Cecil J
JF-Expert Member
- Oct 12, 2023
- 434
- 1,024
Kabla haujapata changamoto ya kuanza kuelewa unachojifunza unaanza kwanza kupata "changamoto" kutoka kwa mkufunzi. Ushauri wa kuutoa hapa sina ila kwa yule aliyeongelea suala la kufungua keshi na mimi ninaona ni jambo jema, kama wanafunzi mna ushahidi wa kufanyiwa michezo 'michafu' ili mshindwe kufaulu mitihani nendeni mahakamani.