SWALI: Bora uende jela mwaka mmoja au umuoe/kuolewa na X wako?

Picha linaanza mi ndo huwa nawaachaga halafu siku nikikaa nimemmiss ntajitumisha message yani hata kama umenimind nimekuacha utarudi tu. Mmoja ndo aliniachaga huyo na yeye nilikua namvimbia situmi message wala nini sema nikisoge pembeni naliaaa

uwiiiiiiiii mbavu zangu mieee jamani .. eti naliaaaa Khakhakhaaaaa nimecheka sana hapo kwenye kilio.. mi ni masikini jeuri asee hata uniache sikusumbui ng'o,, nikiwa nimekupenda saaaana najikaza siku mbiltatu nakusahauuu ........nikikuacha ndo usinisogelee kabisa
usiniguseeeeee


cc Smart911
 
Hahahahahahahahaha nimecheka kifala aseee haya mambo haya ohoooo.........
Ma x hata jina huwakumbukii hahahahah uwiiii sasa siku unakutana naye barabaran anakusalimia unasema hivi tulionana wapi kama nakukumbuka hivi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…