Pre GE2025 Sukuma gang hatuta-support CCM 2025, tutakwenda na Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Yaanii hapoo Kizmkz anapagawa kabisaaa......anatamani wanawake tuuu wapige kura.....awajaze vicoba....khaaaa watanganyila mna nongwa
We bwege CCM hakuna atayeiweza zaidi ya yenyewe kujimaliza. 2025 hakuna namna labda huyu mama aharibu kwa kuendekeza uzanzibari, Siku CCM ikigawanyika ndio utatokea upinzani wa kweli siyo hao vibaraka kina Tundu, hao kamwe hawataiweza CCM
 
Hawa Sukuma Geng kama ni kweli wameamua basi tunakwenda kuipata Tanganyika yetu mpya.
 
Kumbe ni kweli kuna sukuma gang
 
Yaanii hapoo Kizmkz anapagawa kabisaaa......anatamani wanawake tuuu wapige kura.....awajaze vicoba....khaaaa watanganyila mna nongwa
Ameanza kuwapa wanawake ukurugenzi na kutaka vijana wagombee ubunge na udiwani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…