Swali chokonozi: Nikiomba file la matibabu ya hayati Magufuli naweza kupewa?

Swali chokonozi: Nikiomba file la matibabu ya hayati Magufuli naweza kupewa?

Unamuongelea DPP ambaye ameundwa na Sheria nyingine ya Public Prosecution Act na uteuzi wake na limits zake

Japo unaongelea kitu kinaitwa "public interest" ambayo hata kesi ya kikatiba ambayo marehemu Mtikila alifungua kupata right interpretation ya public interest ambapo Mahakama ukishindwa kudefine "what is public interest" .

Hapo unarudi kwenye Sheria za usalama wa Taifa watasema wao kwao kutofanya Inquest ni for the called "public interest"kulingana na mazingira niliyoyataja. That's why nimesema unaposoma Sheria moja usome na nyingine.

DPP hata akiombwa kufanya Inquest ya kifo Cha Rais sio Jambo la Leo maana inahitajika exhumation tufukue kaburi tuanze inquest Sasa unajiuliza mtu mmoja ndio public interest? Na huo ulazima wa kufukua kaburi unatoka wapi je what are we trying to achieve???

Yani sababu Kuna watu wawili au kumi ndio wanajiita public??? Really??? Na je kifo chake mbona serikali ilipata taarifa kutoka kwa daktari wake mwenyewe ambaye alikuwa anamtibu? Huo wasiwasi unautoa wapi? Yani kwa nini huyo mtu mmoja alete hii vurugu ambapo tulimzika kwa parade nzima na Katiba plus taratibu za mazishi zilishafanyika why iwe leo na asingeitisha kabla ya kuzika??? Anatafuta nini? Naomba uangalie haya maswali yangu Kama wewe ndio huyo DPP basi.

Kuna kitu tutauliza kwamba je una locus standi? Unaitoa wapi?

Anyway it's more technical than you think lakini one may pursue for academic purposes and setting a record kwamba aliwahi kufungua kesi Mahakamani ya namna hiyo but it is nonsense time consuming for nothing rather a "public nuisance" unarudi kulekule tu🤷
Hata sheria ingekuwa inaruhusu kabla hujalifikia hilo file ungekuwa ushaungana na unayetaka kumfanyia hio inquest😅
 
Nauliza tu kama mtu akitaka kusoma file la matibabu ya Hayati JP Magufuli anaweza kupewa.

lengo ni kufanya utafiti wa sababu ya vifo vya marais wa Tanzania and draw conclusion

Research question: Could this death be prevented?

Remember: Prevention is better than treatment!!
Kuna mafile yake mengi la mirembe utaweza kupata
 
Brother unavitu vingi kama mswahili akiombwa ushauri wa kunazusha biashara ukimuomba ushauri anakupa vigingi mpaka unachoka mwenyewe na biashara unaghaili kufanya!

Lengo mtoa mada research ya mtoa mada amesema ni hipi?
Achana nae huyo ;

Maneno mengi relevance hakuna;

sheria ipo na uchunguzi wa kifo chake unawezekana hata ikipita miaka 30 na matokeo kuwekwa wazi kwa uma.

Ni utashi wa kisiasa tu (political will) na nguvu ya uma kushinikiza jambo lenyewe kufanyika.
 
Achana nae huyo ;

Maneno mengi relevance hakuna;

sheria ipo na uchunguzi wa kifo chake unawezekana hata ikipita miaka 30 na matokeo kuwekwa wazi kwa uma.

Ni utashi wa kisiasa tu (political will) na nguvu ya uma kushinikiza jambo lenyewe kufanyika.
Unganeni mataga kina polepole bashite mshinikize uchunguzi juu ya kifo cha mwendazake.
 
Unganeni mataga kina polepole bashite mshinikize uchunguzi juu ya kifo cha mwendazake.
Sio lazima iwe hao unaowataja anaweza kuja yoyote akalifanyia kazi.

Kama nilivyosema ni jambo la utashi wa kisiasa tu.

That is all.
 
Upewe na la Ben Mkapa, Kijazi na Mfugale.. Mkuu ukipewa na mimi nishtue.
 
Nauliza tu kama mtu akitaka kusoma file la matibabu ya Hayati JP Magufuli anaweza kupewa.

lengo ni kufanya utafiti wa sababu ya vifo vya marais wa Tanzania and draw conclusion

Research question: Could this death be prevented?

Remember: Prevention is better than treatment!!
Kama umetumwa upeleleze sisi Hatutaki ujinga wako.....WEE KAOMBE SII UNAHAMU YA KUPELEKEWA MOTOOO KIMYA KIMYA......OMBA TUU UTAPEWA MKUUUU
 
Nauliza tu kama mtu akitaka kusoma file la matibabu ya Hayati JP Magufuli anaweza kupewa.

lengo ni kufanya utafiti wa sababu ya vifo vya marais wa Tanzania and draw conclusion

Research question: Could this death be prevented?

Remember: Prevention is better than treatment!!
Issue unaomba kwa sababu gani?
Unafanyia nn?

Unaeza kwenda ikulu kuulizia. Ila usitarajie matokeo chanya.
 
Tutafute kontena la kuhifadhia hayo na file

Mwingine ataomba la Hayati Dr Omar Ally Juma

Mwingine ataomba la Mzee Nyerere aliesafiri akiwa nadhifu na kaunda suti yake ya rangi ya kijivu, kiatu cha rangi ya ugoro na mawani yake meusi huku mfuko wa shati mkono wa shoto kaweka kasha la kuhifadhia mawani akarudishwa kwny sanduku

Mwingine ataomba la Hayati Horaca Kolimba

Mwingine ataomba postpoterm report ya Chacha Wangwe, mwingine ataomba ya Hayati Sokoine iliyosemwa alikutwa na Jeraha la risasi

Mwingine ataomba file la Maalim Seif mwingine ataomba la Kijazi

Hapo bado Kangomba hawajaomba la Che Nkapa

Wengine wataomba uchunguzi wa ajali ya Salome Mbatia

Tutosheke tuseme Alhamdulillah na tusonge mbele
" Dunia tambara bovu " !!!
 
Nauliza tu kama mtu akitaka kusoma file la matibabu ya Hayati JP Magufuli anaweza kupewa.

lengo ni kufanya utafiti wa sababu ya vifo vya marais wa Tanzania and draw conclusion

Research question: Could this death be prevented?

Remember: Prevention is better than treatment!!
Duuih Wabongo bhana.

File la kifo cha babu yako uliomba... kuzuia watu wa ukoo wako wasifesife kwa sababu zilezile?
 
sitamrejesha kamwe.lakini prevention is better than treatment!!kinga ni bora kuliko tiba!!

inaweza pia leta mabadiriko makubwa katika medicine and science,medical practice etc
Ulitakiwa umjibu kwa kumuuliza kama anajua umuhimu wa Research.
 
Back
Top Bottom