Swali kwa waliooa tu: Mlipataje wanawake wa kuoa?

Swali kwa waliooa tu: Mlipataje wanawake wa kuoa?

Nina historia mbaya sana Kila ninaefikiria kufanya nae maisha na alietayari kuoa lazima tuwe dini tofaut na km sio kwetu bas kwao Kuna upande wanachana mkeka lazima wazazi waingilie hatuvukagi hapo
Sijui Sina akili au sijui kuchagua au ni nn😀
DR HAYA LAND sikuile nasoma Uzi wako ulinigusa aisee utasema uliniandikia mm
Achana na mambo ya dini ?,mfano mimi mama yangu ni mwislamu tena ana asili ya kiarabu ila baba ni mmatumbi mkristo kindakindaki ila binafsi hata uwepo wa Mungu tu nahitaji kuujua kiundani kwa uthibitisho tu🤔
 
Kuna wengine mtakuwa mmelogwa au ni watoto wa nje ya ndoa..........yaani niende dunia ya kwanza na tena nitamani kurudi kula matapishi huku bongoland aisee pole yako sana...........kwanza huku ukiwa ujaoa yaani unakutana na hawa mtetea road basi jiandae na yutiyai kali ........baba kwani huko ukutani na watu mpaka uje kuchakura chakura huku jalalani ...........shauri ziawe uli mpumbafu
 
Achana na mambo ya dini ?,mfano mimi mama yangu ni mwislamu tena ana asili ya kiarabu ila baba ni mmatumbi mkristo kindakindaki ila binafsi hata uwepo wa Mungu tu nahitaji kuujua kiundani kwa uthibitisho tu🤔
Kuna baadhi ya familia Ina matter sikuwah kuelewa Yan maamuz ya ndoa ni ya wazazi kiukweli inaumiza
 
Wew una bahati unajua thamni ya mwanamke Kuna mbuzi niliibeba sana na uvumilivu wa kutosha hakuwa na Kaz 2 yrs ela ya kunihobga haiwez fikahat 50K kalivoanza kushika vihela kakamrudia x wake muda huo mm nipo mkoa mwingine na masimango juu hawez kuwa na mm Tena Niko mbali
Ila nimemsamehe maana tabu alizonazo sahiz zinamtosha
Huyo hawezi kufanikiwa tena! Bahati yake ilikuwa ni wewe, hapo alipo atakuwa anajuta! Haiwezekani mwanamke mmepata shida naye alafu upate kazi umuache maanake unatafuta laana na kufa mapema
 
Back
Top Bottom