Swali kwa waliooa tu: Mlipataje wanawake wa kuoa?

Mkuu jiangalie jinsi ulivyo kwanza,sometime Duniani hatupati kila tunacho kihitaji.mfano mwanaume ni una hela na kazi nzuri ila mfupi halafu unataka mwanamke unayemtamnai mrefu kidogo awe na kipato na kazi nzuri kila moja akimuona aseme kweli una mke ila kiuhalisia ukimpata huyo Mwanamke atakutesa mwisho wa siku ataanza ku compare na warefu mwishowe anakudhalau.

Ninacho manisha sio kila mwanamke wa kuoa lazima utokee kumpenda coincidence qengine hukutanishwa na ndugu au wazizi kisha huoana na maisha kuendelea.mfano kule Mkoa wa Mara kijana yyte kama yupo mjini akitaka kuoa anawambia ndugu zake wanamtafutia-kuoendana watapendana wakiwa ndani.
 
Huyo hawezi kufanikiwa tena! Bahati yake ilikuwa ni wewe, hapo alipo atakuwa anajuta! Haiwezekani mwanamke mmepata shida naye alafu upate kazi umuache maanake unatafuta laana na kufa mapema
Kazi hajapata Bado nakumbuka Kuna kipind niliwah had kumuomba boss wangu amsaidie apate kazi baba wa watu alikuwa na huruma akaanza kuhangaika ila wanaume πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
HAYA SASA .......natangaza nia ya kuhitaji mke mwaka huu 2025 naingia gholofa la 3 chumba na 1 .....nahitaji mwanamke wa kunivumilia katika hali zote ila awe under age asiwe juu maana nina LIBIDO ya kupeleka moto kwa miaka 20 ijayo..................



aliye tayari aje in box
 
Sasa na wewe upo mbali unataka mwenzio apige nyeto wakati x wake yupo ajipozee.
Alooo miaka miwili unalea limbuzi hatari
 
Yan sijui shida ni nn Kuna mahala tunafeli
Wanasema ndio nature yenu.Kuna binti kitaa kila nikimuangalia na muonea huruma ni majirani ila tupo kama ndugu, kipindi cha nyuma kuna dogo anafanya kazi sokoni ndiye aliyekuwa akidate nae ,hayupo vibaya ila maisha anayamudu,ila ndio hivyo binti alikuwa hamuelewi jamaa.

Yule binti kaja kupata mimba watu wakajua ni yule jamaa wa sokoni, kumbe ni muimba singeli kwenye vigoro, siku anayokuja kumtambulisha kaja na vidredi yaani daah sometimes sijui mnawazaga nini?

kundi jingine ni hawa Bodaboda ndio usiseme naweza sema boda wa kitaa ambao ni wanangu ninao wajua, wameishia kuzalisha tu na hawana time ya ndoa, yaani wao sasa hivi wanacheza vibinti vya shule za kata na dada zangu bodaboda mnawapenda............na wao kwa kuwa wana vizazi hawapaishi wakipewa tu mimba.
 
Bora nikae single kuliko kudate na kijana ana vidred πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Nitafute tuyajenge ndugu...nikishauri kiutuuzima na nikulengeshe mahali....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…