Mtembezi Kichomi
JF-Expert Member
- Feb 24, 2022
- 696
- 993
Mpe kadi ya mualiko.Hili ni swali kwa Malegendary na kwa wanawake smart kichwani, hivi imefika hatua mwanaume unaona dhahiri kwa sababu zako binafsi na za msingi mke wako apate msaidizi, ni mistari gani ambayo mwanamke anaimbishwa mpaka anatowa kibali?
Tafadhali hii siyo thread ya mahubiri, tujikite kwenye mada.
Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli Asprin
Hapo kabla sikuwahi, sasa hivi ndio nimezama hadi maini.🤣🤣🤣🤣 Nifah unajitahidi kupenda.....
Tukupe tuzo ya mpendaji bora wa jf, mwanaume apewe Equation x
Unanikumbusha binti mmoja wa kinyaturu nlisoma nae wa kuitwa clara, yule dada alikua akipenda anakua kama teja 🤣🤣🤣🤣 yani ni 24/7 akili ipo kwa bf. Love is beautiful.....💕Hapo kabla sikuwahi, sasa hivi ndio nimezama hadi maini.
Ni huzuni kwa kweli, niombeeni.
Wewe una sifa za kuwa Bi mkubwa si Bi mdogo.Ukifika hatua ya kutaka bi mdogo, nipo matola......
Umepigaje hapo? Kwahiyo yule jamaa yetu wa Jangid Plaza hukuzama penzini?Hapo kabla sikuwahi, sasa hivi ndio nimezama hadi maini.
Ni huzuni kwa kweli, niombeeni.
Kwenye u bi mkubwa napwaya😹Wewe una sifa za kuwa Bi mkubwa si Bi mdogo.
Haya ndio mahitaji ya kila mwanaume, Bi wakubwa wote wako bize na watoto, sasa hiki kipengele kinahitaji Bi mdogo wa kuifinyia kwa ndani.Kwenye u bi mkubwa napwaya😹
Nioe mke wa pili nikurudishe utotoni.
Hili ni swali kwa Malegendary na kwa wanawake smart kichwani, hivi imefika hatua mwanaume unaona dhahiri kwa sababu zako binafsi na za msingi mke wako apate msaidizi, ni mistari gani ambayo mwanamke anaimbishwa mpaka anatowa kibali?
Tafadhali hii siyo thread ya mahubiri, tujikite kwenye mada.
Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli Asprin[/USER7]
[/QUOTE]
Achana na hili wazo, utawapa waganga faida na utawataftia wanawake dhambi ya kuua,Hili ni swali kwa Malegendary na kwa wanawake smart kichwani, hivi imefika hatua mwanaume unaona dhahiri kwa sababu zako binafsi na za msingi mke wako apate msaidizi, ni mistari gani ambayo mwanamke anaimbishwa mpaka anatowa kibali?
Tafadhali hii siyo thread ya mahubiri, tujikite kwenye mada.
Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli Asprin
Kwahiyo tukubaliane kizazi hiki ni legelege ndio sababu nyumba nyingi sasa hivi zinaongozwa na wanawake.Achana na hili wazo, utawapa waganga faida na utawataftia wanawake dhambi ya kuua,
Tafuta kipotabo kimya kimya, endelea nacho kama hakipo.
Hili ni swali kwa Malegendary na kwa wanawake smart kichwani, hivi imefika hatua mwanaume unaona dhahiri kwa sababu zako binafsi na za msingi mke wako apate msaidizi, ni mistari gani ambayo mwanamke anaimbishwa mpaka anatowa kibali?
Tafadhali hii siyo thread ya mahubiri, tujikite kwenye mada.
Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli Asprin