Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilo sio lengo Ila nimshaondoa kipengele Cha helaMkuu Baada Ya Offer Hiyo Kuitangaza Subiri PM Wanakuja Kwa Upepo Wa Kisulisuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kile kipengele kiasi Cha fedha nimekitoa Ili kukuondelea shaka kwamba natumia hii mbinu kutafuta wanawakeHii ni mbinu ya utongozaji haina tofauti na ile ya wale jamaa wa "tuma kupitia namba hii'😄
Kwa kukusaidia ewe mshamba surrogate inafanyika sana hata Muhimbili mwaka jana wamezinduaKuwa na huruma basi nchana wote huu kutunywesha chai.
#MaendeleoHayanaChama
Wewe utadonate ovaries?
Kupata mtoto kupitia kupandikiza mbegu kwa mwanamke mwingine tofauti na mke wako akubebee mimba𝘀𝘂𝗿𝗿𝗼𝗴𝗮𝘁𝗲 𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗮𝗻𝗮 𝗴𝗮𝗻𝗶??
Hata huko India inategemea na bahati yako maana ni nadra sana kufanya IVF ikafanikiwa kwa kara moja.Sijajua Ila inategemea na nchi ambayo unataka kufanya mfano India ni cheap Ila marekani ni expensive mim nilivyofanya kautafiti kangu nikaona ukiwa na million 100 unaweza fanya Ila gharama inaweza ongezeka
Mim target yangu ni India wao wako cheap
Yayi lakike yanauzwa ntanunuaHiv ni mm ndi sijaelewa ama?
Aya sawa inatakiwa mbegu yako na yai la mwanamke(ovari sijui nfio mnaitaga hvyo) ili kurutubisha mimba kabla aijapandikizwa kwa mbebaji(surrogate mother) aya ilo yai la huyo mwanamke unalitoa wapi? Ama watakuuzia huko huko?
kwahiyo hiyo 100M unayo [emoji57]Sijajua Ila inategemea na nchi ambayo unataka kufanya mfano India ni cheap Ila marekani ni expensive mim nilivyofanya kautafiti kangu nikaona ukiwa na million 100 unaweza fanya Ila gharama inaweza ongezeka
Mim target yangu ni India wao wako cheap
Kwenye maisha mtu anavyokuambia kitu anajaribu kushare life experience yakeuna umri gani tuanzie hapo.
Alafu umekuja kutupa taarifa ,unaomba ushauri au ni swali unahitaji majibu !?
Ndio ninayo, lakin Hiko kipendele Cha fedha nimeshakiondoa sababu wako watu ambao wameanza kunituhumu natumia kama njia ya kupata wanawake huku jf kumbe sio kwelikwahiyo hiyo 100M unayo [emoji57]
jibu swalii acha kuzungukazungukaKwenye maisha mtu anavyokuambia kitu anajaribu kushare life experience yake
aah basi itumie kwenda mirembe ukatibiwe mkuuNdio ninayo, lakin Hiko kipendele Cha fedha nimeshakiondoa sababu wako watu ambao wameanza kunituhumu natumia kama njia ya kupata wanawake huku jf kumbe sio kweli
Sikujibu na huna Cha kunifanya kama huamini nachoandika sikusikii fimbo uamini una uhuru huo wa kutokuaminijibu swalii acha kuzungukazunguka