KERO Supervisors wa Wanafunzi wa Masters - UDSM ni kero, wanatukwamisha wengi, Uongozi wa Chuo uchukue hatua

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
"UDSM it must change"

Ukiandika hivi kwenye dissertation Yako lazima ulimwe
 
Hakuna Extra duty chuoni na hiyo perdiem unaenda wapi ili upewe?
 
Shida mkiambiwa phd na masters somen nje ya tanzania mnaona sisi washamba aise ukisoma nje kwanza wana kufanya ujisikie uko huru kwanza wanajali pili hawajiskiii tatu hawawez kukubania makis et swali la marks 10 umepata lote akupe 5/10 kama ma lecture wengi tanzania atakupa 8/10 maan hana cha kukunyima maks kama umepata swali

Wanafunzi wengi tz sio kwamba hawana akili akipat gpa ndogo ila vyuo vya serikal ma lecture ni miungu watu amagine unachelewa kukusanya pepa ya mtihani dakik moja anachana mtihani anakupa zero sas hiyo gpa unapataje nzuri ...

Anafundisha topic kadhaa maswali yanatoka nje ya syllabus kabisa sasa ina maana gani kufundisha sylabus yako then utaolew maswali nje ya ulosoma ni kukomoana kabisa.

Unamfata supervisor wako maybe kupelek research yako anakwambia sogea nyuma unanuka jasho aisee inauma sana ....vijana wengi vyuo vikuu vya serikal hufeli vibaya kuliko vyuo vya private...

hii yote ma lecture wa serikali hujiita una bishana na necta yaani yeye ndo necta kwa maan mitihani yako anayo yeye ukibisha unalimwa kichwa hawajui tunatoka familia duni za wanyonge familia wew ndo msomi unategemewa ukomboe wadogo zako lakin kumbe kuna watu wapo kukufany usijikomboe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…