Swali: Hivi walokole wa karne ya 21, mnatongozaje wanawake siku hizi?

Me nadhani Una woga mwingi na mashaka
Yani bado hujasema
Na bado humjui Mungu wako kabisa
Na Imani hauna hata chembe
Ukiamua kutulia na Mungu hautakuwa na maadithi ya kipepo kama haya ulioandika
 
Niko na maombi leu kuanzia saa moja usiku na kuendelea.

Nakuomba mpendwa ujumuike nami kwani bwana ametuchagua siku ya leo kwenye maombi haya.
Leo nipo kwenye mtoko WA vijana kigamboni tupo na Mchungaji Kimaro
Natoka SAA 12 jioni nikifika home NI kulala na kuamka kujiandaa na ibada kesho j2
 
Kwahiyo unafanya KAZI Kwa shetani au Kwa Mungu aliekuumba?
Kwani uliokokea kwenye mwaya au Mungu WA Mbinguni alikuita Kwa neema yake

Usitafute sababu za kipuuzi, jibu swali uliloulizwa
 
Kwahiyo hapo umejibu swali lipi??
Me nadhani kwakuwa wewe NI pretender kanisani Mungu anakukutAnisha na pretender wenzio ndio maana unadhani Kila MTU kanisani hajaokoka kama. Wewe
 
Ukiokoka nimwendo wa Kifo Cha mende...mambo ya bjb sijui mbuzi kagoma,sijui doggy style sijui popo kanyea mbingu hayana tija Wala hayampendezi maulana....

Mm ni mwanaume tena mwanaume wa shoka kutoka mkoa wa mara tarime
Sasa hapo umejibu swali lipi??
Maana naona unatuletea sarakasi za kuzimu kanisani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…