na Samia!
Kikubwa toeni support kwa Lissu ili kujenga Tanzania bora. Izo chuki zenu dhidi ya Samia hazitawapeleka popote
Kwani wao sio mafisadi?Nafikiri wana chuki na mafisadi