Goma litamfia huyo Bi kzmk subiri kumekucha sasaa...woote wamemakaMnajitekenya na kucheka wenyewe ππ
Subiria uapisho Oktoba bwashee
Hizo nyimbo aliimbiwa JK ,walioomba wako wapi?Goma litamfia huyo Bi kzmk subiri kumekucha sasaa...woote wamemaka
Wacha kutapatapa sukuma gang imewakata ππHuo ndio msimamo mpya , baada ya yote yaliyopita na kutokuwepo jf kwa zaidi ya mwaka nimeona niweke wazi msimamo watu tunaoamini katika falsafa za hayati Magufuli ni kwamba tutamsupport TL popote alipo .
Niweke wazi ,sukuma gang sio kabila ni itikadi ya kizalendo .
Ni hayo tu .
Sawa sawa.Waite WAZALENDO HALISI.
Ebo iweke sawa hii βSENTENCESβ βπΎHakuna kazi ngumu na yenye shida kama muwa mfuasi.
Hakuna kazi ngumu na yenye shida kama kuwa mfuasi.Ebo iweke sawa hii βSENTENCESβ βπΎ
Tusiingize nchi kwenye masuala ya ukabila na udiniHuo ndio msimamo mpya , baada ya yote yaliyopita na kutokuwepo jf kwa zaidi ya mwaka nimeona niweke wazi msimamo watu tunaoamini katika falsafa za hayati Magufuli ni kwamba tutamsupport TL popote alipo .
Niweke wazi ,sukuma gang sio kabila ni itikadi ya kizalendo .
Ni hayo tu .
Na mkwe alikuwepoNimeruka juu kwa furaha nikiwa na Taulo likadondoka
Mwanangu kilichotokea 2020 sina hamu kabisa! Unakuta mbunge wa upinzani mpaka inafika saa 1 usiku kura ameshinda lakini ded anazungukuzunguka vila kutangaza mpaka inafika saa 6 usiku ndipo anatangaza na kumpa mgombea wa CCM!wewe jazaneni hizo fikra mubweteke kutafuta kura halali,This time mzee kuna mikakati ndani na nje ya nchi kuona demokrasia ya kweli inatamalaki Tanzania..
Naam,kaona vyumbu vyanguNa mkwe alikuwepo
Imeenda hiyoHuo ndio msimamo mpya , baada ya yote yaliyopita na kutokuwepo jf kwa zaidi ya mwaka nimeona niweke wazi msimamo watu tunaoamini katika falsafa za hayati Magufuli ni kwamba tutamsupport TL popote alipo .
Niweke wazi ,sukuma gang sio kabila ni itikadi ya kizalendo .
Ni hayo tu .
Kichwa chako siyo kiziri. TL siyo Presidential material.Huo ndio msimamo mpya , baada ya yote yaliyopita na kutokuwepo jf kwa zaidi ya mwaka nimeona niweke wazi msimamo watu tunaoamini katika falsafa za hayati Magufuli ni kwamba tutamsupport TL popote alipo .
Niweke wazi ,sukuma gang sio kabila ni itikadi ya kizalendo .
Ni hayo tu .
Hapo imeeleweka mkuu! ππΎHakuna kazi ngumu na yenye shida kama kuwa mfuasi.
Shukran bossHapo imeeleweka mkuu! ππΎ
Jitambulishe jamii iwajue vinginevyo nyie ni vikunguru flani tu na hamwezi kuleta impactHuo ndio msimamo mpya , baada ya yote yaliyopita na kutokuwepo jf kwa zaidi ya mwaka nimeona niweke wazi msimamo watu tunaoamini katika falsafa za hayati Magufuli ni kwamba tutamsupport TL popote alipo .
Niweke wazi ,sukuma gang sio kabila ni itikadi ya kizalendo .
Ni hayo tu .