Swali kwa Jaji Mkuu: Je, ni haki kwa kina Rostam Aziz kutozwa faini badala ya kifungo lakini kina Mbarikiwa kupewa kifungo badala ya faini?


1 Wakorintho 11:
17 Lakini katika kuagiza haya, siwasifu, ya kwamba mnakusanyika, si kwa faida bali kwa hasara.
18 Kwa maana kwanza mkutanikapo kanisani nasikia kuna faraka kwenu; nami nusu nasadiki;
19 kwa maana lazima kuwapo na uzushi kwenu, ili waliokubaliwa wawe dhahiri kwenu.
 
Tena kwa sasa jela zinavyojaa kuna msisitizo wa hukumu kwa kesi kama hiyo ya mchungaji kupewa kifungo cha nje au faini. Hukumu kama ile ya ikram rostam ndio mtu angefungwa jela bila mbadala wa faini. Binafsi naamini ikram baada ya kulipa faini hakuachana na uwindaji haramu. Alienda likizo tu na hatimae alibadili mbinu au kuendelea kama kwanza.
 
 

Attachments

  • F4B0BDB6-48BA-400B-A16E-D7CCE159827D.jpeg
    9.8 KB · Views: 1
  • 6012115F-6EC4-43BE-B65B-E4E9F3F139C2.jpeg
    31.4 KB · Views: 1
Hizo picha ulizoweka ni uongo mtupu, defamation.


Nenda kaisome sheria ya "olea bargain", kama wewe a mchungaji wako mmeshindwa na hamkujuwa kuitumia, wenzenu walijuwa kuitumia.

Ndugu yako wewe akifanya kosa uhukumiwe wewe au sivyo?
Yaani wewe bibi huwa unashmgilia chochote kinachofanywa na Mwarabu/ Muislam..Wote tunajua kuwa ndugu yake Rostam alishikwa Kwa ujangili...na ndipo USWAHIBA wa Rostam na CCM ya Magufuli uliponzia .Sometimes uwe hata unatuliza tu makalio badala ya kunyanyuka kuchangia kila mada Kwa mwelekeo wa kidini!
 
Kesi ya mdogo wake Rostam ilikuwa kwa ajili ya kumrudisha Rostam nchini baada ya mwendazake kuona hela inaisha na hakuna mtu wa kuzungusha. Na alivyokuja baada ya muda mfupi akafungua Taifa gas na Mwenda zake akampa kiwanda Morogoro.
 
Pia tusisahau mtumishi kapata fursa ya kuhubiri neno kwa walio magereza.
Hakuna jipya chini ya jua.
Mtume Petro alifungwa.
Mtume Paulo alifungwa.
Kwa ujumla mitume wa Yesu wote walipitia kash kash za kukamatwa na mamlàka.
Hata Yesu mwenyewe alikamatwa na akahukumiwa kunyongwa.
Kristo ni "kweli" na Dunia haipendi ukweli.
Mmiliki wa Dunia hii ndie baba wa uwongo wala kweli haimo ndani yake.
 

Akram Aziz alipa faini ya milioni 259.5, aachiwa huru​



View: https://youtu.be/-FWpqOItZrI
Sasa faini ya millioni 259 ndogo hiyo?

Makosa yenyewe alibambikiwa tu huyo.

Huyo hata akiwa na bunduki 50 ni sawatu, ana vitalu vya kuwinda huyo, biashara yake bila bunduki atawindisha watu kwa manati?

Halafu kesi ya enzi za mwendazake mmeileta leo.


Angelambwa jela mama tibaijuka akasote na kina Ruge na Singa pesa walizogawana, ndiyo ungeongea vizuri.
 
Kesi ya mdogo wake Rostam ilikuwa kwa ajili ya kumrudisha Rostam nchini baada ya mwendazake kuona hela inaisha na hakuna mtu wa kuzungusha. Na alivyokuja baada ya muda mfupi akafungua Taifa gas na Mwenda zake akampa kiwanda Morogoro.

Akram akikaa ndani miezi mitatu.
Alipotoka akampigia saluti Mwamba JPM.
"Sikuwahi kuamini katika nchi hii kwamba ningewahi kulala korokoroni hata siku moja, lakini chini ya Rais Magufuli imetokea," alisema Akram.
Magufuli ilikuwa namba nyingine.
Hakuwa anaabudu wenye mali hata siku moja.
 
Kama unakumbuka Jpm alikutana na Rostam Mara ngapi Ikulu? Kumbuka vizuri matukio
 
Na huyo mchungaji alikuwa na yeye ana kitalu cha kuwindia kama Akram?

Kafungwa kwa kuwinda watu au wanyama huyo mchungaji?


Mbona huyasemi ya Tibaijuka, kapewa adhabu ya kuwachishwa kazi tu.
 
Hata Kanisa la WRM la Suguye halikuwa na usajili na hakufungwa bali huduma zilisitishwa tu.


Issue ni ukosoaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…