Swali gumu kidogo: Kwanini Urusi iliyosambaratika na dhaifu kuliko USSR inawasumbua sana NATO?

Swali gumu kidogo: Kwanini Urusi iliyosambaratika na dhaifu kuliko USSR inawasumbua sana NATO?

Eneo ambalo urusi litamsumbua sana kuweza kumfikia Marekani ni Propaganda, Intelligency na Millitari/War strategies.
Maeneo yote hayo matatu ndiyo yanampa nguvu sana Marekani na yamekua nguzo sababu ya financial Power aliyonayo.
Russia inabidi afanye ku customise hayo maeneo ili yaweze kumsaidia.
Sikuisoma hii coment vizuri.
Mkuu mimi nikajua kwamba kwenye Military Industrial Complex, Intelligence na Propaganda Urusi ndiyo atamsumbua sana Marekani. Lakini Marekani amemshinda Urusi kwenye Economy, Soft-Power, Institutional Power, Civilian Super Technology and a Massive Network of Alliances.
 
kila nchi ni mfungwa wa jiograph..NATO kwa wingi wao wanategema udhaifu wa masoko hafidhina kiitikadi..uimara wa soko hafidhina ni msiba kwa NATO..ili uwe imara sokoni lazima uwe na maliasili hasa gas,mafuta na chuma..mlango bahari wa maji moto...rasilimali watu[IQ kubwa]..jeuri ya russia ni maliasili[innovation] na ufundi[IQ].....globalization iliasisiwa NATO waki assume hakuna ng'ombe kama China ataja ibuka...China na NATO wanakiu ya maliasili ambayo Russia anayo tele ila mbabe....kumwangusha China lazima uanze na russia kiitikadi ni walewale..kimsingi USSR haikufa ila imevaa ngozi ya kondoo..inasubiri mlango bahari wa arctic uwe moto ndiyo kitu pekee hawana....tukumbuke tu kwamba wapo syria kuweka bendera ya kiu ya energy duniani.
Ahsante sana mkuu. Lakini naomba nikuulize swali la msingi kutoka kwenye hoja yako: Mbona Urusi ya Kisovieti ilikuwa na Gesi, Mafuta, Chuma pamoja na Teknolojia kubwa sana lakini bado ikaanguka baada ya Uchumi wake kudorora?
 
Vita baridi ipo tu mpaka leo haijaisha
Japo watu husema iliisha mwaka 1989 lakini kwa uelewa wangu mdogo wa maana ya vita baridi ni kutishana kati ya pande mbili
Yaani hawaingizi majeshi vitani Bali kinachofanyika ni kutishana eidha kwa mazoezi ya kijeshi kwa idadi kubwa na kuwekeana vikwazo vya hapa na pale ili mradi kukomoana tu
Mpaka leo kuna vita baridi kati ya Russia na USA na mataifa ya ulaya alimaarufu kama NATO
Kilichobadilika ni kwamba sasa ni kati ya Marekani ikiiongoza NATO na Urusi

Zamani ni nchi za Kisoviet na Marekani wakishirikiana na NATO
 
Ningekuwa Anko Magu lazima ningempa cheo awe Mshauri wangu hata kama si shauriki.

Nishasema hivyoo mweeh...!
fake ids hzi mkuu " mimi nawewe hatuwezi jua " mkuu ML ninani" waweza kukuta ni waziri wa wazira fulani nchini
 
Ahsante sana mkuu. Lakini naomba nikuulize swali la msingi kutoka kwenye hoja yako: Mbona Urusi ya Kisovieti ilikuwa na Gesi, Mafuta, Chuma pamoja na Teknolojia kubwa sana lakini bado ikaanguka baada ya Uchumi wake kudorora?
hawakuwa na hawana mlango bahari wa maji moto...ndo maana Crimea imekuwa sehemu ya Russia..binafsi naona kusambaratika kwa USSR ilikuwa mkakati mbinu...kwa nini Chechnya na south Ossetia Russia alishusha kipigo..wingi wa mabilionea Moscow nadhani ni shift of power hasa kuwa na hisa katika uchumi wa magharibi tofauti na hapo awali..ndo maana nashawishika kusema USSR haikusambaratika ila imejifunika ngozi ya kondoo na ku centralize power Moscow..Leo Moscow ni ya kushutumiwa kuchakachua chaguzi Washington?eti nguli wa NSA Edward snowden ni mkimbizi Moscow...mmiliki wa club ya Chelsea ni mrusi...laa nashindwa kuamini kusambaratika ...any way karibu idlib Syria kuna kazi inakamilika hivi karibuni.
 
Eneo ambalo urusi litamsumbua sana kuweza kumfikia Marekani ni Propaganda, Intelligency na Millitari/War strategies.
Maeneo yote hayo matatu ndiyo yanampa nguvu sana Marekani na yamekua nguzo sababu ya financial Power aliyonayo.
Russia inabidi afanye ku customise hayo maeneo ili yaweze kumsaidia.
Mkuu GRU unaweza wafananisha na CIA!?.. Fine, kwenye Millitary/War Strategies marekani ubora wake upo wapi zaidi ya Russia!?..
Propaganda nakubaliana nawe!..
 
Back
Top Bottom