UDSM kimekua chuo cha ajabu sana, kuna kipindi kiliitwa majalalani na hili halikupingwa, kuna kipindi wasomi wa hapo walitumika kwenye kamati mbalimbali za kiserikali mfano walikaja na matokeo kuwa kuchafuka kwa mto Mara imetoka na vinyesi vya wanyama (Ng'ombe). Udsm bado ina wafanyakazi ambao ni useless kama ma bursar kuna mimama haitumii akili ku reason kitu kidogo too many complications yanatakiwa yawe yameshafukuzwa kazi muda mrefu. UDSM imekua ya ki local na inasemekana ni full ndumba nangai pale mfano kugombania nafasi za uongozi, kwenda kula per diem au kwenda nje ya nchi this is shame to large extent. UDSM imekosa kuwa na hadhi kama ya zamani ya kuwa mihadhara yenye tija kwa nchi hakuna tena imegeuka kuwa chawa na soon it gonna change to bed burgs. UDSM postgraduate supervisors wengine wamekua Miungu watu ila kuna wengine ni wazuri sana. UDSM it must change, and changes must start Now.
Take home... 1. Fire all useless people. 2. They must adhere to good succession plan as they use to preach in class. 3. Maintain water availability all the time. 4. Treat postgraduates with manners and make sure they graduate on time.