Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?


Kwanza tuelewe maana ya Mungu ni kitu chcht ambacho mwanadamu unakitegemea.

Waktristo wote wanamtegemea mungu Yesu.

Mabaniani wanamtegemea Mungu Ng'ombe.

Kuna wanaotegemea Mizimu, miti, jua, mwezi, nyota, siku, mwezi, namba, Pombe, Bangi, maarifa nk.


Iliradi kila MTU anacho anachokitegemea. Na kwamba wanafaidika na kutegemea miungu yao.

lkn kuna Mungu Mwenye Enzi, anaesimamia mambo mengi ikiwemo haki. Na kila anaepigania haki anatekeleza maagizo ya Mungu Mwenye Enzi.

Lkn haki haipiganiwi kwa dua wala maombi, Bali ni kwa kupigana ktk vita. Iwe vita ya moto au vita baridi.

Naombi ni sehemu ya kujifariji
 
Hahahahaha.

Sorry member, your gender please?
 
Uliyeandika hii thread inaonesha hjjui sifa za Mungu (hii ni kwa Mungu au mungu yoyote)...

Mungu au mungu yoyote kicheo ni mkuu kuliko vyote, hivyo mtu anapomuombea mtu mwingine iwe mtu huyo ana haki au hana haki, ni ili huyo Mungu/mungu anayeombwa aoneshe ukuu wake na atukuzwe na huyo asiye na haki (wakristo wanaita mwenye dhambi, mkosefu n.k)...

Mungu yoyote huwa hana mipaka ya kutoa msamaha...
 
Hahahahaha.

Usikurupuke, andika taratibu ueleweke... Hebu pitia upya ulicho andika... Bila shaka umeona uliposahau kumalizia eenhe?? Aya malizia taratibu, hapo kabla ya kuanza aya ya mwisho.. malizia hapo.

ROHO WA MUNGU Anasema unataka ku-justfiy theme ya HAKI.. Lakini njia uliyotumia Anasema SIO SAHIHI.

jitafakari, SPIRITUAL INTELLIGENCE.
 

Hadi naandika hapa ujue nina uhakika, hii ndio principle ya Watu8

Kutokuelewa nilichoandika hakukupi uhalali wa kudhania sipo sahihi...
 
Hadi naandika hapa ujue nina uhakika, hii ndio principle ya Watu8

Kutokuelewa nilichoandika hakukupi uhalali wa kudhania sipo sahihi...
Hahahahaha..

SIJASEMA mimi, ROHO NDIYE ASEMAYE... na HAJASEMA KUWA HAUPO SAHIHI, Amesema njia uliyotumia sio sahihi.

HUJAWAHI AMBIWA UJUMBE WAKO MZURI ILA NJIA ULIYOTUMIA SIO SAHIHI... Nazani unanieelewa watu nane (KWANINI KATIKA HAO WATU NANE KILA MTU ASIWE NA ID YAKE?)

Spiritual Intelligence.
 
Duh! Yaani umeandika mambo deep sijui kama kuna nyumbu ataelewa!
 
Nimejitahidi kuisoma kwa undani hii PUMBA ila nimetoka kapa. Mama Amon umepuyanga. Umewaangusha wana wa Amon
Kama huwezi kuelewa hata fundamental principle of individuation wakati unaitumia kila siku unapohesabu vitu, basi uwezo wako wa kufikiri ni mfupi sana. Waachie wenye uwezo wa kuelewa hoja hii. KIla la heri.
 
Kama huwezi kuelewa hata fundamental principle of individuation wakati unaitumia kila siku unapohesabu vitu, basi uwezo wako wa kufikiri ni mfupi sana. Waachie wenye uwezo wa kuelewa hoja hii. KIla la heri.
Mimi kushindwa kuelewa hiyo fundamental bla bla haiondoi ukweli kwamba hili hapa ni shudu [emoji38]
 
Kama hesabu ulipata "F" usitarajie kuelewa hii fundamental principle of counting. Hesabu ndio jibu la uelelwa hapa. Baki mtazamaji.
Ni kweli hesabu sikufaulu japo sikulamba F kama Mama Amon unavyodhani. Point yangu inabakia pale pale. Huu hapa ni utopolo [emoji23]
 
Ni kweli hesabu sikufaulu japo sikulamba F kama Mama Amon unavyodhani. Point yangu inabakia pale pale. Huu hapa ni utopolo [emoji23]
Hujahakiki hoja ili kuonyesha dosari iliyomo. Kwa hiyo huwezi kutoa hukumu yoyote. Unachofanya ni sawa na debe shinda lisiloacha kutika.

But why do you fail? The reason is simple. There is something you are missing.

We all have been taught counting since we were very young, right? It proceeds like 1, 2, 3, 4, 5 …., which together make the set of natural numbers mathematically.

It enables us to know the difference between us having four apples or five apples and understanding that four apples are one apple short of five apples.

Such physical examples make the process of counting seem intuitive to our mind. But that’s just not the end of the story.

We need a principle that explains why we look at two mangoes which are similar in every sense, and yet say this is one, this is the second. It is the fundamental principle of individuation that guides us.

It says that, wherever there is property difference there is diversity/multiplicity/plurality, and that wherever there is absolute property similarity there is identity/unity/singularity.

Unakwama wapi?
 
Kwanini msitumie utaalamu wa sayansi (ya sheria) kumchomoa Mbowe ktk kesi? Kama hamuamini maombi kupambana na korona na kuamini sayansi (ya tiba) vivo hivyo huku iwe hivyo, consistency mkuu ipo wapi?
Mbona vyote vinafanyika.

Mboww ana jopo la mawakili 19.

Ni kama vile Timu ya Taifa iliyonolewa vizuri kabla ya mechi lazima waanze na wimbo wa Taifa kuiombea na wimbo wa Taifa unamuo.ba Mungu
 
Mambo ya ibada ni mambo ya imani.Hakuna anayejua Mungu yupoje.Ibada ni ibada tu.

Kwa mujibu wa andiko lako ni kuwa yale maombi yanayofanywa na viongozi wa dini kuombea amani au mvua ni batili kitu ambacho ni UWONGO.
 
Mambo ya ibada ni mambo ya imani.Hakuna anayejua Mungu yupoje.Ibada ni ibada tu. Kwa mujibu wa andiko lako ni kuwa yale maombi yanayofanywa na viongozi wa dini kuombea amani au mvua ni batili kitu ambacho ni UWONGO.
Unajaribu kujenga hoja gani hapa?
Naomba ufafanuzi ili twende pamoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…