Swali kwa Malegendary, hivi unapotaka kuoa mke wa pili, mke mkubwa unamuweka sawa vipi?

Swali kwa Malegendary, hivi unapotaka kuoa mke wa pili, mke mkubwa unamuweka sawa vipi?

Hili ni swali kwa Malegendary na kwa wanawake smart kichwani, hivi imefika hatua mwanaume unaona dhahiri kwa sababu zako binafsi na za msingi mke wako apate msaidizi, ni mistari gani ambayo mwanamke anaimbishwa mpaka anatowa kibali?

Tafadhali hii siyo thread ya mahubiri, tujikite kwenye mada.

Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli Asprin
Mpe kadi ya mualiko.
 
Hapo kabla sikuwahi, sasa hivi ndio nimezama hadi maini.
Ni huzuni kwa kweli, niombeeni.
Unanikumbusha binti mmoja wa kinyaturu nlisoma nae wa kuitwa clara, yule dada alikua akipenda anakua kama teja 🤣🤣🤣🤣 yani ni 24/7 akili ipo kwa bf. Love is beautiful.....💕

Am in love with money 😹
 
Huku kwetu Mugumu sijawahi kuona mzee wangu ama jirani yetu anaomba ushauri kwa mambo hayo.

Kinachofanyika ni mzee kujenga nyumba kununua kitanda godoro na vitu vichache harafu anatangaza tukioa na tarehe husika,
 
Hili ni swali kwa Malegendary na kwa wanawake smart kichwani, hivi imefika hatua mwanaume unaona dhahiri kwa sababu zako binafsi na za msingi mke wako apate msaidizi, ni mistari gani ambayo mwanamke anaimbishwa mpaka anatowa kibali?

Tafadhali hii siyo thread ya mahubiri, tujikite kwenye mada.

Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli Asprin[/USER7]
[/QUOTE]

Hili ni swali kwa Malegendary na kwa wanawake smart kichwani, hivi imefika hatua mwanaume unaona dhahiri kwa sababu zako binafsi na za msingi mke wako apate msaidizi, ni mistari gani ambayo mwanamke anaimbishwa mpaka anatowa kibali?

Tafadhali hii siyo thread ya mahubiri, tujikite kwenye mada.

Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli Asprin
Achana na hili wazo, utawapa waganga faida na utawataftia wanawake dhambi ya kuua,
Tafuta kipotabo kimya kimya, endelea nacho kama hakipo.
 
Achana na hili wazo, utawapa waganga faida na utawataftia wanawake dhambi ya kuua,
Tafuta kipotabo kimya kimya, endelea nacho kama hakipo.
Kwahiyo tukubaliane kizazi hiki ni legelege ndio sababu nyumba nyingi sasa hivi zinaongozwa na wanawake.

Hii tabia ya kuwaogopa wanawake mmerithishwa wapi?
 
Hili ni swali kwa Malegendary na kwa wanawake smart kichwani, hivi imefika hatua mwanaume unaona dhahiri kwa sababu zako binafsi na za msingi mke wako apate msaidizi, ni mistari gani ambayo mwanamke anaimbishwa mpaka anatowa kibali?

Tafadhali hii siyo thread ya mahubiri, tujikite kwenye mada.

Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli Asprin
IMG-20240721-WA0003.jpg
 
Back
Top Bottom