Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #81
Sihitaji popo wala popo bawaSawa mkuu nenda Kwa mlokole deep uone kama atakupa popo kanyea mbingu🤣🤣🤣🤣
Kama jibu unalo uliseme basi, ndo maana umeona sijajibuHujajibu, umetujazia comment
Thanks anyway
Nitajie izo staili za kwenye biblia unajua Kuna staili mm ni mvumbuzi cc.wachakata mbususu Kwa fujo POPOTE Jf na Dunia Kwa ujumla wake.....Sihitaji popo wala popo bawa
Nataka tumtumikie Mungu hapa Duniani na kufika Mbinguni
Kwenye Biblia kuna style nyingi za tendo la ndoa hio ya popo cha mtoto
Hakuna shida nitafanya peke yangu huku nikikuombea piaLeo nipo kwenye mtoko WA vijana kigamboni tupo na Mchungaji Kimaro
Natoka SAA 12 jioni nikifika home NI kulala na kuamka kujiandaa na ibada kesho j2
Uzi haujauliza ulicho comment lakiniWazee wa kanisa wa siku hizi sio wakuwamini sana bora uende kwa Mchungaji moja kwa moja.
Wazee wenyewe ni vijana [emoji3][emoji3][emoji3]
Sawa, bado hujasemaKama jibu unalo uliseme basi, ndo maana umeona sijajibu
Kasome Biblia kuanzia mwanzo mpaka ufunuo utajionea mwenyeweNitajie izo staili za kwenye biblia unajua Kuna staili mm ni mvumbuzi cc.wachakata mbususu Kwa fujo POPOTE Jf na Dunia Kwa ujumla wake.....
Hili sio jibu la swali lililoulizaShughulika na ya wakati wako ya wakati wao waachie wao
Endelea kuamini tuHakuna shida nitafanya peke yangu huku nikikuombea pia
Naamini siku moja tutaungana pamoja mpendwa.
Na kwaya inaendeleaWalokole wakiwa kwenye kwaya , mmoja akipata gono ni kwaya nzima , kila mmoja ana jitibu kimya kimya maisha yanaendelea.
Hamna noma mpendwa kondooEndelea kuamini tu
Hakuna cha wana wa nuru bali ni kikundi cha wahuni flani hivi nyumba zako za ibada ndio zinazoongoza kwa kufanyia zinaaWewe sio mwana WA nuru, waache wenye nuru yao wacomment
Wewe tukutane kwenye nyuzi za waenda kuzimu
Umeongea ukweli[emoji23][emoji23]Walokole wakiwa kwenye kwaya , mmoja akipata gono ni kwaya nzima , kila mmoja ana jitibu kimya kimya maisha yanaendelea.
😅😅😅Sas si kifo cha mende tu kuna mpyaa ??Sasa unataka nikwambie nimedo vipi na mume wangu for the past 30yrs ikusaidie nini??
Kwani wewe umeolewa au bado?tuanze kukutongoza wewe ujue mtongozo upojeEnyi Wana WA Nuruni
Naomba mje mnisaidie hii kitu
Kwani skuhizi walokole mnatongozaje dada zenu waliookoka?
Maana me nimetongozwaga zamani,
Zamani ilikuwa ukimpenda mpendwa, unamwambia Mzee WA kanisa, anaenda Kuongea na dada, akikubali, anarudishwa jibu ndio mnakutana Kwa Mzee WA kanisa Kuongea
Na dating NI mchana sehemu ya public
Hamna Ku kiss wala ku du
Sasa sijui skuhizi mnatongozanaje
Naombeni kujua jamaa
Enyi Wana WA Nuruni
Naomba mje mnisaidie hii kitu
Kwani skuhizi walokole mnatongozaje dada zenu waliookoka?
Maana me nimetongozwaga zamani,
Zamani ilikuwa ukimpenda mpendwa, unamwambia Mzee WA kanisa, anaenda Kuongea na dada, akikubali, anarudishwa jibu ndio mnakutana Kwa Mzee WA kanisa Kuongea
Na dating NI mchana sehemu ya public
Hamna Ku kiss wala ku du
Sasa sijui skuhizi mnatongozanaje
Naombeni kujua jamaa