Swali kwa waliooa tu: Mlipataje wanawake wa kuoa?

Anha sasa ume ni provia
Sasa sikilizieni shemeji yenu atajua hajui.
 
Sio Kwa ubaya njoo nikupe mdogo wangu ila sijajua ni din gan ila mdogo wangu na yeye anatafuta mume
 
Daah, kwahiyo wakirudi jamaa zako wanawapokea au?
 
Mimi nilishangaa tu gafla nmekutana na mtoto mzur mtoto rangi fulani hivi chokoleti amazing ndio mpk sasa amekuwa waifu sema nn kwa sasa kutafuta mke ni kazi kuliko kutafuta pesa
 
NAKAZIA
 
Maneno matamu sasa njoo kwenye practical aloooh! Shida kweli kweli
 
Hii thread ni Tamu Sana...Imenifundisha vingi sana
Ata mie imenifundisha kikubwa wanaume tupate wake wakati mambo hayajatiki. Yule atakaye vumilia wakati unasubiri mchongo utiki huyo ndio wife.
Mlaze kwenye godoro, no nauli no presents na importantly hakuna kugegeda
 
Brother uyo mwanamke apewe maua
 
Pumzika kama mwaka hivi kisha anzisha mahusiano na binti mbichi miaka 18 - 24 kisha leta mrejesho, mabinti wengi 25 na kuendelea hisia za mapenzi zinakuwa haziko stable
Unataka ummalize mwenzio, mabinti wa huo umri tajwa wengi wao bado hawajafaidi hii dunia, watakua wanapishana sana na mdau ,jamaa anataka kufanya jambo la msingi yeye anataka kupariiii
 
Moja ya swali ambalo najiuliza daily ,mlipataje wanawake wa kuoa .nasoma uzi wote nipate uzoefu.
 
Mapenzi hayalazmishi mtu unafanya ujinga unakaa na kusema unampenda...hapo hakuna mke ni matatizo unajitafutia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…