Swali kwa Jaji Mkuu: Je, ni haki kwa kina Rostam Aziz kutozwa faini badala ya kifungo lakini kina Mbarikiwa kupewa kifungo badala ya faini?

Swali kwa Jaji Mkuu: Je, ni haki kwa kina Rostam Aziz kutozwa faini badala ya kifungo lakini kina Mbarikiwa kupewa kifungo badala ya faini?

View attachment 2766809
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma

Mheshimiwa Jaji Mkuu,

Tarehe 29 Septemba 2023, Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya ilimhukumu kifungo cha miaka mitatu na siku 14 jela, Mchungaji anayeitwa Mbarikiwa Mwakipesile (39), baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kuendesha huduma ya kikosi kazi cha Injili kabla ya kupata usajili kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, kama sheria ya vyama vya kijamii inavyotaka.

Hukumu hiyo ilitolewa chini ya kifungu cha 25(1) cha sheria ya vyama vya kijamii. Kifungu kinatoa fursa ya kulipa faini u kifungu, au vyote kwa pamoja. Mahakama imeamua kutoa adhabu ya kifungo.

Mchungaji Mwakipesile amekuwa anaituhumu serikali kwamba inawaona wanachi kama nyani au kenge. Yeye ni baba mzazi wa Sifa Bujune, Muimbaji wa Injili anayetuhumiwa kusambaza uongo kutokana na Wimbo wake wa “Mnatuona Nyani tu”,

View attachment 2766819

Lakini, kumbukumbu zinaonyesha kwamba, Akram Aziz, mdogo wake Ristam Aziz, alikabiliwa na kesi ya mashtaka 75 ya uhujumu uchumi kwa kukutwa na nyara za Serikali, silaha za aina mbali mbali na risasi zake (tazama Kkiambatanisho hapa chini). Kesi yake iliendeshwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Mwishowe alitozwa faini, badala ya kifungo.

View attachment 2766818
Undumilakuwili huu unazitia doa mahakama za Tanzania, ambazo utendaji kazi wake unasimamiwa na Jaji Mkuu.

Mahakama inayomheshimu jangili na kumtweza mchungaji ni mahakama yanhovyo sana. Mahakama inayomheshimu mwarabu mwenye asili ya Iran na kumtweza Mbantu wa Mbeya haina haki ya kuitwa mahakama. Mahakama inayowatukuza wenye mali na kuwakandamiza kabwela sio mahakama kamwe. Mahakama inayokumbatia kanuni ya umachiveli, isemavyo kwamba "good ends may justify any means, including evil means," haitakiwi nchini Tanzania.

Hivyo, tunatoa wito kwako Mheshimwa Jaji Mkuu: tunaomba ulinde heshima ya Mhimili muhimu unaoitwa Mahakama kwa kuchukua hatua stahiki za kufuta undumilakuwili huu.

============KIAMBATANSHO KUHUSU KESI YA MDOGO WAKE ROSTAM AZIZI==================

MUHTASARI WA KESI YA MDOGO WAKE BILIONEA ROSTAM AZIZ​

Mnamo 30 Oktoba 30 2018, saa 7 mchana maeneo ya Msasani, Jijini Dar, Akram Aziz, mdogo wake Rostam Aziz, alikamatwa na vyombo vya dola akiwa na nyara mbalimbali za serikali zikiwemo Pembe za ndovu.

Ilithibika kuwa Akram (Iqram) ni jangili wa muda mrefu na upekuzi uliofanyika nyumbani kwake ulibaini kuwa Akram anamiliki silaha nyingi kinyume cha sheria, pamoja na mihuri mingi bandia ya taasisi za serikali ambapo alikutwa na “vibali feki” vya uwindaji vingi sana.

Ilifahamika kuwa amekuwa ni “Mastermind” wa ujangili nchini kwa muda mrefu sana na ndiye kinara wa mauaji ya tembo na wanyama wengine kwenye mbuga zetu.

Taarifa za uhakika zilisema kuwa mtandao huo wa ujangili ulikuwa unasimamiwa na Kaka yake Rostam Aziz pamoja na baadhi ya viongozi wengine wa vyama vya siasa na serikali katika awamu zilizopita. Hatimye Akram alitiwa hatiani na kupewa adhabu ya kulipa faili badala ya kifungo. Picha zifuatazo ni baadhi ya silaha alizokamatwa nazo:

View attachment 2766815

View attachment 2766816

View attachment 2766817


Mama Amon
Mkurugenzi Mtendaji
Dawati la Utafiti la Mama Amon (DUMA)
"Sumbawanga Town"
S.L.P. P/Bag
Sumbawanga
30 Sep 2023
Ingekua vyema sana kama ungeleta pia na proceedings za iyo kesi ya Mbarikiwa ili kuepukana na prejudiced perception, Sometimes equity is better than equality
 
Na huyo mchungaji alikuwa na yeye ana kitalu cha kuwindia kama Akram?

Kafungwa kwa kuwinda watu au wanyama huyo mchungaji?


Mbona huyasemi ya Tibaijuka, kapewa adhabu ya kuachoishwa kazi tu.
Ana kitalu Cha uimbaji na Sio uwindaji.
Kosa ni kuimba nyimbo za kelele mulika mwizi,kamata mwizi kaingia 18 zao. angeimba zile za kupromote ngono ushoga bangi pombe kudanga angekuwa salama
 
Hata Kanisa la WRM la Suguye halikuwa na usajili na hakufungwa bali huduma zilisitishwa tu.


Issue ni ukosoaji.
Jamaa mwingine naye mwenye makengeza hivi alikuwa ana kanisa huko Kigamboni linaunga mkono ushoga waziwazi naye alifungiwa baada ya kuonekana kuwa kumbe hakuwa na kibali.

Uonevu tu!
 
Hata Kanisa la WRM la Suguye halikuwa na usajili na hakufungwa bali huduma zilisitishwa tu.


Issue ni ukosoaji.
Labda alikaodi
 
View attachment 2766809
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma

Mheshimiwa Jaji Mkuu,

Tarehe 29 Septemba 2023, Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya ilimhukumu kifungo cha miaka mitatu na siku 14 jela, Mchungaji anayeitwa Mbarikiwa Mwakipesile (39), baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kuendesha huduma ya kikosi kazi cha Injili kabla ya kupata usajili kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, kama sheria ya vyama vya kijamii inavyotaka.

Hukumu hiyo ilitolewa chini ya kifungu cha 25(1) cha sheria ya vyama vya kijamii. Kifungu kinatoa fursa ya kulipa faini u kifungu, au vyote kwa pamoja. Mahakama imeamua kutoa adhabu ya kifungo.

Mchungaji Mwakipesile amekuwa anaituhumu serikali kwamba inawaona wanachi kama nyani au kenge. Yeye ni baba mzazi wa Sifa Bujune, Muimbaji wa Injili anayetuhumiwa kusambaza uongo kutokana na Wimbo wake wa “Mnatuona Nyani tu”,


View: https://youtu.be/JSVmJqUmbHg

Lakini, kumbukumbu zinaonyesha kwamba, Akram Aziz, mdogo wake Ristam Aziz, alikabiliwa na kesi ya mashtaka 75 ya uhujumu uchumi kwa kukutwa na nyara za Serikali, silaha za aina mbali mbali na risasi zake (tazama Kkiambatanisho hapa chini). Kesi yake iliendeshwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Mwishowe alitozwa faini, badala ya kifungo.


View: https://youtu.be/-FWpqOItZrI

Undumilakuwili huu unazitia doa mahakama za Tanzania, ambazo utendaji kazi wake unasimamiwa na Jaji Mkuu. Na tatizo liko hivi:

  1. Mahakama inayomheshimu jangili na kumtweza mchungaji au shehe ni mahakama ya hovyo sana.
  2. Mahakama inayomheshimu mwarabu na kumtweza Mbantu wa Mbeya haina haki ya kuitwa mahakama. Mahakama inayowatukuza wenye mali na kuwakandamiza kabwela sio mahakama kamwe.
  3. Mahakama inayotukuza watu wenye mamlaka ya kisasa na kutwatweza wanyonge inakuwa na watendaji ambao wana mashudu kichwani badala ya ubingo.
  4. Kwa ujumla, mahakama inayokumbatia kanuni ya umachiveli, isemavyo kwamba "good ends may justify any means, including evil means," haitakiwi nchini Tanzania.

Hivyo, tunatoa wito kwako Mheshimwa Jaji Mkuu: tunaomba ulinde heshima ya Mhimili muhimu unaoitwa Mahakama kwa kuchukua hatua stahiki za kufuta undumilakuwili huu, wenye kutokana na hiari ya kimaamuzi kuhusu adhabu waliyo nayo mahakimu na majaji.

============KIAMBATANSHO KUHUSU KESI YA MDOGO WAKE ROSTAM AZIZI==================

MUHTASARI WA KESI YA MDOGO WAKE BILIONEA ROSTAM AZIZ​


View attachment 2766818

Mnamo 30 Oktoba 30 2018, saa 7 mchana maeneo ya Msasani, Jijini Dar, Akram Aziz, mdogo wake Rostam Aziz, alikamatwa na vyombo vya dola akiwa na nyara mbalimbali za serikali zikiwemo Pembe za ndovu.

Ilithibika kuwa Akram (Iqram) ni jangili wa muda mrefu na upekuzi uliofanyika nyumbani kwake ulibaini kuwa Akram anamiliki silaha nyingi kinyume cha sheria, pamoja na mihuri mingi bandia ya taasisi za serikali ambapo alikutwa na “vibali feki” vya uwindaji vingi sana.

Ilifahamika kuwa amekuwa ni “Mastermind” wa ujangili nchini kwa muda mrefu sana na ndiye kinara wa mauaji ya tembo na wanyama wengine kwenye mbuga zetu.

Taarifa za uhakika zilisema kuwa mtandao huo wa ujangili ulikuwa unasimamiwa na Kaka yake Rostam Aziz pamoja na baadhi ya viongozi wengine wa vyama vya siasa na serikali katika awamu zilizopita. Hatimye Akram alitiwa hatiani na kupewa adhabu ya kulipa faili badala ya kifungo. Picha zifuatazo ni baadhi ya silaha alizokamatwa nazo:

View attachment 2766815

View attachment 2766816

View attachment 2766817


Mama Amon
Mkurugenzi Mtendaji
Dawati la Utafiti la Mama Amon (DUMA)
"Sumbawanga Town"
S.L.P. P/Bag
Sumbawanga
30 Sep 2023

Tofauti ya kesi hizo mbili ni kuwa Akramu hakushindana/kutunishia serikali misuli kama Mbarikiwa alivyo kuwa anafanya hivi karibuni kwenye mitandao. Yeye Mbarikiwa ni Mchungaji ila kaweka maandiko ya kuheshimu mamlaka kando. Kwa utaratibu huo ataanza kujifunza. Ajifunze kwa Kakobe na Muhingira!
 
Tofauti ya kesi hizo mbili ni kuwa Akramu hakushindana/kutunishia serikali misuli kama Mbarikiwa alivyo kuwa anafanya hivi karibuni kwenye mitandao. Yeye Mbarikiwa ni Mchungaji ila kaweka maandiko ya kuheshimu mamlaka kando. Kwa utaratibu huo ataanza kujifunza. Ajifunze kwa Kakobe na Muhingira!

Kwa hiyo ule mjadala wa HAKI JINAI unaoendelea kwa maagizo ya mkuu wa serikali ya Tanzania, Rais Samia, ni geresha tu, sio? Halafu Rais Samia atarajie kupanda jukwaani kuomba kura ya kuwa Rais wa Tanzania ifikapo 2025? Hata sijui washauri wa Rais wanafanya kazi gani!
 
Sio kwa ubaya, ila the way mods wanavokuwa strict kwenye suala la mijadala inayohusu dini na imani za watu basi na hili la sheria inatakiwa liangaliwe kwa jicho la tatu.
Sio afya kuachia mjadala wa kisheria kwa watu ambao majority hawajui sheria, ni kuibua taharuki isiokua na ulazima.

Ngoja tupate maarifa kidogo kuhusu "Sentencing" kulingana na kesi husika.

general principles of sentencing..

1. The gravity of the offence, including the degree of culpability of the offender. In considering the seriousness of the offence, the court should look at the nature of the offence and circumstances under which it was committed, the offender and the victim;

2.Impact of the offence on an individual victim or the community as a whole;

3. The offender’s personal, family, community, or cultural background

Sentencing Process

In exercising its sentencing powers, the court shall consider as far as practicable, the accused’s personal circumstances, any other offences committed by accused, totality principle, co-accused’s sentence, any co-operation with authorities and information from the victim.

Having determined the overall seriousness of the offence, the court should consider the following:

The accused’s personal circumstances;

The financial circumstances of the accused if the court is contemplating imposing a fine or other financial orders;​
If the accused has provided any assistance or co-operation to the authorities after his arrest which has assisted in the investigation or disruption of criminal activity;​
The family circumstances of the accused and likely impact of sentence on dependants;​
Offender’s age, mental health or physical disability;​

GUIDANCE ON DIFFERENT TYPES OF SENTENCES

1. Death
A death sentence cannot be imposed upon a pregnant woman and a person who at the time of commission of the offence was under 18 years of age.

2. Imprisonment
Since a custodial sentence involves curtailment of one’s freedom, such
sentence
should be passed as a matter of last resort unless the law requires otherwise. Where the law provides for a sentence of imprisonment, accused person may be sentenced to pay a fine in addition to, or instead of imprisonment.

Furthermore, a custodian sentence should not be imposed on the accused on account of his good financial standing on the basis that
if a fine were to be imposed, he would be able to pay it easily.
In case the law provides for a sentence of imprisonment and an option of a fine, a first offender should be sentenced to a fine save where the offence is grave or widespread in the area.

3. Fine
Where a fine is imposed under any law, in the absence of express provisions relating to that fine, the following should be taken into account:

(a) the capacity of the accused to pay the fine must be considered along with the gravity of the offence;

(b) if no sum is expressed to which the fine may be extended, the fine which
may be imposed is unlimited but shall not be excessive; or

(c) the fine should be one which an accused person can reasonably be
expected to pay.

Where an offence may be punishable by a fine and/or imprisonment, the decision is a matter for the discretion of the court.
Where the statutory provision creating an offence explicitly mentions both imprisonment and fine as methods of punishment, this indicates that a fine has been envisaged by the legislature as the principal mode of punishment, and imprisonment should not
normally be passed
.

If an offence has a mandatory sentence of a fine (e.g., wildlife offences based on the value of the item), then this must be imposed.

Mama Amon
 
Back
Top Bottom