Nipe link mkuu ili nijisomee mwenyewe tukate mzizi wa fitina.Hamna kitu hapo jw ndio wamepokea kichapo mpaka wametangaza wenyewe kwamba wamechezea kichapo kama unabishana na taarifa ya jeshi lako sawa huenda wewe upo ground maana jamii forum wajuaji mpo wengi sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nenda page za jwtz utakuta matangazo ya vifo na majeruhiNipe link mkuu ili nijisomee mwenyewe tukate mzizi wa fitina.
Kagame atalipa gharama kubwa sana juu ya hii vitaHongera Sana JWTZ na Africa kusini hakika tunatakiwa kutengeneza alliance Tanzania na south Africa kwa Sasa
Ili kulinda maslahi ya waafrika wasio vibaraka wa wazungu juu ya ukoloni Mambo leo!!
Kagame anatakiwa kulipa garama ya Vita!!
Lakini mbona kama umeongeza chumvi mkuu? Wenyewe hawa hapa walichosema:Nenda page za jwtz utakuta matangazo ya vifo na majeruhi
Soon watamalizana naye na mchezo uwe umeisha.Kagame atalipa gharama kubwa sana juu ya hii vita
Hii video ya zamani acha uongoPale goma fardc walishiwa logistic zote zinazohusiana na vita haswa masasi wakaomba support makao makuu wakacheleweshew mzigo sasa watafanya nini?
Balaa sanaPale goma fardc walishiwa logistic zote zinazohusiana na vita haswa masasi wakaomba support makao makuu wakacheleweshew mzigo sasa watafanya nini?
Propaganda hiziHadi Sasa watu zaidi ya 900 Wameuwawa.
Sasa hao M23 ilikuaje wakapoteza wapiganaji wengi kiasi hicho?
Yaani wameiteka Goma Kwa gharama hiyo?
Pia kama ni kweli ilikuaje Wanajenga wa S.A na Tanzania,Burundi,Malawi nk wakashindwa kuzuia kutekwa Kwa Goma?
Kuna harufu ya propaganda hapa
Kwahiyo hao hawajafa Kwa kichapo we una akili timamu kweli haya tuambie wamekufa na Nini kama sio kichapo🤣🤣🤣🤣🤣Lakini mbona kama umeongeza chumvi mkuu? Wenyewe hawa hapa walichosema:
The Tanzania People's Defence Forces (JWTZ) have confirmed the loss of two soldiers and injuries to four others following ongoing clashes between the Congolese military and M23 rebels in the eastern Democratic Republic of Congo (DRC)
In a statement released by the Tanzanian military headquarters, the clashes took place between January 24 and 28, 2025, as part of peacekeeping efforts under the Southern African Development Community (SADC).
Sasa wewe unasema kichapo kumbe ni askari wawili (2)tu na majeruhi ni wanne(4) na hao ni miongoni mwa walinda amani na sio wapiganaji frontline.
Mbona hilo tukio ni jambo la kawaida sana kwenye vita ? Au ww ulidhani kulinda Amani kunakuwaje mkuu?
Leta hiyo habari waliyosema watamalizana naeSoon watamalizana naye na mchezo uwe umeisha.
sawa.Waasi wa M23 walikusanya miili ya wenzao na kuitia moto ili kuficha ushahidi.
Hii inaitwa 💧 kupwaa💧 kujaaaPK ni overrated, period!! Nani amuogope huyu fidididdo mwenye kichwa kama nyoka??
View attachment 3225609
Mkuu; tulia na usome vizuri. Umeona wapi nimeandika wamesema watamalizana nae?Leta hiyo habari waliyosema watamalizana nae
M23 inatakiwa ifutiliwe mbaliHongera Sana JWTZ na Africa kusini hakika tunatakiwa kutengeneza alliance Tanzania na south Africa kwa Sasa
Ili kulinda maslahi ya waafrika wasio vibaraka wa wazungu juu ya ukoloni Mambo leo!!
Kagame anatakiwa kulipa garama ya Vita!!
Kwa hiyo upo uwanja wa vita;Wewe unasimuliwa kwenye kijiwe Cha kahawa chenu Mimi nipo uwanja wa mapambano naona kagame anavyowachakaza Hawa wachumba wa sandf,jw na WA burundi
View attachment 3224846
Kwa mujibu wa gazeti la Sunday World la Afrika Kusini, Wanajeshi wa Afrika Kusini walipambana vikali na kuwaua waasi 600 wa M23 katika mapigano makali ya saa 24 mjini Sake, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Waasi wa M23 walikusanya miili ya wenzao na kuitia moto ili kuficha ushahidi. Wanajeshi wa Afrika Kusini walifuata sheria za kimataifa kwa kuruhusu waasi kuchukua miili ya wenzao walipoinua bendera nyeupe. Katika mapigano hayo, wanajeshi 14 wa Afrika Kusini waliuawa. Rais Cyril Ramaphosa aliwasifu wanajeshi wake kama mashujaa waliokuwa na ujasiri mkubwa na kujitoa kwa dhati kutekeleza majukumu yao barani Afrika.
si walisema vita mpk Kinshasa ? au walisahau kuwa kuna raia wanaitah kuish vzr , na ww hutumii hata akil kuona hayo maamuz yamekuja ghafla lazima kuna namnaWamesitisha sababu raia wao wa sehemu walizozishikilia waishi vizuri au ulitaka Kila siku raia wasikie milio ya risasi