Swali: Hivi walokole wa karne ya 21, mnatongozaje wanawake siku hizi?

Sawa mkuu nenda Kwa mlokole deep uone kama atakupa popo kanyea mbingu🤣🤣🤣🤣
Sihitaji popo wala popo bawa
Nataka tumtumikie Mungu hapa Duniani na kufika Mbinguni
Kwenye Biblia kuna style nyingi za tendo la ndoa hio ya popo cha mtoto
 
Kwani wewe umeolewa au bado?tuanze kukutongoza wewe ujue mtongozo upoje
 

Hiyo kitu haina cha ulokole wewe.
Nimeshafanya majaribio kadhaa nikakuta hakuna cha ulokole wala nini.
Mdada wa kushinda kanisani, akiwa na shughuli zake kama dukani au biashara zingine basi pembeni kuna bible muda wote anasoma bible. na redio ya kanisani kwao anasikiliza mahubiri na nyimbo. Ila mkichat whatssap ni maharagwe ya mbeya maji mara moja unabeba. Nimefanya hivyo kwa binti hata idadi sijui ila baadaye naamuaga tu kuacha kama nikimwona hana vigezo vya kunishawishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…