Pre GE2025 Sukuma gang hatuta-support CCM 2025, tutakwenda na Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tusiingize nchi kwenye masuala ya ukabila na udini
 
wewe jazaneni hizo fikra mubweteke kutafuta kura halali,This time mzee kuna mikakati ndani na nje ya nchi kuona demokrasia ya kweli inatamalaki Tanzania..
Mwanangu kilichotokea 2020 sina hamu kabisa! Unakuta mbunge wa upinzani mpaka inafika saa 1 usiku kura ameshinda lakini ded anazungukuzunguka vila kutangaza mpaka inafika saa 6 usiku ndipo anatangaza na kumpa mgombea wa CCM!
 
Imeenda hiyo
 
Kichwa chako siyo kiziri. TL siyo Presidential material.
 
Jitambulishe jamii iwajue vinginevyo nyie ni vikunguru flani tu na hamwezi kuleta impact
 
Chura kiziwi hapo atapeleka majeshi yasimamie uchaguzi na mawakala wa upinzani watatolewa nje wote, bora mngenyamaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…