Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Wewe sasa una mvi.
Umemtafuta Mungu tabgu utoto.
Hujawahi kumwona Mungu.
Bado unanishauri kumtafuta Mungu.
Crazy!

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Agnostic au Atheist, nakuambia kama huwa unaenda kanisani basi ni kama kutimiza wajibu tu na kushiriki na jamii, ila wewe u dont believe in God.
 
Now I have understood you Mama Amon.
You are an atheist.I can not argue with you.

I am a catholic.I pray when I face challenges in life.Prayers give me hope and resilience.

You as an atheist , What gives you strength when you have troubles??

Biiingo, huyu mama haamini katika Mungu, vitabu vya falsafa anayosoma vimemfanya ahoji uwepo wa Mungu, na kadiri anapokosa majibu ndipo anazidi kuwa mbali na Mungu.
 
Vipi kuhusu "mungu" bikira maria mnaemuomba awasamehe madhambi??
Tafiti kabla ya kuandika.
Wakatoliki wanaomna, wanaombewa na wanaomba kuombewa.
Wanaabudu wanaheshimu.
Bikira maria wanamheshimu na wanamwomba awaombee kwa Mungu kwa yeye ni Mama wa Mungu.
So, reframe your question... and I shall respond
 
Macho ya nyama ni matano: jicho, sikio, ulimi, pua, ngozi.
Rohoni ni wapi, na macho ya rohoni ni mangapi?
Kama jicho la kiroho maana yake ni jicho la kimantiki, kwa nini hutaki kutumia mantiki katika maongezi haya?
Return back to sanity.
Hahahahah...

And you came to correct your common question "Rohoni ni wapi?" Naona baada ya Roho kukutetemesha ukaja kuandika kwa upyaaaa..

Sikia wewe, wacha ubabaifu HUWEZI KUJENGA HOJA ZAKO ZA KIMANTIKIA JUU YA MUUMBA INGALI HIYO MANTIKI YATOKA KWA ALIYEKUUMBA

Je, Unaamini kuwa Mungu ndiye kakuumba?
 
Tafiti kabla ya kuandika.
Wakatoliki wanaomna, wanaombewa na wanaomba kuombewa.
Wanaabudu wanaheshimu.
Bikira maria wanamheshimu na wanamwomba awaombee kwa Mungu kwa yeye ni Mama wa Mungu.
So, reframe your question... and I shall respond

Naomba reference ya kwenye Biblia inayoonesha kuruhusu Bikira maria mnamuomba awaombee kwa Mungu..!! Nasubiri huo mstari.
 
Naomba reference ya kwenye Biblia inayoonesha kuruhusu Bikira maria mnamuomba awaombee kwa Mungu..!! Nasubiri huo mstari.

Unachoomba ni authority from scriptures pekee.
Kuna authority zaidi ya Biblia.
Umesahau kanuni ya REST.
Yaani: Reason, Experience, Scripture, Tradition (REST).
Wakatoliki wanatumia REST.

Soma zaidi hapa: Wesleyan Quadrilateral
 
Biiingo, huyu mama haamini katika Mungu, vitabu vya falsafa anayosoma vimemfanya ahoji uwepo wa Mungu, na kadiri anapokosa majibu ndipo anazidi kuwa mbali na Mungu.
Kuhoji uwepo wa Mungu ni tatizo kwako?

Labda umesahau.

BInadamu ni mnyama anayepambanuliwa na sifa kuu tano zifuatazo: (1) kuona, (2) kuhoji, (3) kuhukumu, (4) kutenda, na (5) kupima matokeo.

Kwa hiyo, kuhoji "uwepo wa Mungu mahali na wakati fulani" ni suala ambalo limo ndani ya mamlaka yake, na ni suala lenye afya.

Tatizo unatumia vishazi ambavyo vimemeguka.

Maneno "uwepo wa Mungu" hayana maana yoyote mpaka hapo unapoyakamilisha kwa kusema "uwepo wa Mungu mahali na wakati fulani".

Mfano rahisi: maneno "uwepo wa nyoka" hayana maana yoyote mpaka yakamilishwe kwa kusema "uwepo wa nyoka mahali na wakati fulani".

Katika metafizikia tunasema kuwa, "as opposed to essensce, existence is predicated on spatial and temporal coordinates."

Jumapili njema!
 
Je, Unaamini kuwa Mungu ndiye kakuumba?
Niliumbwa na wazazi wangu, wazazi waliumbwa na mababu na mabibi, na mnyororo unaendelea kinyume nyume hadi huko mbali kwenye hatua ya kwanza ambako inaaminika kulikuwa na chanzo kisicho na mwanzo, kisababishi kisicho na kisababishi.

Chanzo cha kwanza ndiyo kitu ambacho baadhi ya watu hukiita Mungu. WEngine wanapinga, na mjadala unaendelea hadi leo na haujafungwa.

Usinijadili mimi mleta hoja, jielekeze kwenye hoja.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Agnostic au Atheist, nakuambia kama huwa unaenda kanisani basi ni kama kutimiza wajibu tu na kushiriki na jamii, ila wewe u dont believe in God.
Argumentum ad hominem!
 
That's exactly my point, mleta mada ana matatizo ya kiakili.
Wewe unayeshindwa kuelewa na kutumia the fundamental principle of individuation ndiye mwenye matatizo ya kiakili. Period!
 
Argumentum ad hominem again!
 
Hahahaha..

We unajuvua nguo hadharani bwana.. nikukumbishe kitu? Jana ulisema MUNGU WAKO AMEKURUHUSU ULE KITIMOTO (naomba ushahidi thabiti katika hili..!)

Leo nipo free... You have my time.
 
Mungu aliyeniumba mimi ananiruhusu kula kitimoto.
Aliyemuumba Mufti anakataza kitimoto.
Hapo vipi?
Nipe ushahidi wa Mungu aliyekuumba kukuruhusu ule kitimoto...
Na...
JE MUNGU ALIYEKUUMBA WEWE NDO WAZAZI WAKO KAMA ULIVYOSEMA HAPO JUU?

Una balaa ya ki-ANTIBIOTIC..

Do you know Gentamicin?
 
JE MUNGU ALIYEKUUMBA WEWE NDO WAZAZI WAKO KAMA ULIVYOSEMA HAPO JUU?
Ukitaka twende pamoja, tuliza akili. Uliza maswali yenye usanifu.
Hili swali halina umakini wowote. Sijasema "Mungu aliyeniumba ni wazazi". Nimesema "walioniumba ni wazazi".

Kuumba ni kukipa kitu umbo. Baba alizalisha spematoza, mama akzalisha ovamu, kisha wazazi walitiana, spematoza ya baba ikasafiri kutoka kwenye mrija wa ngono hadi kwenye mrija wa falopia na kukutana na ovamu, urutubisho ukatokea, mimba ikashika kwenye tumbo la uzazi, mimba ikatunzwa humo kwa miezi 9, kisha nikazaliwa, wazazi wakanipa chakula, wakanilaza, wakanivalisha, wakanisomesha, hadi nikawa hivi nilivyo. Wameniumba. Simple.

Halafu mtu anakuja na kusema "aliyekuumba ni Mungu" Kivipi? Wengine eti alishirikiana na wazazi. Kivipi? Nakataa yote mawili mpaka hapo ushahidi utakapowekwa mezani. Mjadala uendelee
 
Do you know Gentamicin?
Hili swali nimelipuuza mara zote ulipoliuliza. It is intended to be used analogically by you. Proceed as you wish. I don't have to invest my time doing your work... Hata kama sijui, nitatafiti na kujua, then nitakujibu.
 
Ukiwekeza nafsi yako kwenye 'Dini' badala ya kuwekeza kwa 'Yesu Kristo' nachelea kusema utapata 'kizunguzungu'.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…