Swali kwa waliooa tu: Mlipataje wanawake wa kuoa?

Mkuu na monthly allowance ulikuwa una mpa una uhakika huna tatizo lingine ili tusiwape lawama hao wanawake zako natanguliza pole
 
Haya maisha hayana kanuni.. wakati wengine wana lundo la wanawake, wengine wanalia na upweke.

Kuna wengine wanakesha makanisani wakiomba wapate mume, waume wenyewe wanalia kutowapata hao.

When desperate, a chance of grabing wrong one is higher.
 
Hakuna maelezo mengi.. mke mwema mtu hupewa na Bwana Mungu. Period. Endelea kumlilia huyu Mungu, siku yako inakuja.. utampata bila nguvu yako kutumika. Boresha maisha yako kwenye maeneo yote, sio kifedha tu..
 
Noted✍️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…