nicholasmari
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 630
- 583
We bwege CCM hakuna atayeiweza zaidi ya yenyewe kujimaliza. 2025 hakuna namna labda huyu mama aharibu kwa kuendekeza uzanzibari, Siku CCM ikigawanyika ndio utatokea upinzani wa kweli siyo hao vibaraka kina Tundu, hao kamwe hawataiweza CCMYaanii hapoo Kizmkz anapagawa kabisaaa......anatamani wanawake tuuu wapige kura.....awajaze vicoba....khaaaa watanganyila mna nongwa