GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Lazima watambe wana support 100 kutoka kwa jeshi la rwanda na leo wamekula kichapo kikali wameomba msaada tena kwa jeshi la rwandaNahisi ni propaganda.. baada ya vifo vya wanajeshi 600 inakuwaje bado wanatamba?
Wamepigwa m23 leo wameomba cease fire ila mapema tu kagame katuma batch nyingne kusaidia vibaka wakePropaganda za vita.Kwa habari za uhakika ni kwamba wanajeshi wa congo,Burundi,SA na Tanzania wamepigwa vibaya sana na makomandoo wa M23.Kagame ni baba lao.
Ni kweli baada ya jeshi la DRC kuanza kusaliti Kamanda wa kikosi cha SADC aliamuru waache kushambulia ndiyo M23 wakapata nguvu.Hii habari mi siamini, askari 600 M23 wangerudi nyuma.
Pale goma fardc walishiwa logistic zote zinazohusiana na vita haswa masasi wakaomba support makao makuu wakacheleweshew mzigo sasa watafanya nini?Ni kweli baada ya jeshi la DRC kuanza kusaliti Kamanda wa kikosi cha SADC aliamuru waache kushambulia ndiyo M23 wakapata nguvu.
Mzigo wanao wa kutosha sema hamna nidhamu na usnitch ni mwingi.Pale goma fardc walishiwa logistic zote zinazohusiana na vita haswa masasi wakaomba support makao makuu wakacheleweshew mzigo sasa watafanya nini?
Usnitch ni kawaida sana jeshiniMzigo wanao wa kutosha sema hamna nidhamu na usnitch ni mwingi.
Mi naona ni kama SADC wanatunga story, inawezekana walikwenda wakiwa under estimate M23.Ni kweli baada ya jeshi la DRC kuanza kusaliti Kamanda wa kikosi cha SADC aliamuru waache kushambulia ndiyo M23 wakapata nguvu.
Kagame anaposema SADC ni part of belligerent na siyo protective yupo sawa.Baada ya wacongo kusaliti askari wote wa SADC walirudi kwenye eneo lao Goma na kuwaachia M23.zTatizo kubwa ni jeshi la DRC.Mi naona ni kama SADC wanatunga story, inawezekana walikwenda wakiwa under estimate M23.
Kwani wamerud nyuma. Si walikuwa wanaelekea bukavu?Wamesitisha sababu raia wao wa sehemu walizozishikilia waishi vizuri au ulitaka Kila siku raia wasikie milio ya risasi
Wameamua warudi kuendelea kuongoza eneo lao walilolichukua la goma kama we kidume nenda kalikomboe mbona ishu simple🤣🤣🤣🤣Kwani wamerud nyuma. Si walikuwa wanaelekea bukavu?
Kwanini jeshi la DRC wanafanya hivyo? ina maana huo ni usaliti, au hawamtaki rais aliyepo madarakani?Kagame anaposema SADC ni part of belligerent na siyo protective yupo sawa.Baada ya wacongo kusaliti askari wote wa SADC walirudi kwenye eneo lao Goma na kuwaachia M23.zTatizo kubwa ni jeshi la DRC.
Goma patanuka sio mdaKwanini jeshi la DRC wanafanya hivyo? ina maana huo ni usaliti, au hawamtaki rais aliyepo madarakani?
Ama SADC ndio wezi wenyewe wanaoutumika na mabeberu.
Hilo lipo wazi, hapo itatokea vita kubwa, SADC watarudi tena kuwaondoa M23.Goma patanuka sio mda
Mwanajeshi analipwa dola mia na junior officers dola 130 wakati wazungu wa kukodi kutoka Romania wanalipwa dola elfu tano kwa mwezi.Kwanini jeshi la DRC wanafanya hivyo? ina maana huo ni usaliti, au hawamtaki rais aliyepo madarakani?
Ama SADC ndio wezi wenyewe wanaoutumika na mabeberu.
Mbona unaharaka sana tuliaWameamua warudi kuendelea kuongoza eneo lao walilolichukua la goma kama we kidume nenda kalikomboe mbona ishu simple🤣🤣🤣🤣
Hapo lazima waasi.Mwanajeshi analipwa dola mia na junior officers dola 130 wakati wazungu wa kukodi kutoka Romania wanalipwa dola elfu tano kwa mwezi.
Kwa idadi ni wangapi?.Nahisi ni propaganda.. baada ya vifo vya wanajeshi 600 inakuwaje bado wanatamba?
Waliwaua lini?Hongera Sana JWTZ na Africa kusini hakika tunatakiwa kutengeneza alliance Tanzania na south Africa kwa Sasa
Ili kulinda maslahi ya waafrika wasio vibaraka wa wazungu juu ya ukoloni Mambo leo!!
Kagame anatakiwa kulipa garama ya Vita!!
PawView attachment 3224846
Kwa mujibu wa gazeti la Sunday World la Afrika Kusini, Wanajeshi wa Afrika Kusini walipambana vikali na kuwaua waasi 600 wa M23 katika mapigano makali ya saa 24 mjini Sake, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Waasi wa M23 walikusanya miili ya wenzao na kuitia moto ili kuficha ushahidi. Wanajeshi wa Afrika Kusini walifuata sheria za kimataifa kwa kuruhusu waasi kuchukua miili ya wenzao walipoinua bendera nyeupe. Katika mapigano hayo, wanajeshi 14 wa Afrika Kusini waliuawa. Rais Cyril Ramaphosa aliwasifu wanajeshi wake kama mashujaa waliokuwa na ujasiri mkubwa na kujitoa kwa dhati kutekeleza majukumu yao barani Afrika.