Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Yan sijui shida ni nn Kuna mahala tunafeliUzuri umeongea ww na bad boys wengi wao wamekuwa kama mitambo ya kutengeneza single mothers, ila still dada zangu mnawapenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yan sijui shida ni nn Kuna mahala tunafeliUzuri umeongea ww na bad boys wengi wao wamekuwa kama mitambo ya kutengeneza single mothers, ila still dada zangu mnawapenda.
Atapata tuHatari sana 37 bila mke akazane na Mungu amsaidie kwa kweli
Nyingi tu aisee shangazi wa maana kabisa 😃Usiogope banaa,kwani age ngp sasa?
25 na kuendelea? Unatakiwa upate mpole na muungwana kama mimiNyingi tu aisee shangazi wa maana kabisa 😃
UnaelewaKwa nini bro?
Achana na mambo ya dini ?,mfano mimi mama yangu ni mwislamu tena ana asili ya kiarabu ila baba ni mmatumbi mkristo kindakindaki ila binafsi hata uwepo wa Mungu tu nahitaji kuujua kiundani kwa uthibitisho tu🤔Nina historia mbaya sana Kila ninaefikiria kufanya nae maisha na alietayari kuoa lazima tuwe dini tofaut na km sio kwetu bas kwao Kuna upande wanachana mkeka lazima wazazi waingilie hatuvukagi hapo
Sijui Sina akili au sijui kuchagua au ni nn😀
DR HAYA LAND sikuile nasoma Uzi wako ulinigusa aisee utasema uliniandikia mm
Wacha weeh!!Kajinunulia mwenyewe
Kuna baadhi ya familia Ina matter sikuwah kuelewa Yan maamuz ya ndoa ni ya wazazi kiukweli inaumizaAchana na mambo ya dini ?,mfano mimi mama yangu ni mwislamu tena ana asili ya kiarabu ila baba ni mmatumbi mkristo kindakindaki ila binafsi hata uwepo wa Mungu tu nahitaji kuujua kiundani kwa uthibitisho tu🤔
Hawezi kwa jinsi mambo yalivyo magumu sokoni hata akikosewa anaomba msamaha yeye.Wacha weeh!!
Huyo hafai kuoa lazima ipo siku atamsimanga mumewe kwamba hata gauni alinunua kwa pesa yake 😂
😂😂Ni 35 na kuendelea natakiwa nipate mzee mwenzangu sasa25 na kuendelea? Unatakiwa upate mpole na muungwana kama mimi
Hiki ndio kitamtoa roho sasaPumzika kama mwaka hivi kisha anzisha mahusiano na binti mbichi miaka 18 - 24 kisha leta mrejesho, mabinti wengi 25 na kuendelea hisia za mapenzi zinakuwa haziko stable
Ilikuwaje ukadate na mbuzi ilhali wewe ni binadamu?Kuna mbuzi niliibeba sana na uvumilivu wa kutosha hakuwa
Nipe namba yake nimpigieHawezi kwa jinsi mambo yalivyo magumu sokoni hata akikosewa anaomba msamaha yeye.
😂😂😂Pole sana mkuu itakuwa una shida mahali kama pesa ipo na wanakufanyia hivyo huo uthubutu wanautoa wapi?
Au njoo nikupe binamu yangu hadi gauni la harusi analo tayari.
Na mm nilikuwa mbuzi tu km yee sikuwa akili 😃Ilikuwaje ukadate na mbuzi ilhali wewe ni binadamu?
Sure kwa nyie watoto wa biscuit siwezi shangaa 😁😁Kuna baadhi ya familia Ina matter sikuwah kuelewa Yan maamuz ya ndoa ni ya wazazi kiukweli inaumiza
Huyo hawezi kufanikiwa tena! Bahati yake ilikuwa ni wewe, hapo alipo atakuwa anajuta! Haiwezekani mwanamke mmepata shida naye alafu upate kazi umuache maanake unatafuta laana na kufa mapemaWew una bahati unajua thamni ya mwanamke Kuna mbuzi niliibeba sana na uvumilivu wa kutosha hakuwa na Kaz 2 yrs ela ya kunihobga haiwez fikahat 50K kalivoanza kushika vihela kakamrudia x wake muda huo mm nipo mkoa mwingine na masimango juu hawez kuwa na mm Tena Niko mbali
Ila nimemsamehe maana tabu alizonazo sahiz zinamtosha