Swali chokonozi: Nikiomba file la matibabu ya hayati Magufuli naweza kupewa?

Fanya mambo ya maana mkuu. Shughulikia yanayoyahusu maisha yako na yenye maana kwa watoto na wajukuu zako.
 
Ipitie hiyo sheria kwanza.

Vile vile tume maalum inaweza kuundwa kuchunguza kifo chake.
Kifo cha JPM ni ugonjwa wake wa moyo, hakuna mkono wala mguu wa mtu. Alitakiwa aende huko walipomuwekea kifaa cha moyoni ili wamtazame yeye akawa mbishi.

Alikuwa keshakata tamaa kama ulikuwa ukimuelewa kila alipokuwa akihutubia.
 
Alijawa na kiburi, suala la yeye kuumwa ni lazima mkewe alishamshauri kwenda kutibiwa huko Ulaya walipomuwekewa kifaa cha moyoni lakini kwa ubishi akaamua kudunda hivyo hivyo.
 
I fully concur with you Zalemda as a researcher, that is your right to open up the pandora box for the lasting solution achievement to the controversial life extermination of the state master. There are a lot of disturbing stories related to the mortality modus operandi........you are encouraged to dig out the hidden myths for the national interests.
 
Ukisikia Kufukua makaburi ndiyo huko sasa! Hakuna Rais aliyekufa harafu wasitangaze kilichomuua.Nadhani Mama alilitangazia Taifa kilichomuua Magu.
 
Ukiomba hilo file unaweza kuishia kutekwa na kuuliwa. Wapo wengi waliojaribu wakatolewa kafara.
Mimi nilikuwa karibu na Magufuli kwa Mara ya mwisho alipozindua daraja ubungo akaelekea mbezi stendi siku inayofuata alienda kurasini polisi. Alikuwa na nguvu tu tena mkakamavu sana. Tangia hapo akapotea kwenye media
 
Mimi nilikuwa karibu na Magufuli kwa Mara ya mwisho alipozindua daraja ubungo akaelekea mbezi stendi siku inayofuata alienda kurasini polisi. Alikuwa na nguvu tu tena mkakamavu sana. Tangia hapo akapotea kwenye media
Unamaanisha nini?
 
Niko interested kupata lile file alilozungumzia Diallo nafahamishwa lilifichwa na Chikawe.

Ama kwa hakika makosa makubwa yaliyofanyika August 2015 yatafutika baada hata ya miongo miwili.
 
Postmortem report ya Chacha Wangwe itakuwa wapi na kwa nani?
 
Unataka ujue alipataga maviroboto na makupe mwaka gani? Maana siku za mwisho alianza kuwa mweupe, nadhani yale mabusta aliyokuwa anayatumia
 
Hivi Mkuu ukishakua kiongozi mkubwa ina Maana kifo ni Halali yako?
 
Kiongozi umemwagika ile mbaya hongera sana aisee hii ndy maana ya sirikali nasikia Ben Saanane alimezwa na chatu
 
Ipitie hiyo sheria kwanza.

Vile vile tume maalum inaweza kuundwa kuchunguza kifo chake.
Hiyo tume hawawezi Ku survive watadonolewa wote,ukikubali kuwa kwenye tume hiyo ndy ushajichimbia kaburi lako mwenyewe
 
Kwanini uulize hapa file?! Nadhani ungeuliza tu ilipo Hospitali aliyofia, ili uende tu hapo getini ukawaambie umefuata file la ugonjwa wa Marehemu.
Halafu usisahu kuwaambia hiyo habari yako ya Marehemu alikuwa public property.
 
Mie nisaidieni file lile la hospital maarufu pale Dodoma ambalo inasemekana Chikawe alilitia kibindoni.

Lengo kuu ni kujua Ile akili yake ilitokana na masuala gani? Tusaidiane wandugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…