nicholasmari
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 630
- 583
We bwege CCM hakuna atayeiweza zaidi ya yenyewe kujimaliza. 2025 hakuna namna labda huyu mama aharibu kwa kuendekeza uzanzibari, Siku CCM ikigawanyika ndio utatokea upinzani wa kweli siyo hao vibaraka kina Tundu, hao kamwe hawataiweza CCMYaanii hapoo Kizmkz anapagawa kabisaaa......anatamani wanawake tuuu wapige kura.....awajaze vicoba....khaaaa watanganyila mna nongwa
Wanashindwa kuelewa kuwa kura ni hoax tu, mfumo ndio unawachagulia miaka yoteNani aliwadanganya kwamba Samia anategemea kura zenu? Hata ukiweka kura zote kwa upinzani Samia ndiye atatangazwa!
We subiri utaonaJitambulishe jamii iwajue vinginevyo nyie ni vikunguru flani tu na hamwezi kuleta impact
Unataka kupigwa mbele?? Nyuma hutaki?Ya nyuma si ndwele tugange yajayo
Daima mbele mwikoUnataka kupigwa mbele?? Nyuma hutaki?
Kumbe ni kweli kuna sukuma gangHuo ndio msimamo mpya , baada ya yote yaliyopita na kutokuwepo jf kwa zaidi ya mwaka nimeona niweke wazi msimamo watu tunaoamini katika falsafa za hayati Magufuli ni kwamba tutamsupport TL popote alipo .
Niweke wazi ,sukuma gang sio kabila ni itikadi ya kizalendo .
Ni hayo tu .
Ameanza kuwapa wanawake ukurugenzi na kutaka vijana wagombee ubunge na udiwani!Yaanii hapoo Kizmkz anapagawa kabisaaa......anatamani wanawake tuuu wapige kura.....awajaze vicoba....khaaaa watanganyila mna nongwa
Habari ni Lissu tu
Kwa hiyo mna uhakika mgombea urais atakuwa TLlissu mwenyewe anasemaje?
Una mashaka?Kwa hiyo mna uhakika mgombea urais atakuwa TL
100%Kwa hiyo mna uhakika mgombea urais atakuwa TL