Swali Fyatu la Mwezi: Wakimpa Sifa Zake, Watapunguza za Kwao?

Mwisho wa siku hizo hela zilizotumika/zinazotumika kujengea hiyo moundombinu, ni kodi za Watanzania! Ni mikopo ambayo italipwa na watanzania wote!

Na siyo hao wanasiasa unaotaka wapewe acknowlegment.
Kwani hao watangulizi wa Magufuli walikuwa hawakusanyi kodi? Ukweli ubaki pale pale kwamba Magufuli alikuwa na maono! Wamtendee haki! Mnyonge mnyongeni haki yake apewe! Ila na wewe Mzee Mwanakijiji andika vizuri jina la chuma alikuwa anaitwa Rais Mh. Dk. John Pombe Joseph Magufuli
 
Hakuna Rais ambaye atamaliza kila kitu.

Fly over ni project ya Kikwete imetekelezwa na Magufuli anamalizia Mama Samia.

Mradi wa world bank wa Dmdp ameanza Kikwete, umetekelezwa awamu ya tano na awamu ya sita wamepewa pesa za Dmdp phase two.

Tatizo lenu kubwa mnadhani kila mtu ni mjinga, wakati nchi inaendeshwa kwa propaganda watu walikaa kimya kunusuru uhai wao, lakini sasa hivi hata mawe yataongea propaganda zenu hazina nafasi.

Mlisema Lowasa mgonjwa mkapiga mpaka pushups matokeo yake mnaliwa na funza kaburini Lowasa bado anapumuwa.

 
Nakumbuka wakati wa kikwete kulikuwa na mjadala bungeni kuhusu kuhamia Dodoma, serikali ikasema haina mpango wowote wa kuhamia Dodoma, na inafikiria kuleta mswada wa kuangalia upya uamuzi wa kuhamia Dodoma Kama bado una mantiki

Leo sifa anabeba yeye na Mwinyi. Ni Kama viongozi wote wa awamu hii wamekula kiapo cha kutokumtaja Jiwe, hadi bwawa la umeme utasikia ni Jakaya na mama!!!
 
Nakumbuka watu walivyokuwa wanalikimbiza gari la ugawaji na hawajui linakwenda kushusha wapi na nini?

Nyerere aliiweka nchi pabaya sana kwa kuwa skikuwa hashauriki, haambiliki. Rejea kilichomkumba Oscar Kambona.
 
Napita nitarudi kesho kutwa
 
Hivi akisifiwa yeye na wampendao mnaumia kwa lipi? Maana mnaweza pia kuwasifia muwapendao vile vile.
 
Ingekuwa hao watangulizi wa Magufuli kweli hawakufanya kitu ungeikuta nchi hii iko hivi? Shida yenu nyinyi vijana ni wajuaji sana. Nyerere alifanya yake akawacha nchi hii katika hali fulani ambayo hata sukari ilikubidi uipangie foleni ndiyo upate mgao. Alikuja Mwinyi akafanya yake, akaingia Mkapa naye akaendeleza na baadae Kikwete. Leo wote hao imekuwa hawakufanya kitu aliyefanya ni Magu tu....... wacheni hizo.
 
Hivi akisifiwa yeye na wampendao mnaumia kwa lipi? Maana mnaweza pia kuwasifia muwapendao vile vile.
Nani kapinga asisifiwe? Tunachokisema, ni watu wasilazimishe asifiwe kama alivyofanya mleta mada.

Kwa nnayoyaona mimi, binafsi, inayofaa kumsifia ntamsifia na nnayoyaona hayafai kumsifia simsifii. Simpo. .
 
Jiwe aliupaisha uchumi mpaka ukafikia wa Kati. Hivi sasa tunaambiwa tumeshuka, inakuwaje tena yeye (JPM) ndo awe amesababisha kutufikisha hapa? Hiyo ni simple logic tu.
Uchumi wa kati my foot! Lilipika data shenzi lile halafu likajitangazia mafanikio lenyewe. WB, MF ama WEF ndiyo wenye mamlaka ya kuitangaza nchi kuwa imefika uchumi wa kati.
 

Nyoko
 
Duh! Hapa sitii neno...ngoja nirudi kwenye thread inayofikirisha ya mwana JamiiForums, Bams

Mtanzania, kiumbe anayefanana na bindamu, ameendelea kubakia hivyo hivyo mpaka leo​

Asante Bams
 
Unataka wale aliowatangaza kuwa wataishi kishetani wamkumbuke?
Maadam Rais mstaafu mzee wetu Mwinyi anamkumbuka hiyo inatosha kabisa

Kwangu mimi Mwinyi " Ruksa" ndio Rais bora

Shujaa Magufuli Mtendaji Bora

Freeman Mbowe Mwanasiasa Bora

Maalim Seif Mwanasiasa Mvumilivu

Kawawa Mwanasiasa Mnyenyekevu

Jumaa kareem!
 
RIEP John Pombe Magufuli. Mwenyezi Mungu anayeimiliki na kuipenda Tanzania, kamwe hatatuacha wakiwa. hata kama jina lake linafanyiwa mizaha, kazi yake inajieleza. Hakuna sababu ya kutumia nguvu nyingi.
Wale wazee wa swaga waache waendelee nazo. Uzuri siku hizi mwenye macho haambiwi ona. Tunaona. Tunaanza kujua nani ni nani
 
Sasa kama nao walifanya kwa nafasi zao kigugumizi cha kumtaja Magufuli kinatoka wapi? Ukweli usemwe, Magufuli kawazidi wote katika uthubutu!
 
Nani kapinga asisifiwe? Tunachokisema, ni watu wasilazimishe asifiwe kama alivyofanya mleta mada.

Kwa nnayoyaona mimi, binafsi, inayofaa kumsifia ntamsifia na nnayoyaona hayafai kumsifia simsifii. Simpo. .
Ni maoni ya mtoa mara. Hukubaliani naye unanyamaza. Hajalazimisha asifiwe. Kwa maana nyingine unaweza kuanzisha mada ya kumpinga mtoa mada na kumponda msifiwa.
 
Kwani lisipotajwa hilo jina la shetani lenu la Chato tunapungukiwa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…