MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
- Thread starter
-
- #81
Sikuisoma hii coment vizuri.Eneo ambalo urusi litamsumbua sana kuweza kumfikia Marekani ni Propaganda, Intelligency na Millitari/War strategies.
Maeneo yote hayo matatu ndiyo yanampa nguvu sana Marekani na yamekua nguzo sababu ya financial Power aliyonayo.
Russia inabidi afanye ku customise hayo maeneo ili yaweze kumsaidia.
Sifahamu mkuu, hebu mwaga nondo tunufaike wote hapa.UNAJUA MAANA YA VITA BARIDI???
Ahsante sana mkuu. Lakini naomba nikuulize swali la msingi kutoka kwenye hoja yako: Mbona Urusi ya Kisovieti ilikuwa na Gesi, Mafuta, Chuma pamoja na Teknolojia kubwa sana lakini bado ikaanguka baada ya Uchumi wake kudorora?kila nchi ni mfungwa wa jiograph..NATO kwa wingi wao wanategema udhaifu wa masoko hafidhina kiitikadi..uimara wa soko hafidhina ni msiba kwa NATO..ili uwe imara sokoni lazima uwe na maliasili hasa gas,mafuta na chuma..mlango bahari wa maji moto...rasilimali watu[IQ kubwa]..jeuri ya russia ni maliasili[innovation] na ufundi[IQ].....globalization iliasisiwa NATO waki assume hakuna ng'ombe kama China ataja ibuka...China na NATO wanakiu ya maliasili ambayo Russia anayo tele ila mbabe....kumwangusha China lazima uanze na russia kiitikadi ni walewale..kimsingi USSR haikufa ila imevaa ngozi ya kondoo..inasubiri mlango bahari wa arctic uwe moto ndiyo kitu pekee hawana....tukumbuke tu kwamba wapo syria kuweka bendera ya kiu ya energy duniani.
Ningekuwa Anko Magu lazima ningempa cheo awe Mshauri wangu hata kama si shauriki.hatari sana huyu kiumbe
fake ids hzi mkuu " mimi nawewe hatuwezi jua " mkuu ML ninani" waweza kukuta ni waziri wa wazira fulani nchiniNingekuwa Anko Magu lazima ningempa cheo awe Mshauri wangu hata kama si shauriki.
Nishasema hivyoo mweeh...!
Au yule kichaa aliyetajwa na mkulu [emoji23] [emoji23]fake ids hzi mkuu " mimi nawewe hatuwezi jua " mkuu ML ninani" waweza kukuta ni waziri wa wazira fulani nchini
hahaaa yule hawezi kuwa na nondo kama hiziAu yule kichaa aliyetajwa na mkulu [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]hahaaa yule hawezi kuwa na nondo kama hizi
Kama dada Jokate vile au siyo ???Ningekuwa Anko Magu lazima ningempa cheo awe Mshauri wangu hata kama si shauriki.
Nishasema hivyoo mweeh...!
Teh teh teh teh teh,fake ids hzi mkuu " mimi nawewe hatuwezi jua " mkuu ML ninani" waweza kukuta ni waziri wa wazira fulani nchini
hahaha ndio unavyo tuzuga hivyo ". mkuu " ..behind the curtain " kumbe unaitafuna nchi " una vitalu vyako vya gase pale mtwara .maisha yanasonga tuTeh teh teh teh teh,
Karibuni sana Kagera tulime miwa....
HahahahahahaKama dada Jokate vile au siyo ???
Teh teh teh teh!
Niko zangu kikunyu huku nalima miwa!hahaha ndio unavyo tuzuga hivyo ". mkuu " ..behind the curtain " kumbe unaitafuna nchi " una vitalu vyako vya gase pale mtwara .maisha yanasonga tu
Basi ngoja nianze kumsifia kule jukwaa la siasa najua hata udiwani siwezi kukosa!Hahahahahaha
Yule kichaa hatabiriki mkuu...
hawakuwa na hawana mlango bahari wa maji moto...ndo maana Crimea imekuwa sehemu ya Russia..binafsi naona kusambaratika kwa USSR ilikuwa mkakati mbinu...kwa nini Chechnya na south Ossetia Russia alishusha kipigo..wingi wa mabilionea Moscow nadhani ni shift of power hasa kuwa na hisa katika uchumi wa magharibi tofauti na hapo awali..ndo maana nashawishika kusema USSR haikusambaratika ila imejifunika ngozi ya kondoo na ku centralize power Moscow..Leo Moscow ni ya kushutumiwa kuchakachua chaguzi Washington?eti nguli wa NSA Edward snowden ni mkimbizi Moscow...mmiliki wa club ya Chelsea ni mrusi...laa nashindwa kuamini kusambaratika ...any way karibu idlib Syria kuna kazi inakamilika hivi karibuni.Ahsante sana mkuu. Lakini naomba nikuulize swali la msingi kutoka kwenye hoja yako: Mbona Urusi ya Kisovieti ilikuwa na Gesi, Mafuta, Chuma pamoja na Teknolojia kubwa sana lakini bado ikaanguka baada ya Uchumi wake kudorora?
Mkuu GRU unaweza wafananisha na CIA!?.. Fine, kwenye Millitary/War Strategies marekani ubora wake upo wapi zaidi ya Russia!?..Eneo ambalo urusi litamsumbua sana kuweza kumfikia Marekani ni Propaganda, Intelligency na Millitari/War strategies.
Maeneo yote hayo matatu ndiyo yanampa nguvu sana Marekani na yamekua nguzo sababu ya financial Power aliyonayo.
Russia inabidi afanye ku customise hayo maeneo ili yaweze kumsaidia.
Russia na USA wanazidiana uchumi tu lakini kuhusu mambo ya vita hawana tofauti kubwaMkuu GRU unaweza wafananisha na CIA!?.. Fine, kwenye Millitary/War Strategies marekani ubora wake upo wapi zaidi ya Russia!?..
Propaganda nakubaliana nawe!..
Wizara ya ulinzi ya marekani Pentagon inatumia gharama kuuuubwa Sana zaidi kufadhili vikundi vya kigaidi duniani, tofauti na Russia huweza pesa zao kijeshi kwa manufaa yao tu...Russia na USA wanazidiana uchumi tu lakini kuhusu mambo ya vita hawana tofauti kubwa
Hahahahahahaha [emoji23]Basi ngoja nianze kumsifia kule jukwaa la siasa najua hata udiwani siwezi kukosa!