Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Lazima kanaliwa tigo mwanawane, ila kanaikatikia vizuri vitoto vya buku 2 vina mabalaaYule aliekua amepigwa doggy style daah, sijui alikuwa analiwa tigo maana jamaa alikuwa anasema apewe mk*nd mwingine mwenye shanga alikuwa amepigwa doggy huku akiwa anasema kua anaf*r*a Mzee wa kupambania
Mapema mzeya
Si unatumia X (twitter) mcheki NanaMapema mzeya
Twinter ndio nini tenaSi unatumia X (twitter) mcheki Nana
Mkuu na monthly allowance ulikuwa una mpa una uhakika huna tatizo lingine ili tusiwape lawama hao wanawake zako natanguliza poleHbr wana JF,
Mwaka jana nilipata binti mmoja ambae tulifahamiana kwa muda kidogo tukaanza mahusiano. Nilimpenda sana, nikajitahidi kumtimizia kila analohitaji. Nilijifunza kwenye mahusiano yangu ya awali, nikasema huyu nifanye tofauti sasa na mimi niwe na familia. Mwanzo mapenzi yalikua motomoto, tukaanza kupanga mipango ya ndoa kabisa huu mwaka tuwe mume na mke.
Baada ya miezi kadhaa, akaanza kubadilika. Nakumbuka alianza kununa tukiwa vacation Zanzibar. Akawa kama ana moods hivi, ukimuuliza kuna changamoto gani hasemi. Nikaona mambo ya kike labda nitulie. Basi kuanzia hapo akawa kama anani dharau na hanijali tena kama mwanzo. Nilikua naumia ila nikawa navumilia. Lakini kwa tabia zile alizoanzisha ikanilazimisha baadhi ya mambo tulipanga kufanya - kama kwenda kujitambulisha kwao tusitishe kwanza maana sikua namuelewa, anasahau mpaka tarehe muhimu kwenye mahusiano yetu kitu ambacho sio cha kawaida. Baada ya muda nikaenda nje ya nchi kikazi, katika nchi ambayo tulikua tunapishana masaa na hapo ndio mapicha picha yakazidi akawa hapokei simu kabisa akidai yuko busy etc. Kwa muda wote niliokua nje ya nchi kama miezi miwili hatukuwahi kuongea kwenye simu, kila nikijaribu kumtafuta anasema yuko busy atanicheki lakini hafanyi hivyo. Basi nikaanza kufanya maamuzi magumu, nikaacha kumpa monthly allowance na kumnunulia zawadi kama nilivyokua nafanya mwanzo. Nilivyorudi nchini, bado nikamtafuta kujua tatizo ni nini na nakumbuka pamoja na tofauti tulizokua nazo bado nilitoka ulaya na zawadi kadhaa nimemchukulia nikampa. Kikao hakikuenda sawa, binti akaniambia hana feelings na mimi na nikitaka kuwasiliana nae lazima nifanye appointment au nitafute mwanamke mwingine wa kua nae. Aisee, kikao kiliishia hapo. To cut the story short, mahusiano yaliisha pia.
Hii ni case moja tu kati ya nyingi ambazo nimeshakumbana nazo. Katika miaka 10 iliyopita nishakua kwenye mahusiano mengi sana na yamekwama kwa sababu tofauti tofauti, ingawa hii ya juzi iliniuma maana nilijitahidi kufanya kila kitu inavyotakiwa na mhusika mwenyewe pia nilijua anajitambua maana at 31 ni mtu mzima sio mtoto mdogo ni mwanamke aliepitia mengi. Mwaka umeanza nimekata tamaa kama naweza kweli na mimi siku moja kupata mke, nikaanzisha familia na kua na watoto. Kila kitu ninacho - kazi nzuri, kipato kizuri yani ni mke tu ndio imekua changamoto. Kuna wakati najilaumu labda ningekua nakunywa pombe & mtu wa starehe huenda ingekua rahisi kwangu maana haya maisha ya kua busy na kazi muda wote nayo ni changamoto sikutani na watu ila ndio nafanyaje sasa na pesa naitaka pia.
Naomba ushauri wadau, nifanyeje?!
NB:
Niliwahi kuandika uzi humu wa kutafuta : A wife is needed
Mtafute sasa kama unamtaka, unamuomba Mungu amkamate amlete?. Play your part. Ya Mungu tayari.The fact kwamba wengine tunaomba a man of substance kama huyu na hatupati🙌🏼 God bless me kama huyu.
Wafipa unawajua vizuri mkuuUsitafute mwanamke dar es salaam,ili ufanikiwe tafuta muha,msukuma. ,mchaga au mmasai ,wafipa, wanawake wa makabila hayo sio wasumbufu kivile mkuu nenda nje ya mkoa.
Hakuna maelezo mengi.. mke mwema mtu hupewa na Bwana Mungu. Period. Endelea kumlilia huyu Mungu, siku yako inakuja.. utampata bila nguvu yako kutumika. Boresha maisha yako kwenye maeneo yote, sio kifedha tu..Hbr wana JF,
Mwaka jana nilipata binti mmoja ambae tulifahamiana kwa muda kidogo tukaanza mahusiano. Nilimpenda sana, nikajitahidi kumtimizia kila analohitaji. Nilijifunza kwenye mahusiano yangu ya awali, nikasema huyu nifanye tofauti sasa na mimi niwe na familia. Mwanzo mapenzi yalikua motomoto, tukaanza kupanga mipango ya ndoa kabisa huu mwaka tuwe mume na mke.
Baada ya miezi kadhaa, akaanza kubadilika. Nakumbuka alianza kununa tukiwa vacation Zanzibar. Akawa kama ana moods hivi, ukimuuliza kuna changamoto gani hasemi. Nikaona mambo ya kike labda nitulie. Basi kuanzia hapo akawa kama anani dharau na hanijali tena kama mwanzo. Nilikua naumia ila nikawa navumilia. Lakini kwa tabia zile alizoanzisha ikanilazimisha baadhi ya mambo tulipanga kufanya - kama kwenda kujitambulisha kwao tusitishe kwanza maana sikua namuelewa, anasahau mpaka tarehe muhimu kwenye mahusiano yetu kitu ambacho sio cha kawaida. Baada ya muda nikaenda nje ya nchi kikazi, katika nchi ambayo tulikua tunapishana masaa na hapo ndio mapicha picha yakazidi akawa hapokei simu kabisa akidai yuko busy etc. Kwa muda wote niliokua nje ya nchi kama miezi miwili hatukuwahi kuongea kwenye simu, kila nikijaribu kumtafuta anasema yuko busy atanicheki lakini hafanyi hivyo. Basi nikaanza kufanya maamuzi magumu, nikaacha kumpa monthly allowance na kumnunulia zawadi kama nilivyokua nafanya mwanzo. Nilivyorudi nchini, bado nikamtafuta kujua tatizo ni nini na nakumbuka pamoja na tofauti tulizokua nazo bado nilitoka ulaya na zawadi kadhaa nimemchukulia nikampa. Kikao hakikuenda sawa, binti akaniambia hana feelings na mimi na nikitaka kuwasiliana nae lazima nifanye appointment au nitafute mwanamke mwingine wa kua nae. Aisee, kikao kiliishia hapo. To cut the story short, mahusiano yaliisha pia.
Hii ni case moja tu kati ya nyingi ambazo nimeshakumbana nazo. Katika miaka 10 iliyopita nishakua kwenye mahusiano mengi sana na yamekwama kwa sababu tofauti tofauti, ingawa hii ya juzi iliniuma maana nilijitahidi kufanya kila kitu inavyotakiwa na mhusika mwenyewe pia nilijua anajitambua maana at 31 ni mtu mzima sio mtoto mdogo ni mwanamke aliepitia mengi. Mwaka umeanza nimekata tamaa kama naweza kweli na mimi siku moja kupata mke, nikaanzisha familia na kua na watoto. Kila kitu ninacho - kazi nzuri, kipato kizuri yani ni mke tu ndio imekua changamoto. Kuna wakati najilaumu labda ningekua nakunywa pombe & mtu wa starehe huenda ingekua rahisi kwangu maana haya maisha ya kua busy na kazi muda wote nayo ni changamoto sikutani na watu ila ndio nafanyaje sasa na pesa naitaka pia.
Naomba ushauri wadau, nifanyeje?!
NB:
Niliwahi kuandika uzi humu wa kutafuta : A wife is needed
Hapana jamani .... wengine tunaomba tupate kama hawa tunaishia kupata magume gumeWanaume kama mtoa mada huenda mmewaweka friendzone coz hamna hisia nao/mnaona hawana muonekano mzuri ethereal
Sawa nashukuru kwa ushauriMtafute sasa kama unamtaka, unamuomba Mungu amkamate amlete?. Play your part. Ya Mungu tayari.
Noted✍️Kutafta lifepartner ni kazi kama unavo fanya jitihada kupata Ajira, Biashara au deals zozote so Invest.
Kama kazi zako hazikukutanishi na potential life partner, kama mm, nafanya kazi na wamama & wabibi miaka 30+, Hivo nikizembea nakua na selection pool ndogo kuliko boda boda anae paki piki piki pale, na kubeba abiria 30 kwa siku ana possibility kubwa ya kukutana na life partner.
Hapa ndo unaamua kuinvest sasa muda na pesa, Mfano Tumia weekends zako kwa kutembelea sehemu zenye mikusanyiko ya watu kama makanisani, Viwanja vya mpira, Shopping malls , Supermarkets.
Katika hizo harakati, usitongoze tongoze hovyo, bali jenga urafiki then kilicho chako kitakua chako tu.
All the best.
Salama kabisa nafuata ushauri wa jamaa hamna mgegedo mpaka ndoa.Tutatoka salama humo magethoni?
duuh kuna simtanks (vipipa) humu kwani🙄umesema hutaki "mwanamke mnene" Duh
Khee🤯🤯hadi wafipa na wachaga nao?hao unawajua unawaskia?Usitafute mwanamke dar es salaam,ili ufanikiwe tafuta muha,msukuma. ,mchaga au mmasai ,wafipa, wanawake wa makabila hayo sio wasumbufu kivile mkuu nenda nje ya mkoa.