Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tujiite Patriotic Squad. Ukweli CCM ya Samia hatuipendi na huku kanda ya ziwa hawatapata kitu labda wategemee wizi wa kura tu.Niweke wazi ,sukuma gang sio kabila ni itikadi ya kizalendo .😂
Itabidi mbadili jina sasa
Tukiwa na lisu lazima tupate katiba mpya Kwanza kabla ya uchaguzi mkuu na hapa kila kitu kutakuwa sawa.kwa hii tume ya raisi aipike mwenyewe alafu asishinde ? nchi haina demokrasia hii
Kaazime choo kwa jirani unataka kujisaidiaHili liko wazi. Nimeshaona watu wengi waliokuwa magu damu damu wanamuona kama Lissu ni Replacement yzo.
Hata kibaraka Lisu atakuwa anawashangaaHuo ndio msimamo mpya , baada ya yote yaliyopita na kutokuwepo jf kwa zaidi ya mwaka nimeona niweke wazi msimamo watu tunaoamini katika falsafa za hayati Magufuli ni kwamba tutamsupport TL popote alipo .
Niweke wazi ,sukuma gang sio kabila ni itikadi ya kizalendo .
Ni hayo tu .
Mtaipata kutoka wapi? Iko kwenye ilani ya CCM?Tukiwa na lisu lazima tupate katiba mpya Kwanza kabla ya uchaguzi mkuu na hapa kila kitu kutakuwa sawa.
Duniani kote,huwa hakuna permanent situation,things come and go,Hata CCM yenu hio ilikuja na itakwenda na muda wake umefika
Mnajitekenya na kucheka wenyewe 😂😂Yaanii hapoo Kizmkz anapagawa kabisaaa......anatamani wanawake tuuu wapige kura.....awajaze vicoba....khaaaa watanganyila mna nongwa
Hahaha" Itabidi ndugu wa jumbe mueke azimio ili muonyeshe mme kubaliana" in kikwete voice
Tusahau yaliyopita twende na Lissu kwa maslahi ya TaifaHuo ndio msimamo mpya , baada ya yote yaliyopita na kutokuwepo jf kwa zaidi ya mwaka nimeona niweke wazi msimamo watu tunaoamini katika falsafa za hayati Magufuli ni kwamba tutamsupport TL popote alipo .
Niweke wazi ,sukuma gang sio kabila ni itikadi ya kizalendo .
Ni hayo tu .
TayariKumeanza kuchangamka🤣
Ya nyuma si ndwele tugange yajayoWewe ni mtu wa HOVYO. Unasema mnamsapoti Lissu na mna falsafa ya Magufuli!! Magufuli huyu huyu aliyetaka kumuua Lissu kwa kumshindilia risasi 16??
Kum support kushindwa?Huo ndio msimamo mpya , baada ya yote yaliyopita na kutokuwepo jf kwa zaidi ya mwaka nimeona niweke wazi msimamo watu tunaoamini katika falsafa za hayati Magufuli ni kwamba tutamsupport TL popote alipo .
Niweke wazi ,sukuma gang sio kabila ni itikadi ya kizalendo .
Ni hayo tu .
Kuchukua dolaKum support kushindwa?