Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Hili ni suala la Imani.
Unaongelea imani? Imani inatosha bila uelewa? Imani inatosha bila uthibitisho? Maarifa je? Knowledge is justified true belief. Kuna mambo matatu hapa: Justification, truth, and belief. Kwa hiyo, imani ni theluthi moja ya kitu kizima kinachoitwa maarifa. Kwa nini unazikimbia theluthi mbili baki? This is disinformation by omission, which amounts to the denigration of human dignity. Acha!
 
Hujakumbuka tangu akiapishwa na kila alipohimiza kuombewa.
1. Kuomba, maombi, maombezi, sala, na maneno kama hayo maana yake ni tamko A la msemaji B kwenda kwa msikilizaji C kusudi huyo C afanye kitendo D.

2. Maombi ya kutaka kitendo D kifanywe na Msikilizaji C yatakuwa na maana kama huyo Msikilizaji C yupo na anaweza kufanya kitendo hicho.

3. Kumwomba Mungu C au kumwombea mtu fulani kwa Mungu C ni kufanya tamko A kwenda kwa Mungu C kusudi huyo Mungu C afanye kitendo D.

Swali langu:

JPM alipohimiza kuombewa alitaka aombewe kwa Mungu yupi, alitaka Mungu huyo afanye kitendo gani, na Mungu huyo anaweza kufanya kitendo hicho?

Kabla ya kujibu soma hapa: Causation and the Logical Impossibility of a Divine Cause

Kila la heri!
 
NDANI YAKO UNA NGUVU ZA KIPEPO, UNATUMIWA NA miungu wewe uliyeleta hii post.

Mungu Akurehemu, upate kutambua DINI SIO MUNGU.. Dini hata ziwe hazina idadi, MUNGU ATABAKI KUWA MMOJA, MTAKATIFU NA MKUU SANA.
 
HIli ni tamko linalohitaji ushahidi wa kulitetea kwa hoja.
Jaribu tuone kama utafanikiwa.
Tafuta sifa za MUNGU ALIYEKUUMBA, FANANISHA NA SIFA ZA MUNGU ALIYE MUUMBA MAMA YAKO, ALIYEMUUMBA ASKOFU GWAJIMA NA MUNGU ALIYEMUUMBA ASKOFU SHOO, NA MUNGU ALIYEMUUMBA MUFTI WA DSM... alafu njoo uniambie kama kuna tofauti umeiona achilia mbali tofauti za kidini.

Nenda kwa kiongozi wako wa dini mwambie akuombee... PEPO LA UDINI LILILO KAMATA FIKRA ZAKO LIKUTOKE.
 
Tafuta sifa za MUNGU ALIYEKUUMBA, FANANISHA NA SIFA ZA MUNGU ALIYE MUUMBA MAMA YAKO, ALIYEMUUMBA ASKOFU GWAJIMA NA MUNGU ALIYEMUUMBA ASKOFU SHOO, NA MUNGU ALIYEMUUMBA MUFTI WA DSM... alafu njoo uniambie kama kuna tofauti umeiona achilia mbali tofauti za kidini.

Nenda kwa kiongozi wako wa dini mwambie akuombee... PEPO LA UDINI LILILO KAMATA FIKRA ZAKO LIKUTOKE.
Mungu aliyeniumba mimi ananiruhusu kula kitimoto.
Aliyemuumba Mufti anakataza kitimoto.
Hapo vipi?
 
Mungu aliyeniumba mimi ananiruhusu kula kitimoto.
Aliyemuumba Mufti anakataza kitimoto.
Hapo vipi?
Hahahaha, nimekuambia una pepo la dini mama amon..

Fuata maagizo yaliyopo kwenye NENO LA MUNGU, usifuate MAAGIZO YA DINI (Ambayo yanalipinga NENO LA MUNGU).

Mungu Mwenyewe alitoa maagizo juu vyakula, wanyama kwa ndege, vilivyopo juu angani na viendavyo baharini.
 
Fuata maagizo yaliyopo kwenye NENO LA MUNGU, usifuate MAAGIZO YA DINI (Ambayo yanalipinga NENO LA MUNGU).
Neno la Mungu kutoka Kitabu gani?
Biblia, Kurani, Kitabu Ikani, au wapi?
Vyote hivi vinapingana hapa na pale.
KItabu kipi ni neno la kweli?

Soma hapa: The argument from inconsistent revelations is an argument that aims to show that one cannot choose one religion over another since their revelations are inconsistent with each other and that any two religions cannot be true.
 
Neno la Mungu kutoka Kitabu gani?
Biblia, Kurani, Kitabu Ikani, au wapi?
Vyote hivi vinapingana hapa na pale.
KItabu kipi ni neno la kweli?

Soma hapa: The argument from inconsistent revelations is an argument that aims to show that one cannot choose one religion over another since their revelations are inconsistent with each other and that any two religions cannot be true.
Duh! Yani bado uko na RELIGION MINDSET.

Okay, kisikusumbue kitu, MAOMBI AMBAYO MBOWE KAFANYIWA (Bila kujali yametoka kwa Mke wake, Kwa Mkwe wake, Kwa Maalim Ponda, au Kwa askofu Shoo) MAOMBI HAYO YAMEENDA MOJA KWA MOJA MADHABAUNI PA BWANA, Na uwe na HAKIKA MBOWE IS SPIRITUALLY FREE, THIS WILL BE REVEALED PHYSICALLY VERY SOON.

Natamani nifanye Maombi kwaajili yako ili Mungu akufungue toka kwenye hili pepo la dini, btw unaijua Gentamicin?
 
Na uwe na HAKIKA MBOWE IS SPIRITUALLY FREE, THIS WILL BE REVEALED PHYSICALLY VERY SOON. Natamani nifanye Maombi kwaajili yako ili Mungu akufungue toka kwenye hili pepo la dini, btw unaijua Gentamicin?
You sound critically brainwashed!
 
You sound critically brainwashed!
Hilo ndio tatizo pekee la wapenda dini zaidi ya kumpenda Mungu...

Dini sana bila maarifa ya Mungu ndani yako matokeo yake ndio hayo mama amon..

Mtafute Mungu kwanza, atakuundisha taratibu zake.. Hasira, Ubishi, na Ujuajibni misingi ya pepo wa dini, usije ukazani kwenda kwenye hilo jengo la dini yako ndio kumjua Mungu, HAPANA... Unaweza ukawa unaenda kila siku na bado ukawa demon possessed.

Mbowe is spiritually free, wait and see he will be released, quote this.

Im asking you again.. do you know Gentamicin 🤣?

Spiritual Intelligence.
 
Wewe sasa una mvi.
Umemtafuta Mungu tabgu utoto.
Hujawahi kumwona Mungu.
Bado unanishauri kumtafuta Mungu.
Crazy!
Hahahaha, unaona sasa...

Mambo ya Mungu ni ya rohoni, nikikuambia umtafute Mungu wewe unategemea utamuona kwa macho ya nyama/physically?? Toka kuumbwa kwa ulimwengu unafahamu wangapi wamemuona Mungu physically? MAMBO YA MUNGU NI YA ROHONI ... Dini nyingi ni za mwilini.

Unaijua Gentamicin mama amon?
 
Mambo ya Mungu ni ya rohoni, nikikuambia umtafute Mungu wewe unategemea utamuona kwa macho ya nyama/physically?
Macho ya nyama ni matano: jicho, sikio, ulimi, pua, ngozi.
Rohoni ni wapi, na macho ya rohoni ni mangapi?
Kama jicho la kiroho maana yake ni jicho la kimantiki, kwa nini hutaki kutumia mantiki katika maongezi haya?
Return back to sanity.
 
Rohoni ni wapi?
Hahahahaha, sehemu ya kufanya ibada na kuongea na Mungu..

Au uliza hizi ID's.. scars, plan paris, luckdube.. Hahahaha. (Zilikuwa na swali kama lako, nikawajibu vya kutosha).

Inj X 80mg Once daily for 10/7.

Spiritual Intelligence.
 
Hahahahaha, sehemu ya kufanya ibada na kuongea na Mungu..
Tangential response.
Apart from physical sensory organs, we have the sixth sensory organ, which is the logical sense, aka spiritual sense. The latter applies logical principles. You don't use them, yet you invoke the spiritual sensory organ like a parrot!
 
Tangential response.
Apart from physical sensory organs, we have the sixth sensory organ, which is the logical sense, aka spiritual sense. The latter applies logical principles. You don't use them, yet you invoke the spiritual sensory organ like a parrot!
Hahahahaha.. I KNEW.

Mithali 26:5
"Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake;
Asije akawa mwenye hekima machoni pake."

KWA KINYARWANDA..
"Answer a fool according to his folly, lest he be wise in his own conceit."

Kwangu ukija kimwili, nakulipua kimwili.. ukija kiroho nakumaliza kiroho.. na hata ukija kifedhuli Mungu amenipa kibali cha kukupasua kifedhuli ili KUOKOA WATU WAKE.

mama amon do you know Gentamicin?

Spiritual Uplifted and Intelligent I'm.
 
Back
Top Bottom