Swala la kuoa mke mmoja sio mpango wa Mungu

Swala la kuoa mke mmoja sio mpango wa Mungu

Kama hujaoa, unaweza kuona suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni uzinzi, lakini baada ya kuoa utagundua kuwa kuoa mke zaidi ya mmoja kuna faida zake. Mke mmoja anaweza kutesa sana, kuumiza, na hata kusababisha huzuni. Kwa mawazo yangu, suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni mila ya kizungu, si mpango wa Mungu.

Kwa hiyo, suala hili linapaswa kuangaliwa kwa umakini katika Ukristo. Tukilifumbia macho, tunaweza kuishia kuumizana bure kwa hasira za kunyimwa tendo la ndoa. Huku ukiwa unahitaji, mwenzako ambaye umemwekeza mali na unamgharamia, anaanza kukupangia lini atakupa haki yako. Ukiamua kutoka nje ya ndoa, inakuwa dhambi. Jamani, mbinguni kunaweza kujaa vilema kutokana na changamoto hizi!
Kuwa na bidii ya utafutaji tu afu Fanya unachoona sahihi usisubiri watu wote wabadilike! mwenzako Nina wake 3 siku kanuna huyu me mbele naenda kwingine nakamua fresh tu
 
Single mama wamejaa tele siku hizi hawana waume rasmi, wanapokea na ku share waume za watu. Nikinyimwa unyumba na mke wangu mmoja naenda kwa single mama kujipoza huko bila shida, ugomvi sitaki eti kisa nimenyimwa unyumba na mke wangu
 
Uzinzi sio kuwa na wanawake wengi kama umefundishwa hivyo basi umedanganywa , uzinzi kufanya tendo la ndoa mke au mume asiyekuwa halali yako , yaani hamna ndoa .

Machifu walikuwa na wanawake hata 30 sio uzinifu bora tu wameoa.
 
Tuanze na ndoa yenyewe kwanza,..unauhakika kuwa ndoa ni mpango wa Mungu?
 
Mleta mada uko SAHIHI kabisa ukitaka kujua maumivu ya moyo is mke mmoja,
Kama hujaoa, unaweza kuona suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni uzinzi, lakini baada ya kuoa utagundua kuwa kuoa mke zaidi ya mmoja kuna faida zake. Mke mmoja anaweza kutesa sana, kuumiza, na hata kusababisha huzuni. Kwa mawazo yangu, suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni mila ya kizungu, si mpango wa Mungu.

Kwa hiyo, suala hili linapaswa kuangaliwa kwa umakini katika Ukristo. Tukilifumbia macho, tunaweza kuishia kuumizana bure kwa hasira za kunyimwa tendo la ndoa. Huku ukiwa unahitaji, mwenzako ambaye umemwekeza mali na unamgharamia, anaanza kukupangia lini atakupa haki yako. Ukiamua kutoka nje ya ndoa, inakuwa dhambi. Jamani, mbinguni kunaweza kujaa vilema kutokana na changamoto hizi!
 
Ndiyo sababu ya uzi huu.... Ms R kumbe ndani kwa moto
uuuuwwwiiiiiiiiiiiii kumbe inabid niendelee kukaa single and maza😌,,ila uskute humu jf anaeteseka na mapenz ni mmoja tu lakini ana id 50 pekeake.
 
uuuuwwwiiiiiiiiiiiii kumbe inabid niendelee kukaa single and maza😌,,ila uskute humu jf anaeteseka na mapenz ni mmoja tu lakini ana id 50 pekeake.
Jichanganye
 
Kama hujaoa, unaweza kuona suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni uzinzi, lakini baada ya kuoa utagundua kuwa kuoa mke zaidi ya mmoja kuna faida zake. Mke mmoja anaweza kutesa sana, kuumiza, na hata kusababisha huzuni. Kwa mawazo yangu, suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni mila ya kizungu, si mpango wa Mungu.

Kwa hiyo, suala hili linapaswa kuangaliwa kwa umakini katika Ukristo. Tukilifumbia macho, tunaweza kuishia kuumizana bure kwa hasira za kunyimwa tendo la ndoa. Huku ukiwa unahitaji, mwenzako ambaye umemwekeza mali na unamgharamia, anaanza kukupangia lini atakupa haki yako. Ukiamua kutoka nje ya ndoa, inakuwa dhambi. Jamani, mbinguni kunaweza kujaa vilema kutokana na changamoto hizi!
Pole sana
 
Back
Top Bottom