Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Mungu aliyeniumba mimi ananiruhusu kula kitimoto.

Niliumbwa na wazazi wangu,
Sijasema "Mungu aliyeniumba ni wazazi". Nimesema "walioniumba ni wazazi".

Halafu mtu anakuja na kusema "aliyekuumba ni Mungu" Never!

Can you be smarter?
Hahahaha, soma mabandiko yako kwa umakini... Kisha jipige kifuani mara saba na ya nane sema MIMI NI MJINGA KIWANGO CHA LAMI... NAJIUMBUA.

Juu kabisa umesema..
1."Mungu aliyeniumba.."

Baadae ukasema...
2."Niliumbwa na wazazi wangu..."

SWALI, mpaka hapo ni NANI KAKUUMBA? Mungu au Wazazi?

Leo uta-reveal your identity my dear friend mama amon.
 
Kimtiacho mtu unajisi ni kitu kutoka ndani na sio kitu kutoka nje ya mwili! Umesahau enjili?
Well..

Kwahiyo unamaanisha Mungu aliyetoa maagizo kupitia INJILI ndiye Mungu wako..?

Lakini HAJAKUUMBA YEYE Bali WAMEKUUMBA WAZAZI WAKO?

Au sijakuelewa? Who is your Creator... The Almighty God or Your Parents?

Tukipata jibu hapa basi jibu la mada yako limepatikana, VERY SIMPLE... (Zingatia majibu yaendane na mada yako mwenyewe)
 
Hahahaha, soma mabandiko yako kwa umakini... Kisha jipige kifuani mara saba na ya nane sema MIMI NI MJINGA KIWANGO CHA LAMI... NAJIUMBUA.

Juu kabisa umesema..
1."Mungu aliyeniumba.."

Baadae ukasema...
2."Niliumbwa na wazazi wangu..."

SWALI, mpaka hapo ni NANI KAKUUMBA? Mungu au Wazazi?

Leo uta-reveal your identity my dear friend mama amon.
Bado naona unadondosha maneno kama roboti.

Kuumba ni kitendo.

Kitendo ni sababu inayoleta matokeo.

Sababu na matokeo vinaweza kuungana uso kwa uso, mfano, "Wazazi wameniumba"

Katika sayansi ya sababu na matokeo (etiology) tunasema hivi:

A token event c caused a token event e iff there are event types C, E such that: (a) c is of type C; (b) e is of type E; (c) event type C causes event type E.

Pia, Sababu na matokeo vinaweza kuunganakupitia mnyororo wa matukio yaliyo katikati yake. Mfano, "Mungu ameniumba kupitia kwa matendo ya wazazi"

Katika sayansi ya sababu na matokeo (etiology) tunasema hivi:

A token event c caused a token event e if and only if c and e are connected by a series of intersecting causal processes whose intersections constitute causal interactions.

Easy!

Unakwama wapi?

Acha kukariri!
 
Well..

Kwahiyo unamaanisha Mungu aliyetoa maagizo kupitia INJILI ndiye Mungu wako..?

Lakini HAJAKUUMBA YEYE Bali WAMEKUUMBA WAZAZI WAKO?

Au sijakuelewa? Who is your Creator... The Almighty God or Your Parents?

Tukipata jibu hapa basi jibu la mada yako limepatikana, VERY SIMPLE... (Zingatia majibu yaendane na mada yako mwenyewe)
Rejea bandiko na. 326 hapo juu kwa jawabu
 
Bado naona unadondosha maneno kama roboti.

Kuumba ni kitendo.

Kitendo ni sababu inayoleta matokeo.

Sababu na matokeo vinaweza kuungana uso kwa uso, mfano, "Wazazi wameniumba"

Katika sayansi ya sababu na matokeo (etilogy) tunasema hivi:

A token event c caused a token event e iff there are event types C, E such that: (a) c is of type C; (b) e is of type E; (c) event type C causes event type E.

Pia, Sababu na matokeo vinaweza kuunganakupitia mnyororo wa matukio yaliyo katikati yake. Mfano, "Mungu ameniumba kupitia kwa matendo ya wazazi"

Katika sayansi ya sababu na matokeo (etilogy) tunasema hivi:

A token event c caused a token event e if and only if c and e are connected by a series of intersecting causal processes whose intersections constitute causal interactions.

Easy!

Unakwama wapi?

Acha kukariri!
Hahahahaha, HUWEZI KUKWEPA... Nilikuambia, ukija kimwili nakulipua kimwili, ukija kiroho nakumaliza kiroho na ukija kifedhuli Mungu amenipa kibali cha kukupasua kifedhuli...

Simply, KULINGANA NA MUNGU WAKO WA "enjili" (Kama ulivyoandika pale juu)... ALIYEKUUMBA NI YEYE (MUNGU wa enjili) AU WAZAZI WAKO?

Nakuruhusu pia ujibu kwa mafundisho ya dini yako...
 
KUna tofauti gani kati ya dini na Yesu?
Kimsingi hoja zako na swali lako kwangu vyote ni vya msingi.Tofauti ipo tena kubwa sana.Dini ni mifumo ya kuabudu au Ibada ambayo imebuniwa au kutungwa na wanadamu kwa maslahi yao binafsi ambapo yaweza kuwa ili kujipatia umaarufu rahisi au mapato ya aibu au kupenyeza Ideologies kadha wa kadha kwenye fikra za watu ambapo hata wanachokiabudu wakati mwingine hakijulikani au kinakuwa na chenyewe kimeshabuniwa ili kukidhi hitaji hilo la kuabudu(kimsingi hapawezi kuwa na Ibada bila kuwepo kinachoabudiwa).Hizo ulizoorodhesha hapo juu ambazo kimsingi zinakinzana kama ulivyoainisha ni miongoni mwa mifano michache kati ya dini(mifumo ya Ibada zilizotungwa na watu) lukuki zilizopo hapa duniani.Humo ukikuta kuna Biblia,Yesu au Mungu kimsingi huwekwa na kutumika kama geresha tu ili kuwahadaa na kuvutia 'wateja' lakini agenda za waasisi wa hizo Dini hazina mahusiano yoyote na Mungu/Yesu Kristo wakati Ukristo ni mfumo wa maisha ya kumfuata Kristo Yesu kupitia mafundisho na amri zake ambaye kimsingi yeye ni Mungu kamili aliyedhihirika kwetu kwa mwili wa kibinadamu ili kutimiza azma yake ya kutuokoa kutokana na kongwa la utumwa wa dhambi lakini zaidi sana kutufundisha kwa vitendo namna itupasayo kuyaishi mapenzi ya Mungu tukiwa hapa duniani.Nilipoamua kumpokea Yesu personally ndipo miongoni mwa mambo mengi aliyonifundisha mojawapo ni tofauti kati ya Dini na Ukristo.Hii ni baada ya kumuomba aniondolee utata kuhusu hii kitu inaitwa "Madhehebu ya Kikristo" maana kiukweli nilikuwa nakanganyikiwa haswa.Unakuta dhehebu hili wanakula kitimoto wale hawali.Hawa wanabatizana kwa maji machache wale maji mengi.Hawa kusali jumamosi wale jumapili.Ni full vurugu.Ingawa bado natafakari dhumuni lako kuu la Uzi wako.
 
Hahahahaha, HUWEZI KUKWEPA... Nilikuambia, ukija kimwili nakulipua kimwili, ukija kiroho nakumaliza kiroho na ukija kifedhuli Mungu amenipa kibali cha kukupasua kifedhuli...

Simply, KULINGANA NA MUNGU WAKO WA "enjili" (Kama ulivyoandika pale juu)... ALIYEKUUMBA NI YEYE (MUNGU wa enjili) AU WAZAZI WAKO?

Nakuruhusu pia ujibu kwa mafundisho ya dini yako...

Katika sayansi ya sababu na matokeo (etiology) tunasema hivi:

A token event c caused a token event e iff there are event types C, E such that: (a) c is of type C; (b) e is of type E; (c) event type C causes event type E. (regularity based definition of a cause)

Baba akitiana na mama nikazaliwa, fasili hii ya kietiolojia inahusika.

Pia, katika sayansi ya sababu na matokeo (etiology) tunasema hivi:

A token event c caused a token event e if and only if c and e are connected by a series of intersecting causal processes whose intersections constitute causal interactions. (process based definiion of a cause)

Baba akitiana na mama nikazaliwa, halafu tukata kueleza nafasi ya Mungu katika tukio la kuzaliwa kwangu, fasili hii ya kietiolojia inahusika.

Hapa nakupa nondo za metaphysics of causality.
Kaa mkao wa kuchukua notes.
 
View attachment 1897959
Rodrick Lutembeka, mmoja wa viongozi wa Baraza la Wazee Chadema

Tangu Freeman Mbowe alipokamatawa na kufunguliwa mashtaka yanayohusiana na ugaidi, viongozi wa Chadema Mwanza, Morogoro na Dar es Salaam wamekuwa wanahamasisha maombi katika makanisa mbalimbali, bila kujali Mbowe anamwamini Mungu yupi.

Kuna wanaopeleka matoleo kwenye parokia za Kanisa Katoliki. Wengine wanapepeleka makanisa ya KKKT. Na baadhi wanasali novena barabarani.

Kama mambo haya yangefanyika kabla ya Matengenezo ya Kiprotestanti (Reformation) yaliyoendeshwa na Martin Luther wa Ujerumani, yangeweza kuingia akilini. Wakati huo Kanisa la Kikristo lilikuwa moja. Lakini hali sio hivyo leo. Ukweli wa leo ukom hivi:

  1. Kwa mujibu wa kanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika kwa kutumia vigezo vya lazima na vyenye kutosheleza utambulisho wa kitu katika upekee wake, kila mahali penye utofauti katika idadi ya sifa za utambulisho wa vitu vilivyo mbele ya mtazamaji kutakuwa na vitu vingi, na kila mahali pasipo na tofauti katika idadi ya sifa za utambulisho wa vitu vilivyo mbele ya mtazamaji kutakuwa na kitu kimoja.
  2. Kuna utofauti katika idadi ya sifa za utambulisho wa Mungu wa Wakatoliki, Mungu wa Walutheri, Mungu wa Waislamu, MUngu wa Wasabato, na kila muungu baki.
  3. Kwa hiyo, Mungu wa Wakatoliki, Mungu wa Walutheri, Mungu wa Waislamu, MUngu wa Wasabato, na kila muungu baki, ni Mungu tofauti, na uwepo wa kila Mungu aliyetajwa unakubaliwa kwa vitendo na wafuasi wa Mungu huyo na kukanwa kwa vitendo na watu wasio wafuasi wa Mungu huyo.
That is:
  1. According to the principle of necessary and sufficient conditions for the individuality of an entity, wherever there is property difference between two entities there is numeric diversity and that wherever there is absolute property similarity between two entities there is numerical identity.
  2. There are property differences between Catholic God, Lutheran God, Islamic God, SDA God , etc
  3. Thus, Catholic God, Lutheran God, Islamic God, SDA God, and so on, are distinct Gods, where the existence of each God is practically asserted by its followers and practically denied by its non-followers.
Accordingly:
  • For a catholic X, a Lutheran God is not.
  • A believer in the non-existence of a given God is called an atheist.
  • Thus, with respect to a Lutheran God, X is an atheist.
Again:
  • For a Lutheran Y, a Catholic God is not.
  • A believer in the non-existence of a given God is called an atheist.
  • Thus, with respect to a catholic God, Y is an atheist.
In effect:
  • We may pray for atheists so that they may be converted from unbelief status to belief status and not otherwise.
  • For these reasons, all Lutherans including Mbowe are atheists with respect to Catholic God.
  • And all Catholics, including Pope Francis, are atheists with respect to Lutheran God.
Finally:
  • The god of the Old Testament whose third person is disincarnated is not identical with the god of the New Testament whose third person is incarnated ;
  • A contraceptophobic god of the Catholic Church is not identical with a contraceptophilic god of the Lutheran Church;
  • A god whose third person comes from the father and the son, as taught by the Western Christian Churches, is not identical with a god whose third person comes from the father alone as taught by the Eastern Christian Churches.
  • A god who prefers to be worshipped on Sunday is not identical with a god who prefers to be worshipped on Saturday;
  • A god who prefers to be worshipped in Friday is not identical with a god who prefers to be worshipped in another day;
  • A god who prohibits his followers to eat pork is not identical with a god who allows his followers to eat pork;
This is what the elementary metaphysical principle of individuation, properly understood, teaches us.

Sasa swali kuu na majibu yangu

Kwa hiyo basi, ninawaalika Viongozi wa Chadema kujiuliza na kujibu swali lifuatalo: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Kwa kuzingatia matakwa yakanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika kwa kutumia vigezo vya lazima na vyenye kutosheleza utambulisho wa kitu katika upekee wake, kama ilivyofafanuliwa hapo juu, binafsi napendekeza yafuatayo:
  • Kwamba, Mungu wa KKKT anayeabudiwa na Mbowe ni tofauti na Mungu wa Wakatoliki anayeabudiwa na wafuasi wa Mbowe ambao ni Wakatoliki;
  • Kwamba, Mbowe amekuwa anamkana kwa mawazo, kwa maneno na kwa vitendo Mungu wa Wakatoliki.
  • Na kwamba, kwa sababu hiyo, Mbowe hana haki ya kuombewa na wafuasi wake kupitia kwa Mungu asiyemwamini.
Mbowe hamtambui Mungu wa Wakatoliki tangu siku alipobatizwa chini ya madhehebu ya KKKT, na hadi leo hajatwambia kama amemkana Mungu wa KKKT na kumkubali Mungu wa Wakatoliki.

Kwa hiyo, Mungu wa Wakatoliki hawezi kusikiliza wala kupokea matoleo yanayopelekwa ndani ya Kanisa Katoliki kwa ajili ya kumwomba Mungu wa Wakatoliki amtetee Mbowe, mpaka hapo Mbowe atakapomkiri kwamba yeye pekee ndiye Mungu wa kweli.

Hivyo, viongozi wa Chadema wanapaswa kuacha maigizo kama yale ya "mitano kwanza" na "mitano tena" tuliyoshuhudia mwaka jana.

Vinginevyo watayafikisha makanisa mahali ambapo kanisa lile lile moja linapokea matoleo ya kuomba mbowe atiwe hatiani na kuyabariki leo; halafu kesho yake, kanisa hilo hilo linapokea matoleo ya kuomba mbowe asitiwe hatiani na kuyabariki.

Dini zitadhalilika sana kwa njia hii.

Nijuavyo mimi, ukweli ni kwamba: Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe asitiwe hatiani ni Miungu wawili tofauti!

Lakini, tunafundishwa kuwa Mungu wa kweli habadiliki wala kubadilisha mawazo yake.

Kwa hiyo, mmojawapo kati ya miungu hawa wawili atakuwa ni Mungu feki, yaani Mungu wa kuchonga (constructed God), wakati mwingine ni Mungu wa kweli (essential God).

Kanuni nne za kuongoza mjadala:

Kusudi, viongozi wa Chadema waweze kuelewa msingi wa swali langu hapo juu na kulitendea haki, hapa chini nafafanua kanuni NNE zinazopaswa kuongoza mjadala huu. Kanuni hizo ni:
  • kanuni ya kutambua kitu kimoja chenye majina tofauti (principle of identity),
  • kanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika (principle of difference), na
  • kanuni ya kutengeneza fasili zinazotaja sifa za lazima na zenye kutosheleza utambulisho wa kitu.
  • kanuni ya sifa za lazima katika utambulisho wa kitu (principle of necessity)
  • Kanuni ya sifa zenye kutosheleza utambulisho wa kitu (principle of sufficiency).
Kanuni ya kutambua kitu kimoja chenye majina tofauti

Mosi, ni kanuni ya kutambua kitu kimoja chenye majina tofauti, yaani the principle of the Identity of indescernibles.

Kwa mujibu wa kanuni hii, kunapokuwa na majina mawili yanayorejea kitu kimoja kile kile, hiyo maana yake ni kwamba, kila sifa iliyofungamana na kitu chenye jina la kwanza pia imefungamana na kitu chenye jina la pili, na kinyume chake ni kweli.

Yaani, kwa kila jozi ya vitu, kimoja kikiwa na jina X na na kingine kikiwa jina Y, jina X litakuwa linamaanisha kitu kile kile kitu kinachorejewa na jina Y, endapo na endapo tu:

Kwa pamoja, sentensi kwamba:

(1) kila sifa iliyofungamana na kitu X pia imefungamana na kitu Y;

na sentensi kwamba:

(2) kila sifa iliyofungamana na kitu Y pia imefungamana na kitu X.

ni za kweli.

Kwa mfano,
  • Julius ni jina linalorejea mtu yule yule anayeitwa Nyerere. Yaani, Julius na Nyerere ni majina ya kitu kimoja.
  • Na, DOG ni jina linalorejea kitu kile kile kinachoitwa MBWA. Yaani, DOG na MBWA ni majina ya kitu kimoja.
Kanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika

Pili, ni kanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika, yaani the principle of dissimilarity of the diverse.

Kwa mujibu wa kanuni hii, kunapokuwa na majina mawili yanayorejea vitu tofauti kwa mujibu wa utaratibu wa kuhesabu, basi, hiyo maana yake ni kwamba, sio kila sifa iliyofungamana na kitu chenye jina la kwanza pia imefungamana na kitu chenye jina la pili, na kinyume chake ni kweli.

Yaani, kwa kila jozi ya vitu, kimoja kikiwa na jina X na na kingine kikiwa jina Y, jina X litakuwa linamaanisha kitu tofauti na kile kitu kinachorejewa na jina Y, endapo na endapo tu:

Ama:

(1) katika seti ya sifa za kitu X angalau kuna sifa moja P, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu Y,

Au:

(2) katika seti ya sifa za kitu Y angalau kuna sifa moja Q, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu X.

Kwa mfano:
  • Mipira miwili ya tufe, iliyowekwa mezani, na ambayo inafanana kwa kila kitu, bado tunaitambua kuwa ni mipira miwili tofauti kwa kuwa, kila mpira unayo anwani yake ya kijiografia. Hata watoto mapacha sisisi tunawatofautisha kwa njia hiyo.
  • Vivyo hivyo, Miungu inayependa kuabudiwa Ijumaa (Miungu ya Waislamu) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Kadhalika, Miungu inayependa kuabudiwa Jumamosi (Miungu ya Wasabato) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo bado) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Aidha, Miungu inayoruhusu waamini kutumia kondomu (Miungu ya Waanglikana) na Miungu inayokataza kondomu (Miungu ya Wakatoliki) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Vile vile, Miungu inayokataza makuhani kuoa (Miungu ya Wakatoliki) na Miungu inayoruhusu makuhani kuoa (Miungu ya Waanglikana na Walutheri) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe asitiwe hatiani ni Miungu wawili tofauti!
  • Na mifano inaendelea kama inavyothibitishwa na utitiri wa usajili wa taasisis za kidini katika ofisi ya Wizara ya Mambo ya Ndani.
Kanuni ya kutengeneza fasili zinazotaja sifa za lazima na zenye kutosheleza utambulisho wa kitu

Na tatu, ni kanuni ya kutengeneza fasili zinazotaja sifa za lazima na zenye kutosheleza utambulisho wa kitu. Yaani necessary and sufficient definitions.

Ukitaka kukitambulisha kitu kama vile kitu chenye umbo mraba, kwa namna ambayo inatofautisha umbo mraba na vitu baki, lazima kutaja vigezo vinavyomwezesha msikilizaji kufanya mambo mawili.

Mosi, ni kutambua mraba ni kitu gani. Na pili ni kutambua mraba sio kitu gani.

Kazi hizi mbili zinafanyika kwa njia ya kutaja vigezo ambavyo ni vya lazima na vyenye kutosheleza utambulisho wa kitu kinachoongelewa.

Kuhusu vigezo vya lazima, tuchukue mfano wa fasili ya kitu chenye umbe la mraba. Ni lazima kila mraba uwe na pande nne.

Lakini, sifa hii haitoshi kuutofautisha mraba na maumbo baki kama vile mstatili ambayo pia yanazo pande nne.

Na kwa upande mwingine, kuna vigezo ambavyo vinatosheleza kukitambulisha kitu, lakini sio vya lazima kwa ajili ya utambulisho huo.

Mfano, katika mazingira ya shule mwanafunzi anayepata alama ya A anapasi kozi.

Lakini, alama ya A sio alama ya lazima ili kumfanya wanafunzi huyo apasi kozi. Anaweza kupasi kwa kupata alama ya B, C au hata alama D.

Hivyo, kupata alama ya A ni kigezo cha lazima katika kupasi kozi, lakini sio kigezo kinachotosheleza matakawa ya kumpa mwanafunzi sifa ya kuhesabiwa amepasi mtihani, kwani hata wale wanaopata B, C na D hupasi pia.

Kwa sababu hii, kwa ajili ya kueleza mraba ni kitu gani na sio kitu gani kwa mpigo, tunahitaji mambo mawili:

(1) kutaja kigezo kimoja kimoja ambacho ni lazima kihusike katika kutambulisha mraba.

Na (2) kutaja seti ya vigezo vyote ambavyo kwa pamoja vitatosheleza kutofautisha mraba na maumbo baki yenye pande nne.

Kwa hakika, kila mraba lazima uwe na sifa zifuatazo kwa mpigo: pande nne, pande zilizo nyooka, pande zinazolingana, pande zilizoungana katika ncha zake, pale zilizo katika ubapa mmoja, na lazima uwe na kona nne zenye nyuzo 90 kila moja.

Kanuni hizi tatu zilizotajwa hapo juu, zinapaswa kutumika katika kutambua na kutambulisha kitu chochote kama vile mbuzi, kondoo, mti, mtu, miungu, na kadhalika.

Hivyo basi:

Ukweli ndio huo, na hayo ndiyo madhara yasiyotarajiwa yaliyoletwa na Matengenezo ya Kiprotestanti (Reformation) yaliyoaasisiwa na Matrin Luther wa Ujerumani.

Kwa uelewa zaidi soma kitabu: The Unintended Reformation: How a Religious Revolution Secularized Society by Brad S. Gregory (Attached).
Mungu ni Mungu wa roho za wenye mwili wote (Hesabu 27:16). Mbowe ana mwili pia ana roho, basi Mungu ni Mungu wake. Hivyo wanao mwombea wanamwambia huyo mwenye roho za wenye miili wote asikie
 
S
Katika sayansi ya sababu na matokeo (etiology) tunasema hivi:

A token event c caused a token event e iff there are event types C, E such that: (a) c is of type C; (b) e is of type E; (c) event type C causes event type E. (regularity based definition of a cause)

Baba akitiana na mama nikazaliwa, fasili hii ya kietiolojia inahusika.

Pia, katika sayansi ya sababu na matokeo (etiology) tunasema hivi:

A token event c caused a token event e if and only if c and e are connected by a series of intersecting causal processes whose intersections constitute causal interactions. (process based definiion of a cause)

Baba akitiana na mama nikazaliwa, halafu tukata kueleza nafasi ya Mungu katika tukio la kuzaliwa kwangu, fasili hii ya kietiolojia inahusika.

Hapa nakupa nondo za metaphysics of causality.
Kaa mkao wa kuchukua notes.
Hahahaha..

SAYANSI na vitu vinavyofanana na hivyo VINAAMINI "CHANZO CHA MWANADAMU NI SOKWE MTU"... Unakubaliana na Hoja hii ya wana sayansi?, Je na Mungu wako anaamini katika sayansi hii?

Vipi na wewe pia unaamini sayansi au Mungu kupitia NENO Lake Juu ya UUMBAJI NA ASILI YA MWANADAMU?

Kuwa makini dada wa kujitakia.
 
Kwani mwendazake alivyokuwa akisimama kanisani na kuhamasisha watu wamuombee ilikuwa sehemu gani ya ibada na kwa MUNGU yupi?
 
SAYANSI na vitu vinavyofanana na hivyo VINAAMINI "CHANZO CHA MWANADAMU NI SOKWE MTU"... Unakubaliana na Hoja hii ya wana sayansi?, Je na Mungu wako anaamini katika sayansi hii?
Sayansi gani unaongelea?
Na sayani hiyo inasema chanzo cha sokwe ni nini?
Naona huna habari ya Big Bang theory ambayo inawakutanisha wanasayansi, wanafalsafa, wanateolojia na wanamahesabu.
Soma kazi za William Lain Craig kuhusiana na the Kalam Cosmological Argument utaelimkika
 
Kuwa makini dada wa kujitakia.
Bado unajikwaa kwenye kisiki cha kushambulia mleta hoja badala ya kushambulia hoja.

Ukiendelea nitasitisha ushirikiano katika mjadala huu.

Nimepiga picha x-ray kichwa chako na kuona kivuli kifuatacho. Chukua nakala yako....

1636119950156.png
 
Sayansi gani unaongelea?
Na sayani hiyo inasema chanzo cha sokwe ni nini?
Naona huna habari ya Big Bang theory ambayo inawakutanisha wanasayansi, wanafalsafa, wanateolojia na wanamahesabu.
Soma kazi za William Lain Craig kuhusiana na the KalamCosmological Argument utaelimkika
Naiongelea sayansi ambayo INAELEZEA CHANZO CHA BINAADAMU.. (HUFAHAMU?)

SASA naomba uniambie, UPO UPANDE UPI WA CHANZO CHA UWEPO WAKO?? MUNGU au SAYANSI?

Maana naona "MIDABWADA🤣"

Roho ananiambia kitu kizitooo sana... Nikipata kibali NAKULIPUA.

Unaijua MIDABWADA?
 
Bado unajikwaa kwenye kisiki cha kushambulia mleta hoja badala ya kushambulia hoja. Ukiendelea nitasitisha ushirikiano katika mjadala huu.
Ukija kimwili nakulipua kimwili, ukija kiroho nakumaliza kiroho na ukija kifedhuli Mungu amenipa kibali cha kukupasua kifedhuli..

Nacheza na vyote.
 
SASA naomba uniambie, UPO UPANDE UPI WA CHANZO CHA UWEPO WAKO?? MUNGU au SAYANSI?
Hujasoma maelezo yangu kuhusu Big Bang Theory?
Nadharia hii ninayoikubali ni mseto wa theology, science, philosophy and mathematics. Soma kitabu hiki kwa kuanzia...
 

Attachments

Back
Top Bottom