Suzan Kaganda unaenda kuwa IGP, usije kutugeuka Wananchi. Umsaidie Rais Samia kuleta mabadiliko chanya

Suzan Kaganda unaenda kuwa IGP, usije kutugeuka Wananchi. Umsaidie Rais Samia kuleta mabadiliko chanya

Watz sometime tunakua watu wa ajabu sana, kwa hiyo uzuri wa huyo mama ni hapo alipoongea? Ilipaswa ueleze history yake ya utendaji kote alikopita ili uone Kama nae hakuwahi kufanya uonevu. Naishia hapa Ila Kuna watu ni wajinga
 
Lakini Siro amekuwa IGP alie feli kuliko ma IGP wote
 
Ndugu, hata SACP anaweza kupandishwa tu akawa IGP. Kwa KATIBA yetu, ni mapenzi tu ya mteuaji. Wenzetu Kenya wako vizuri kwenye kumpata IGP, wanafanyiwa interview wale wenye sifa za kushika hiyo nafasi. Hapa kwetu ni mapenzi ya Rais.
na kupandishwa vyeo viwili kwa muda huohuo inawezekana?
 
Malengo yaliyowekwa hapa hayajatimia. Polisi inahitaji broad reforms na devolution pia.

Ningependa mabadiliko yangeanza kwa kuanzisha local police, watakaokuwa wanalipwa na mkurugenzi wa wilaya, au halmashauri. Hawa wawe na usimamizi wa eneo husika. Na wanaweza kutawanywa mpaka kwenye mitaa, vijiji, nk. Watasaidia kuzuia matatizo madogo madogo kabla hayajakua na kuvuruga amani.

Hawa local police watakapokuwa na nguvu, jeshi la polisi la kule juu litapunguzwa ukubwa na kuishia kuangalia mambo makubwa na ya kimkakati zaidi. Namna walivyo sasa inapunguza sana ufanisi, na kuacha pengo huku chini ambako ndiko matatizo huanzia.
Point.
 
Ikatokea akawa mja mzito ina maana polisiccm inaenda martenity leave? Au ? Daah kataifa kamekuwa ka kike haka
 
Usimpime mtu kwa maneno yake! Kusema ni jambo moja lakini kutenda ni jambo jingine kabisa.Kwa siasa za nchi yetu ambapo CCM ndiyo chama dola anaweza kuteuliwa katika nafasi hiyo ya IGP akaboronga kabisa kwa namna usivyotegemea.
 
Kwa upande wa jinsia anavigezo, lakini je, anaasili ya kule kisiwani?
Wewe acha mawazo mufilisi . Mmekosa nanna ya kumchafua SSH mnaingiza mambo ya kijinga kabisa! Afu usikute unajiita msomi ! Aibu.
Hawa wanatoka visiwani?
Mummy.
Jenister
Mulamula
Ulinzi
Tulia
Hawa wanaotokea au wana namba na visiwani?
Acha mawazo mufilisi . Itoshe tu kusema visiwani ni sehemu ya Tanzania hata akiteua wote toka huko sawa kama wana vigezo
 
Subili niwe Mimi IGP nasema hivi subili Nitaenda kukomesha haya mambo yakuwanyenyekea wanasiasa,haiwezekani tena haiwezekani muhimu tu ni kutafuta katiba mpya ambayo ambayo pia itampa Kinga IGP ili aweze kufanya maamuzi yake bila kuingiliawa na wanasaiasa uchwara

That isn’t apple to apple comparison! Tuambie kama una uwezo wa kufanya hivyo under similar circumstances.
 
Malengo yaliyowekwa hapa hayajatimia. Polisi inahitaji broad reforms na devolution pia.

Ningependa mabadiliko yangeanza kwa kuanzisha local police, watakaokuwa wanalipwa na mkurugenzi wa wilaya, au halmashauri. Hawa wawe na usimamizi wa eneo husika. Na wanaweza kutawanywa mpaka kwenye mitaa, vijiji, nk. Watasaidia kuzuia matatizo madogo madogo kabla hayajakua na kuvuruga amani.

Hawa local police watakapokuwa na nguvu, jeshi la polisi la kule juu litapunguzwa ukubwa na kuishia kuangalia mambo makubwa na ya kimkakati zaidi. Namna walivyo sasa inapunguza sana ufanisi, na kuacha pengo huku chini ambako ndiko matatizo huanzia.
Tuna tatizo kubwa la elimu ya urais, hili wazo ni zuri lakini kwa mapungufu tuliyonayo linaweza kuzaa vyanzo vya rushwa.
 
IGP ateuliwe kutoka JWTZ hapo wataleta utamaduni mpya wa kutenda kazi awe mwanamke au mwanaume. Vinginevyo kwa IGP wa humohumo hatakuwa na jipya kimageuzi

Under similar circumstances, hata malaika wa Mungu akishuka kuja kuwa IGP, usitegemee kuona fundamental changes!
 
Malengo yaliyowekwa hapa hayajatimia. Polisi inahitaji broad reforms na devolution pia.

Ningependa mabadiliko yangeanza kwa kuanzisha local police, watakaokuwa wanalipwa na mkurugenzi wa wilaya, au halmashauri. Hawa wawe na usimamizi wa eneo husika. Na wanaweza kutawanywa mpaka kwenye mitaa, vijiji, nk. Watasaidia kuzuia matatizo madogo madogo kabla hayajakua na kuvuruga amani.

Hawa local police watakapokuwa na nguvu, jeshi la polisi la kule juu litapunguzwa ukubwa na kuishia kuangalia mambo makubwa na ya kimkakati zaidi. Namna walivyo sasa inapunguza sana ufanisi, na kuacha pengo huku chini ambako ndiko matatizo huanzia.

Kama ccm itaendelea kukaa madarakani kwa shuruti, hakuna uwezekano wa jeshi la polisi kubadilika.
 
Salaam Wakuu,

Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi(SACP) Suzan Kaganda tunaomba usituangushe, Usituabishe.

Tumefanya kazi kubwa kuelezea sifa zako na umahili wako hasa wa kutenda haki.

Sasa usimuangishe Rais Samia. Simamia kile unachokiamini.

Mimi najua baadhi ya Malengo yako.

1). Kubadilisha Police Force kuwa Police Services.

2). Kubadili Mitaala ya Chuo cha Polisi kutoka ile ya kikoloni na kuwa ya Kitanzania kuendana na Sayansi na Teknolojia.

3). Mtu kudhaminiwa muda wowote bila kujali siku. Muhimu mdhaminiwa akamilishe Vigezo.

4). Kuamusha hali ya Polisi kutenda haki na kukomesha Rushwa na kubambikizia kesi.

5). Kuhakikisha kila Askari ananifaika na SACCOS ya Polisi.

6). Kuhakikisha Polisi hawafukuzwi bila kusikilizwa. Kuna sehemu nilisikia unasema kiwepo chombo(Mahakama ya Kipolisi ya Kusikiliza tuhuma zinazohusisha pilisi zenye kutenda haki.

Ombi langu, Naomba Mungu akusimamie nawe usimamie Katiba.

Mwanamke wa Kwanza IGP. Viva Tanzania, Viva Samia Suluhu Hassan.

Kwa kuwa Polisi wa Chini wanaakukubali, Hata Mungu atakusimamia.

Mia.
View attachment 2108338
View attachment 2108355
Subiri ateuliwe kwanza vinginevyo ni ramli chonganishi
 
Kwa kubalance jinsia ameshafanya vizuri sana. Wa uhamiaji, jumba kuu, wa UN, wa Ulinzi , wa bbche .Asitusahau sana sisi wa kupiga chepe. Hongera Kilongozi Mkuu
 
Salaam Wakuu,

Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi(SACP) Suzan Kaganda tunaomba usituangushe, Usituabishe.

Tumefanya kazi kubwa kuelezea sifa zako na umahili wako hasa wa kutenda haki.

Sasa usimuangishe Rais Samia. Simamia kile unachokiamini.

Mimi najua baadhi ya Malengo yako.

1). Kubadilisha Police Force kuwa Police Services.

2). Kubadili Mitaala ya Chuo cha Polisi kutoka ile ya kikoloni na kuwa ya Kitanzania kuendana na Sayansi na Teknolojia.

3). Mtu kudhaminiwa muda wowote bila kujali siku. Muhimu mdhaminiwa akamilishe Vigezo.

4). Kuamusha hali ya Polisi kutenda haki na kukomesha Rushwa na kubambikizia kesi.

5). Kuhakikisha kila Askari ananifaika na SACCOS ya Polisi.

6). Kuhakikisha Polisi hawafukuzwi bila kusikilizwa. Kuna sehemu nilisikia unasema kiwepo chombo(Mahakama ya Kipolisi ya Kusikiliza tuhuma zinazohusisha pilisi zenye kutenda haki.

Ombi langu, Naomba Mungu akusimamie nawe usimamie Katiba.

Mwanamke wa Kwanza IGP. Viva Tanzania, Viva Samia Suluhu Hassan.

Kwa kuwa Polisi wa Chini wanaakukubali, Hata Mungu atakusimamia.

Mia.
View attachment 2108338
View attachment 2108355
Jeshi la Polisi lina majukumu mengi na mazito na kwa hakika kwa mwanamke kuongoza bado sana.
Kwa wapenda usawa kwa kudhani kila kitu kinawezekana jiulizeni kwa nini hujawahi kumuona WP analinda Benki au maeneo nyeti.
Mapungufu katika maumbile na majukumu ni kitu cha kuzingatia .
 
Salaam Wakuu,

Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi(SACP) Suzan Kaganda tunaomba usituangushe, Usituabishe.

Tumefanya kazi kubwa kuelezea sifa zako na umahili wako hasa wa kutenda haki.

Sasa usimuangishe Rais Samia. Simamia kile unachokiamini.

Mimi najua baadhi ya Malengo yako.

1). Kubadilisha Police Force kuwa Police Services.

2). Kubadili Mitaala ya Chuo cha Polisi kutoka ile ya kikoloni na kuwa ya Kitanzania kuendana na Sayansi na Teknolojia.

3). Mtu kudhaminiwa muda wowote bila kujali siku. Muhimu mdhaminiwa akamilishe Vigezo.

4). Kuamusha hali ya Polisi kutenda haki na kukomesha Rushwa na kubambikizia kesi.

5). Kuhakikisha kila Askari ananifaika na SACCOS ya Polisi.

6). Kuhakikisha Polisi hawafukuzwi bila kusikilizwa. Kuna sehemu nilisikia unasema kiwepo chombo(Mahakama ya Kipolisi ya Kusikiliza tuhuma zinazohusisha pilisi zenye kutenda haki.

Ombi langu, Naomba Mungu akusimamie nawe usimamie Katiba.

Mwanamke wa Kwanza IGP. Viva Tanzania, Viva Samia Suluhu Hassan.

Kwa kuwa Polisi wa Chini wanaakukubali, Hata Mungu atakusimamia.

Mia.
View attachment 2108338
View attachment 2108355
Hahahaa ndoto za mchana
 
Back
Top Bottom