Swali chokonozi: Nikiomba file la matibabu ya hayati Magufuli naweza kupewa?

Hata sheria ingekuwa inaruhusu kabla hujalifikia hilo file ungekuwa ushaungana na unayetaka kumfanyia hio inquest😅
 
Kuna mafile yake mengi la mirembe utaweza kupata
 
Brother unavitu vingi kama mswahili akiombwa ushauri wa kunazusha biashara ukimuomba ushauri anakupa vigingi mpaka unachoka mwenyewe na biashara unaghaili kufanya!

Lengo mtoa mada research ya mtoa mada amesema ni hipi?
Achana nae huyo ;

Maneno mengi relevance hakuna;

sheria ipo na uchunguzi wa kifo chake unawezekana hata ikipita miaka 30 na matokeo kuwekwa wazi kwa uma.

Ni utashi wa kisiasa tu (political will) na nguvu ya uma kushinikiza jambo lenyewe kufanyika.
 
Unganeni mataga kina polepole bashite mshinikize uchunguzi juu ya kifo cha mwendazake.
 
Unganeni mataga kina polepole bashite mshinikize uchunguzi juu ya kifo cha mwendazake.
Sio lazima iwe hao unaowataja anaweza kuja yoyote akalifanyia kazi.

Kama nilivyosema ni jambo la utashi wa kisiasa tu.

That is all.
 
Upewe na la Ben Mkapa, Kijazi na Mfugale.. Mkuu ukipewa na mimi nishtue.
 
Kama umetumwa upeleleze sisi Hatutaki ujinga wako.....WEE KAOMBE SII UNAHAMU YA KUPELEKEWA MOTOOO KIMYA KIMYA......OMBA TUU UTAPEWA MKUUUU
 
Issue unaomba kwa sababu gani?
Unafanyia nn?

Unaeza kwenda ikulu kuulizia. Ila usitarajie matokeo chanya.
 
sitamrejesha kamwe.lakini prevention is better than treatment!!kinga ni bora kuliko tiba!!

inaweza pia leta mabadiriko makubwa katika medicine and science,medical practice etc
Huwezi zulia kifo ndugu.
 
" Dunia tambara bovu " !!!
 
Duuih Wabongo bhana.

File la kifo cha babu yako uliomba... kuzuia watu wa ukoo wako wasifesife kwa sababu zilezile?
 
sitamrejesha kamwe.lakini prevention is better than treatment!!kinga ni bora kuliko tiba!!

inaweza pia leta mabadiriko makubwa katika medicine and science,medical practice etc
Ulitakiwa umjibu kwa kumuuliza kama anajua umuhimu wa Research.
 
Kabla hujaomba la kwake omba ya waliokufa akiwa madarakani, alafu fatilia waliopotea kipindi chake nadhani ukimaliza hutaomba la kwake.
Utanua Mungu ndiye muweza wa yote.
Safi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…